Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

You are right...

Alipaswa kusikilizwa...naskia kuna group liko nyuma ya hii kadhia ambayo hawakuwa wanampenda mramba aendelee kuwepo pale

Mramba ni mtu wa mungu na mwenye iman kali sana ya kilokole...

Therefore magumashi na madeal kwake ni Big No...

Hata kwenye seke seke la Escrow alitafutwa sana ili alambishwe ngawira ila akachomoa na kubaki salama na smart kama alivyo

Infact Mramba kaikuta Tanesco ya hovyo ile iliyoachwa na kina Mhando lakin akajitahid kuirekebisha na kuifanya angalau iwe na nafuu kuliko huko awali.

Juma Poor Manager ameendeleza maamuz yake ya mlipuko...
karibu THE BIG SHOW, hapa najiuliza umeongea hivi wakati mkurugenzi ni wa imani hii, je angekuwa ni wa imani ile nyingine sijuhi ungesemaje! Niliacha kukuamini baada ya kuona umetupa slogan I ya "gas haitoki hata kawa mrija wa pen" na kuhamia kwenye "jihad" mjinga sana wewe, ulitutelekeza watu wa Mtwara baada ya kututia hamasa.
 
Ah! Wapi... Mie nazeekea JF ndugu yangu kwahiyo sio rahisi kutishika kwa hoja kama hizo... no way! Hata huyo Richard mwenyewe najua he's just bluffing... hana cha kunijua wala nini!!

Na uzuri mwingine ni kwamba I don't fake my life hapa JF kwahiyo mtu anayenisoma mara kwa mara; siku nikikutana nae akakuta kumbe choka mbaya; wala hawezi kushangaa kwa sababu haijatokea hata mara moja nikajifanya kabosi fulani au msomi fulani hivi!

Na ndio maana hata stori zangu nyingi hapa JF ni za akina Diamond na Ali Kiba... stori za watu wa aina yangu!!! Stori za watu ambao tupo tupo tu... karibu nyumbani Jukwaa la Entertainment & Celebrities
Kazi kwelikweli.
 
WAPO WENGINE WANAOCHANGIA UMEME KUPANDA KWA SABABU FEDHA NYINGI YA SERIKALI INAIBWA TU. TUNAOMBA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA ZICHUNGUZE UBADHIRIFU NA WIZI ULIOFANYIKA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA. INAWEZEKANA WANAOHUSIKA HAWAFAHAMU CHUO HICHO NI CHA NANI. CHUO HICHO NI MALI YA SERIKALI 100%. CHOCHOTE CHA CHUO KIKIIBIWA NI MALI YA UMMA IMEIBIWA. VYOMBO VYA UCHUNGUZI VIFIKE KUFANYA UCHUNGUZI, KUNA MAMBO MAZITO KATIKA CHUO HICHO. WATENDAJI WENGI WA UMMA WAMESHATUMBULIWA MPAKA SASA, NI VIZURI KILA MWENYE MATATIZO ATUMBULIWE, MAANA HAKUNA NJIA NYINGINE KWAKWELI.
 
Daaaah yani hakuna watu wanafiki dunia hii kama UKAWA,nyie watu pepo hamtaiona kwa unafiki na uzandiki ulivoawakaa,mmepiga kelele hapa jf tangu jpm aingie madarakani kuwa tanesco ni jipu,tulitangaziwa kupanda kwa gharama za umeme mkasema jpm hana la kufanya tanesco imemshinda,jana kamtumbua mkaskazini mwenzenu mmeanza kumdhihaki jpm na mmekuwa upande wa tanesco,kweli hii mitandao izimwe nyie nyumbu tuwasikie kwa sauti zenu halisi
kwani bado wapo
 
Teh teh teh

Mkuu Wanyisanzu ndiyo watu wa wapi hao?

Teh teh teh...huko huko kanda ya ziwa wanakokula neema ya Juma Poor Manager nin?
Hata sisi wa makabila yafuatayo ya kanda ya ziwa hatupo serikalini. Wakara wasumbwi wakwaya wasweta wasimbiti na hata shemeji zetu wakonongo wa kule mlele hawamo.
 
Hivi ukifukuzwa kazi na mwajiri wako inakuwaje?? Unaendelea kuwa mfanyakazi au unakoma kuwa mfanyakazi?? Mkurugenzi aliajiriwa na Raisi na amefukuzwa na Rais na wala hajasimamishwa, kwahiyo hapo ni kuchukua kila kilicho chako na kuondoka, hakuna ajira hapo tena...

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app

Hapo ametenguliwa kazi ya ukurugenzi tu na marupupu yake mshahara unabaki ule ule ataenda kupangiwa kazi nyingine mara nyingi wanaenda kukaa wizarani ili asiwe kikwazo kwa mteuliwa mpya maana bado ni watumishi wa umma labda kama angekuwa kaiba then ndio afukuzwe na utumishi wa umma pia. wote wako mtaani wanakula bata maana hata huko wizarani wanakorudishwa kila dawati lina mwenyewe , kwa ufupi ni hasara kwa taifa.
 
