Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Kaka afadhali usaidie wenye akili ndogo maana MTU kasomea ualimu wa historian nae anataka kuleta challenge ya utalaamu wa sayansi....sasa ona anakurupuka na WATT bila kujua ukubwa wa WATT 2100 ni balbu 20 tuu za aina ya yai za sh mia tano....ukimuuliza ukubwa was megawatt no ngapi jicho linamtoka kama kala pilipili mbuzi,,,nae ana challenge et bado tunazalisha WATT,,,Akili ndogo
Kuweka ile tatizo la umeme litakuwa historia??Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa mkoa wa pwani kwamba serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha kwamba miradi mikubwa ya maendeleo yenye manufaa kwa mkoa huo na taifa kwa ujumla inatekelezwa kama alivyoahidi.
Mhe. Rais ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa reli ya kati, ujenzi wa barabara njia sita Dar-Chalinze na ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge) ambao mipango ya ushirikiano katika utekelezaji na Ethiopia imeshaanza.
NOTE: Kwa msiofahamu mradi wa Stiegler's Gorge ni moja ya key priority projects zilizotajwa kwenye East African Power Master Plan. Huu mradi, pamoja na mingine ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia, utaiwezesha Tanzania kuwa power house ya Afrika Mashariki, ukizingatia kwamba grid za umeme za mataifa ya Afrika Mashariki sasa zimeunganishwa tayari.
Mradi utazalisha hadi MW 2100 za umeme, ambazo ni zaidi ya umeme wote unaozalishwa hapa Tanzania kwa sasa.
Viva JPM Viva Tanzania na Viva EAC!
Huaga nachoka mm mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kaka afadhali usaidie wenye akili ndogo maana MTU kasomea ualimu wa historian nae anataka kuleta challenge ya utalaamu wa sayansi....sasa ona anakurupuka na WATT bila kujua ukubwa wa WATT 2100 ni balbu 20 tuu za aina ya yai za sh mia tano....ukimuuliza ukubwa was megawatt no ngapi jicho linamtoka kama kala pilipili mbuzi,,,nae ana challenge et bado tunazalisha WATT,,,Akili ndogo
NdioHeeeeee kumbe umeme unaozalishwa Tanzania wrote unaweza kuingia kwenye flash yangu ya 4 GB na ikabaki space kubwa tu?!!!
itakuwa ni wehu kufikiria gigawatt wakati hatujafikisha hata robo gwatt moja!Bado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
Mbona bado upo.. huku kila jumamos lazima wakate mchana unarudig saa 12 jion mbglIla kusema kweli mgawo umedhibitiwa sana, sasa naamini ulikuwa mgawo wa kutengeneza. Hongera Jpm
Kwa hiyo unashauri nini.?Kama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.
Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.
Kama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.
Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.
Gesi imeshindikana mmeanza mradi mwingine.
Hilo bonde lipo wapi I seeHUU MRADI UMEKUWA UNAPIGWA VITA SANA MDA MREFFU SIJUI JPM KAMA ATAWEZA KUKAMLISHA HII NDOTO. WAZUNGU HAWAUPENDI NA WATAKUJA NA HADITH ZA MAZINGIRA NA BLABLA NYINGI.ILA KIUKWELI WAKIUWEKEA MPANGO MZURI LILE IKIWA NA MIUNDO MBINU YA UMWAGILIAJI LILE BODE LINATOSHA KUONDOA NJAA TANZANANI
Hahahahaaaa mzalendo huyoYule mtu hapendi mambo ya Ea yeye ni Tanzania tu
Ambayo ni sawa na gigawatt 1.345 tunayozalishaTanzania inazalisha megawatt 1345 kwa sasa
Kitu cha heri sana kama Reli ikinyanyuka tena kukawa na usafiri mwingi. Maana wenye mabasi wanafanya chaji bei juu kwa sababu hawana mshindani katika sokoNimeanza kumwamini nipo Mwanza kwa siku hizi mbili naona Vic fish anavunja kuta za kiwanda chake kupisha upanuzi wa reli.
Wenyeji wangu wanasema upanuzi huo unaanzia hapo voil hadi maeneo ya Mwanza huduma(makaburi ya wahindi)
Tumpe muda ila atujali na sisi watu wa kada za chini.
Ni umeme wa GAS au HYDRO?Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa mkoa wa pwani kwamba serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha kwamba miradi mikubwa ya maendeleo yenye manufaa kwa mkoa huo na taifa kwa ujumla inatekelezwa kama alivyoahidi.
Mhe. Rais ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa reli ya kati, ujenzi wa barabara njia sita Dar-Chalinze na ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge) ambao mipango ya ushirikiano katika utekelezaji na Ethiopia imeshaanza.
NOTE: Kwa msiofahamu mradi wa Stiegler's Gorge ni moja ya key priority projects zilizotajwa kwenye East African Power Master Plan. Huu mradi, pamoja na mingine ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia, utaiwezesha Tanzania kuwa power house ya Afrika Mashariki, ukizingatia kwamba grid za umeme za mataifa ya Afrika Mashariki sasa zimeunganishwa tayari.
Mradi utazalisha hadi MW 2100 za umeme, ambazo ni zaidi ya umeme wote unaozalishwa hapa Tanzania kwa sasa.
Viva JPM Viva Tanzania na Viva EAC!