Mkuu fanya utafiti kidogo tu utapata majibu ya hoja yako.Karne hii bado anawaza umeme wa maji..dah kweli ujinga kitu kibaya sana ..anaenda ku invest hela nyingi hapo hakuna la maana..si walisema gesi inakwenda kumaliza tatizo la umeme au
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Megawat 2100?..!!
Kwani sasa tunazalisha WATT ngapi?
Tuliambiwa mradi Wa Kinyerezi ungeondoa tatizo LA umeme. Mbona sioni matunda na mmeanza na kiki Nyingine ?
Umesahau na smelter ya mchanga wa dhahabu nasikia inakula MW 1000 yenyewe tu. Hapo bado treni la umeme Dar-Moro!Kama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.
Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.
Nani huyo alikudanganya smelter ya dhahabu inakula mw1000? Smeltel ya kiwanda cha cement inakula umeme mwingi kuliko ya dhahabu. Labda kidogo ungesema smelter ya copper. Hiyo ya copper haija fikia ata robo ya mw 1000. Ulikuwa mwenye vijiwe vya kahawa.Umesahau na smelter ya mchanga wa dhahabu nasikia inakula MW 1000 yenyewe tu. Hapo bado treni la umeme Dar-Moro!
Teh teh teh.!Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa mkoa wa pwani kwamba serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha kwamba miradi mikubwa ya maendeleo yenye manufaa kwa mkoa huo na taifa kwa ujumla inatekelezwa kama alivyoahidi.
Mhe. Rais ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa reli ya kati, ujenzi wa barabara njia sita Dar-Chalinze na ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge) ambao mipango ya ushirikiano katika utekelezaji na Ethiopia imeshaanza.
NOTE: Kwa msiofahamu mradi wa Stiegler's Gorge ni moja ya key priority projects zilizotajwa kwenye East African Power Master Plan. Huu mradi, pamoja na mingine ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia, utaiwezesha Tanzania kuwa power house ya Afrika Mashariki, ukizingatia kwamba grid za umeme za mataifa ya Afrika Mashariki sasa zimeunganishwa tayari.
Mradi utazalisha hadi MW 2100 za umeme, ambazo ni zaidi ya umeme wote unaozalishwa hapa Tanzania kwa sasa.
Viva JPM Viva Tanzania na Viva EAC!
Kwani wewe unaipendea nini?Yule mtu hapendi mambo ya Ea yeye ni Tanzania tu
Yes Swiss you.Tapeli la buselesele,bwanga buziku
Swissme
Mbona maswali ya namna hii yanajirudiarudia?JK alituambia mradi wa gesi ya Mtwara-Dar ukiisha Tanzania itaanza kusambaza umeme Africa mashariki.
Sijui huu mradi haujaisha au tayari?
Ni kweli ujinga kitu kibaya, na hapa umeonesha ujinga wakoKarne hii bado anawaza umeme wa maji..dah kweli ujinga kitu kibaya sana ..anaenda ku invest hela nyingi hapo hakuna la maana..si walisema gesi inakwenda kumaliza tatizo la umeme au
Nilidhani ni macho yangu.... Nafikiri ni 21,000Megawat 2100?..!!
Kwani sasa tunazalisha WATT ngapi?
Bado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
Jombaa wato wanaongelea MEGAWATT sio WATT.....
Akamate magaidi wanaouwa ndugu zetu katika wilaya za Mkuranga, kibiti na rufuji kwanza.