Ndugu yangu
Richard,
Hebu nisaidie na hapa!! Habari zinazo-trend hivi sasa ni kwamba sababu kubwa ya kutumbuliwa Mramba ni kwa sababu hakufuata taratibu!
Nikaamua kupekua pekua na hatimae kukutana na taarifa hii ya TANESCO:
View attachment 453244
Nikaona hawa TANESCO wasitufanye watu hatuna akili... Agizo la Kubadilisha Bei za Umeme la Mwaka 2016 ni dubwasha gani hilo tena! Nikaamua kutafuta ukweli ambao ndani ya dakika moja nikakutana nao kwenye tovuti ya Wizara ya Nishati na Madini ambalo sehemu yake linasema:
View attachment 453255
SWALI 1: Ikiwa serikali hawakushirikishwa; nini maana ya hicho kifungu #4 hapo juu?! Serikali inaweza vipi kuzungumzia kusitishwa kwa jambo wasilolifahamu?
Hebu tuambieni ukweli... hivi tatizo ni kwamba serikali haikufahamu au ndo ile kuliana timing uingie kwenye 18 wakutumbue?! Au tatizo ni kwamba walichelewesha... badala ya August 31, 2016 wao wakawasilisha:
View attachment 453263
Mbona hatuelewi elewi?!