bigsamkatty
Member
- Aug 13, 2015
- 61
- 29
Hata mimi najiuliza, kosa ni nini?? Je ni kuomba nyongeza ya bei na kupewa au? Je kuomba ni kosa?? Je haijaandikwa ombeni mtapewa? Maana kila aombaye hupewa?Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Utashuka tu kabla ya 2020 be patient Madam TUtashuka lini!? Hatuwezi kusubiri mpaka 2020
Tunaomba mwenye bili ya slip ya bili ya umeme tuone kabla ya lile katazo la kwanza la kupanda kwa bei kama kuna mabadiliko yoyote
HAHAHA UMeNIFURAHISHA KWELIII..Ila kuna jambo hapa ambalo sijaelewa... naomba wajuvi wanijuze! Hivi unachomoa vipi Mwalimu wa Chuo kuwa Managing Director wa shirika lenye changamoto lukuki?! Hivi PhD inaweza ku-solve changamoto za TANESCO pasipo na kuwa na uelewa kwa mapana na marefu ya changamoto za TANESCO na energy sector kwa ujumla?! Au Mheshimiwa Daktari alitokea private/public commercial sector kabla hajawa Mhadhiri?
una pepopunda wewDaaaah yani hakuna watu wanafiki dunia hii kama UKAWA,nyie watu pepo hamtaiona kwa unafiki na uzandiki ulivoawakaa,mmepiga kelele hapa jf tangu jpm aingie madarakani kuwa tanesco ni jipu,tulitangaziwa kupanda kwa gharama za umeme mkasema jpm hana la kufanya tanesco imemshinda,jana kamtumbua mkaskazini mwenzenu mmeanza kumdhihaki jpm na mmekuwa upande wa tanesco,kweli hii mitandao izimwe nyie nyumbu tuwasikie kwa sauti zenu halisi
UNATEGEMEA UKO KWENYE TARIFF GANI MKUUJana nimenunua umeme wa 7000, cost 5737.71 service charge 0.00,tax Tzs1262.29, unit 19.7kwh.kwahiyo ukifanya hesabu utaona unit moja ni Tzs 291.25431472 baada ya kutoa tax
Sarakasi daily [emoji37]Ndugu yangu Richard,
Hebu nisaidie na hapa!! Habari zinazo-trend hivi sasa ni kwamba sababu kubwa ya kutumbuliwa Mramba ni kwa sababu hakufuata taratibu!
Nikaamua kupekua pekua na hatimae kukutana na taarifa hii ya TANESCO:
View attachment 453244
Nikaona hawa TANESCO wasitufanye watu hatuna akili... Agizo la Kubadilisha Bei za Umeme la Mwaka 2016 ni dubwasha gani hilo tena! Nikaamua kutafuta ukweli ambao ndani ya dakika moja nikakutana nao kwenye tovuti ya Wizara ya Nishati na Madini ambalo sehemu yake linasema:
View attachment 453255
SWALI 1: Ikiwa serikali hawakushirikishwa; nini maana ya hicho kifungu #4 hapo juu?! Serikali inaweza vipi kuzungumzia kusitishwa kwa jambo wasilolifahamu?
Hebu tuambieni ukweli... hivi tatizo ni kwamba serikali haikufahamu au ndo ile kuliana timing uingie kwenye 18 wakutumbue?! Au tatizo ni kwamba walichelewesha... badala ya August 31, 2016 wao wakawasilisha:
View attachment 453263
Mbona hatuelewi elewi?!
Kama baba yakouna pepopunda wew
KAMANDA WANALILIA UMEME KUPANDAJK anawasilimia makamanda anasema yeye yupo kawamiss sana.
Nimekuwia radhi. Wamemsikiliza? Unaleta siasa kwenye scientific issues. Mambo ya kuwaza dhambi ni ya revelations not realistic, they do not abide by scientific principles. Huyu ni mtaalamu, angelisikilizwa, akaambiwa hapana hatukubali bei hii! Yaani ku propose bei ni kosa? Think deep! Ichukulie sawa na Judge anavyotoa hukumu ikatenguliwa Court of appeal!
Kwa taarifa yako, siko Tanesco na ninaumia sana kwa bei ya Tanesco, but we have to follow laws, procedure and all rules before us for guidence
Hata Mimi nahitaji kujua hapa.Mimi naomba mnisadie... hivi alivyotumbuliwa anaondoka Tanesco au anaendelea kuwa mfanyakazi wa Tanesco ila tu anakuwa siyo Mkurugenzi mkuu tena?
anakuwa mfanyakazi hewa kumbuka wote walio tumbuliwa wako kwenye kundi la wafanyakazi hewa wanalipwa mishahara bila kufanyakaziHata Mimi nahitaji kujua hapa.