Hapo ametenguliwa kazi ya ukurugenzi tu na marupupu yake mshahara unabaki ule ule ataenda kupangiwa kazi nyingine mara nyingi wanaenda kukaa wizarani ili asiwe kikwazo kwa mteuliwa mpya maana bado ni watumishi wa umma labda kama angekuwa kaiba then ndio afukuzwe na utumishi wa umma pia. wote wako mtaani wanakula bata maana hata huko wizarani wanakorudishwa kila dawati lina mwenyewe , kwa ufupi ni hasara kwa taifa.
Hizo kazi hua ni za mkataba na sio permanent and pensionable, mkqtaba ukiisha au ukisitishwa anatafta kazi nyingine. Kazi zote za ukurugenzi wa mashirika ya umma sio parmanent
 
Hivi ukifukuzwa kazi na mwajiri wako inakuwaje?? Unaendelea kuwa mfanyakazi au unakoma kuwa mfanyakazi?? Mkurugenzi aliajiriwa na Raisi na amefukuzwa na Rais na wala hajasimamishwa, kwahiyo hapo ni kuchukua kila kilicho chako na kuondoka, hakuna ajira hapo tena...

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
Kazi ya ukurugenzi ni kazi za mkataba wa muda maalum na sio permanent and pensionable, mkataba ukiisha au ukikatishwa huyo mkurugenzi analipwa stahiki zake anachapa lapa.
 
Tatizo la umeme TZ ni monopoly waliyopewa TANESCO,in Tanzania huwezi kuzalisha na kuuza umeme moja kwa moja kwenye soko ni lazima uwauzie TANESCO then wao ndio wauze,TZ kuna gas nyingi sana haitakiwi iwe na tatizo la umeme kabisa shida ni sheria zilizopo,hakuna businessman/woman anaweza weka billions zake then ata the end of the day lazima uwapigie magoti TANESCO
 
Kwani mmesahau zile sherehe waliachwa wakachukua posho za safari wakaweka magari mafuta na kusafiri ilipofika usiku tukatangaziwa sherehe hakuna na waliochukuwa posho wazirudishe tuko kwenye mwendo KASI
Duh! Kweli aisee ili mradi tu ionekane Mheshimiwa "amezuia matumizi yasiyo na lazima!"
 
Dah jamaa kaanza mwaka vibaya, kaweka rekodi ya kutumbuliwa siku ya mwaka mpya. Kwanza ilikuwaje atake kupandisha bei ya umeme wakati uzalishaji wa gesi ndio unaongezeka na umeme uzalishaji unaongezeka
Atakuwa kafurahi sana huyu jamaa kuachana na kero,km yule jamaa wa magereza.
 
HAHAHA UMeNIFURAHISHA KWELIII..
UNAJUA KUNA WACHEZAJI CHELSEA WANA DEGREE ZAO NZURI NA WANACHEZA MPIRA SAFIKABISA BILA KUWA NA DEGREE YA MICHEZO

ONDOENI AKILI HIZO ATUTAFIKA
Acha bhana... yaani hapo ndipo ulipofikia! Kulinganisha kucheza soka na kuendesha shirika kubwa lenye changamoto lukuki kila kona! Yaani unaamini kabisa kwamba mfano wako unaswihi?!
 
We bhana wee! Yaani tena ukizoea sana hili jukwaa la siasa unaweza zeeka siku za zako manake ni full ni masarakasi!!!
Kabisaa heri nirudi kule kwetu celebrities tuuu
 
Hii serikali mbona inafanya watu wote kama hatuna akili. kuhusu kupandisha kwa bei mbona EWURA waliweka kila kitu public?? Kwann serikali isiingilie kati toka wakati ule???. Yan Jan Mos imefika maamuzi ya mlipulipuko yanafanyika as if ndo serikali yote imejua jana kwamba bei ya umeme itapanda. Hapa ndipo serikali ya Mtukufu Rais inapopofanya siasa wakati ndugu zangu wa Upinzani wanapigwa mikwara kila leo. Hiz ni siasa uchwara.[HASHTAG]#SerikaliYaMilipuko[/HASHTAG].

Maneno kuntu hayo! Umenena vema Kabisa ! Watu wengi wamekuwa wakijiuliza hivyo coz hilo swala la kupandisha bei ya Umeme limeanza kusemwa Kwa muda mrefu sasa kupitia vyombo vya Habari , sasa Kwa nini Waziri asingemwita Yule CEO wa Tanesco Na kujadili kisha kumpa maelekezo ? Mwisho wa Siku Watu wengine ndo huchukulia Kama ni namna ya kutafuta kick
 
Back
Top Bottom