Magufuli aufufua mradi utakaoweza kusambaza umeme Afrika Mashariki nzima!

Magufuli aufufua mradi utakaoweza kusambaza umeme Afrika Mashariki nzima!

Kaka afadhali usaidie wenye akili ndogo maana MTU kasomea ualimu wa historian nae anataka kuleta challenge ya utalaamu wa sayansi....sasa ona anakurupuka na WATT bila kujua ukubwa wa WATT 2100 ni balbu 20 tuu za aina ya yai za sh mia tano....ukimuuliza ukubwa was megawatt no ngapi jicho linamtoka kama kala pilipili mbuzi,,,nae ana challenge et bado tunazalisha WATT,,,Akili ndogo


Aameiruka hata KiloWatt
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa mkoa wa pwani kwamba serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha kwamba miradi mikubwa ya maendeleo yenye manufaa kwa mkoa huo na taifa kwa ujumla inatekelezwa kama alivyoahidi.

Mhe. Rais ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa reli ya kati, ujenzi wa barabara njia sita Dar-Chalinze na ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge) ambao mipango ya ushirikiano katika utekelezaji na Ethiopia imeshaanza.

NOTE: Kwa msiofahamu mradi wa Stiegler's Gorge ni moja ya key priority projects zilizotajwa kwenye East African Power Master Plan. Huu mradi, pamoja na mingine ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia, utaiwezesha Tanzania kuwa power house ya Afrika Mashariki, ukizingatia kwamba grid za umeme za mataifa ya Afrika Mashariki sasa zimeunganishwa tayari.
Mradi utazalisha hadi MW 2100 za umeme, ambazo ni zaidi ya umeme wote unaozalishwa hapa Tanzania kwa sasa.

Viva JPM Viva Tanzania na Viva EAC!
Kuweka ile tatizo la umeme litakuwa historia??
 
Kaka afadhali usaidie wenye akili ndogo maana MTU kasomea ualimu wa historian nae anataka kuleta challenge ya utalaamu wa sayansi....sasa ona anakurupuka na WATT bila kujua ukubwa wa WATT 2100 ni balbu 20 tuu za aina ya yai za sh mia tano....ukimuuliza ukubwa was megawatt no ngapi jicho linamtoka kama kala pilipili mbuzi,,,nae ana challenge et bado tunazalisha WATT,,,Akili ndogo
Huaga nachoka mm mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hehee, mradi wa 2100 wa kufaidi Afrika mashariki yote? Yaoneka hamyafahamu matumizi ya Kenya
 
Ila kusema kweli mgawo umedhibitiwa sana, sasa naamini ulikuwa mgawo wa kutengeneza. Hongera Jpm
Mbona bado upo.. huku kila jumamos lazima wakate mchana unarudig saa 12 jion mbgl
 
Kama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.

Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.
Kwa hiyo unashauri nini.?
 
Kama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.

Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.

Si viwanda vyote vitatumia umeme vingine vitatumia gesi.
 
mlisema gas itamaliza tatizo la umeme vip tunarud tena kuzalisha umeme kwa kutegemea maji!
 
HUU MRADI UMEKUWA UNAPIGWA VITA SANA MDA MREFFU SIJUI JPM KAMA ATAWEZA KUKAMLISHA HII NDOTO. WAZUNGU HAWAUPENDI NA WATAKUJA NA HADITH ZA MAZINGIRA NA BLABLA NYINGI.ILA KIUKWELI WAKIUWEKEA MPANGO MZURI LILE IKIWA NA MIUNDO MBINU YA UMWAGILIAJI LILE BODE LINATOSHA KUONDOA NJAA TANZANANI
Hilo bonde lipo wapi I see
 
Nimeanza kumwamini nipo Mwanza kwa siku hizi mbili naona Vic fish anavunja kuta za kiwanda chake kupisha upanuzi wa reli.

Wenyeji wangu wanasema upanuzi huo unaanzia hapo voil hadi maeneo ya Mwanza huduma(makaburi ya wahindi)

Tumpe muda ila atujali na sisi watu wa kada za chini.
Kitu cha heri sana kama Reli ikinyanyuka tena kukawa na usafiri mwingi. Maana wenye mabasi wanafanya chaji bei juu kwa sababu hawana mshindani katika soko
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa mkoa wa pwani kwamba serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha kwamba miradi mikubwa ya maendeleo yenye manufaa kwa mkoa huo na taifa kwa ujumla inatekelezwa kama alivyoahidi.

Mhe. Rais ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa reli ya kati, ujenzi wa barabara njia sita Dar-Chalinze na ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge) ambao mipango ya ushirikiano katika utekelezaji na Ethiopia imeshaanza.

NOTE: Kwa msiofahamu mradi wa Stiegler's Gorge ni moja ya key priority projects zilizotajwa kwenye East African Power Master Plan. Huu mradi, pamoja na mingine ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia, utaiwezesha Tanzania kuwa power house ya Afrika Mashariki, ukizingatia kwamba grid za umeme za mataifa ya Afrika Mashariki sasa zimeunganishwa tayari.
Mradi utazalisha hadi MW 2100 za umeme, ambazo ni zaidi ya umeme wote unaozalishwa hapa Tanzania kwa sasa.

Viva JPM Viva Tanzania na Viva EAC!
Ni umeme wa GAS au HYDRO?
 
Back
Top Bottom