Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

ulipotangazwa kuwa umeme bei juu watu wa ndio kama kawaida walipongeza na kutunga sababu sasa hivi imesitishwa watu wa ndio wanapongeza na ukiongezeka tena watu wa ndio watapongenza tena.ila sisi kina gogo la shamba tutapongeza pale umeme utakaposhuka bei
 
Jana nimenunua umeme wa 7000, cost 5737.71 service charge 0.00,tax Tzs1262.29, unit 19.7kwh.kwahiyo ukifanya hesabu utaona unit moja ni Tzs 291.25431472 baada ya kutoa tax
 
HAHAHA UMeNIFURAHISHA KWELIII..
UNAJUA KUNA WACHEZAJI CHELSEA WANA DEGREE ZAO NZURI NA WANACHEZA MPIRA SAFIKABISA BILA KUWA NA DEGREE YA MICHEZO

ONDOENI AKILI HIZO ATUTAFIKA
 
una pepopunda wew
 
Jana nimenunua umeme wa 7000, cost 5737.71 service charge 0.00,tax Tzs1262.29, unit 19.7kwh.kwahiyo ukifanya hesabu utaona unit moja ni Tzs 291.25431472 baada ya kutoa tax
UNATEGEMEA UKO KWENYE TARIFF GANI MKUU

WAPO WANAONUNUA 9000TZS NA KUPEWA UNIT 75...SO HILO HALINASHIDA KABISA

CHAMAANA ANGALIA TARIFF
 
[adeni ="Automata, post: 19120309, member: 277034"]EWURA si shida kivile, tatizo kuu ni TANESCO-ubunifu mdogo.
Tushawashauli sana wasikimbilie kuomba bei iongezwe badala yake tuliwashauli wasimamie upotevu wa umeme na wakakusanye madeni ili wafidie gharama za uendeshaji.[/QUOTE]
Madeni yao makubwa yako serikalini na taasisi za umma, maajabu gani unataka wafanye ili kukusanya hayo madeni. Acheni siasa kwenye vitu serious.
 
Sarakasi daily [emoji37]
 
You are right...

Alipaswa kusikilizwa...naskia kuna group liko nyuma ya hii kadhia ambayo hawakuwa wanampenda mramba aendelee kuwepo pale

Mramba ni mtu wa mungu na mwenye iman kali sana ya kilokole...

Therefore magumashi na madeal kwake ni Big No...

Hata kwenye seke seke la Escrow alitafutwa sana ili alambishwe ngawira ila akachomoa na kubaki salama na smart kama alivyo

Infact Mramba kaikuta Tanesco ya hovyo ile iliyoachwa na kina Mhando lakin akajitahid kuirekebisha na kuifanya angalau iwe na nafuu kuliko huko awali.

Juma Poor Manager ameendeleza maamuz yake ya mlipuko...
 
Mimi naomba mnisadie... hivi alivyotumbuliwa anaondoka Tanesco au anaendelea kuwa mfanyakazi wa Tanesco ila tu anakuwa siyo Mkurugenzi mkuu tena?
Hata Mimi nahitaji kujua hapa.
 
Hivi ukifukuzwa kazi na mwajiri wako inakuwaje?? Unaendelea kuwa mfanyakazi au unakoma kuwa mfanyakazi?? Mkurugenzi aliajiriwa na Raisi na amefukuzwa na Rais na wala hajasimamishwa, kwahiyo hapo ni kuchukua kila kilicho chako na kuondoka, hakuna ajira hapo tena...

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…