Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona uzi wenyewe umeandikwa editedWauni wamekushtukia sio?
mhh!! mamaa britanicca mrembo kama wewe kwanini unakuwa mwizi, mwongo na tapeli la hovyohovyo, hivi wewe hata huko kwa mumeo siunampa tabu sana? na kama huna mume siku ukiolewa siutamsumbua sana? matokeo yake ni kuivunja ndoa yako mwenyewe na kuwa single maza.Acha utapeli wewe, ume edit uzi ili uonekane mtabiri mzuri,
UZI WAKO ORIGINAL NI HUU
HII NAYO NI ADABU NJEMA
1. Usimpigie mtu kwa zaidi ya mara mbili mfululizo. Ukishaona simu yako haipokelewi basi elewa kuna sababu ya msingi acha subiri akupigie pindi atakapoona ulimtafuta.
2. Rejesha pesa ulizokopa bila kusubiri kukumbushwa na aliyekukopesha. Hiyo inaonesha uadilifu wako na tabia yako. Vivyo hivyo rejesha mwavuli, peni, kitabu au chochote ulichoazima hata kama kidogo usisubiri kukumbushwa.
3. Usiagize chakula cha gharama kubwa pale unapotolewa out na mtu. Ikiwezekana mwombe akuagizie mwenyewe au shauriana naye chakula gani unaweza kuagiza.
4. Usiulize maswali yenye ukakasi kama "Hee bado hujaolewa/hujaoa tu? Au " he! Hujapata mtoto tu?", "he! Hamjajenga tu? " Mwee bado tu hamjanujua gari?" Kwa kifupi ni kwamba hayakuhusu mhusika akipenda mjadili hilo ataanzisha mwenyewe.
5. Ikitokea unaingia mahali na kuna mtu anakuja nyuma yako ni vizuri ukamshikia mlango bila kujali umri au jinsia yake. Haikugharimu lolote kuonesha unajali.
6. Mkienda mahali na rafiki yako na akalipia usafiri au chakula basi jitahidi nawe kulipia zamu inayofuata usipende kupokea tu.
7. Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri.
8. Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu wao wamejitenga pembeni wawili wanaongea jambo fulani wewe unajiingiza kwenye mazungumzo bila samahani na bila kukaribishwa.
9. Ukimtania mtu akaonesha kutofurahia acha mara moja na usirudie tena kumtania.
10.Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani.
12. Unapokutana na mtu huna sababu ya kukosoa uzito wake "hee mbona umenenepa hivyo?" Au "Mbona umekonda sana?" Hayakuhusu akitaka kukueleza mwenyewe atakueleza wewe unatakiwa kusema tu "Umependeza"
13. Mtu anapokuonesha picha kwenye simu yake usianze kwenda kushoto au kulia ili kutazama picha zingine ishia hiyohiyo anayokuonesha huwezi jua picha gani inafuata.
14. Mtu anapokuambia anakwenda hospitali usianze kumuuliza " una tatizo gani?" Haikuhusu akitaka atakuambia mwenyewe.
15. Mheshimu mfagizi kama unavyomheshimu boss maana heshima ni kitu cha bure.
16. Ongea na mtu huku unamtazama machoni sio kuwa bize na simu yako au kutazama pembeni.
17. Usitoe ushauri wowote kama hujaombwa kufanya hivyo.
18. Mkikutana na mtu usianze kumuuliza umri wake au kipato chake labda akuambie mwenyewe.
19.Vua mawani yako (kama ya urembo mf. ya jua) unapoongea na mtu.
20. Usiongelee mambo ya utajiri wako au mafanikio yako kwa watu wasio na uwezo wala mambo ya watoto wako kwa watu ambao hawajajajaliwa watoto.
Moderator MSIWE MNARUHUSU MTAPELI KAMA HAWA WACHEZEE JUKWAA, WANAHARIBU CREDIBILITY YAKE
Sasa si ungeanzisha uz mpya!!, Mods nanyny mbona mnakuwa vilaza!?, mtu anaedit uz wa siku nyngi kwa tarehe ya siku zlizopita halafu anaandika Mambo ya Sasa ambayo hakuyaongelea kabisaaa tar za nyuma za Uzi wake, hii inaleta picha yaalitabiri kumbe ni ame edit bandiko kwa tar ya zamani. Futa Uzi,na apewe ban ya miezi 3,iwe fundisho kwa wengine,jf ni jukwaa linalo heshimika na sio litumiwe vibaya!!HII NAYO NI MUHIMU MNO
1. Magufuli udikteta wako haisaidii maana Sisi sote ni Nyama ipo siku utaondoka tena yawezekana hujamaliza muhula ujao kwakuwa Hakuna anayejua ya Mungu
2. Rejesha pesa za Watanzania unazoficha visiwa vya seashells tunaijua, Maana ukifa wote watakukana.
3. Professa Assad usiumie Sana kisa nafasi uliyopokonywa kwa kuwa Magufuli kathubutu Kuonesha udhaifu wa Bunge kwa kumpelekea Maelezo Ndugai akushughulikie, Na mtashangaa anayekuja kumwajibisha ni Rais atakaye kuwa dhaifu! Hata kama hatakuwa Magufuli Na Ndugai ipo siku atakuja Rais atumie chama amuondoe spika kinyume
4.Nape Usiulize maswali yenye ukakasi kama vile haukuwa kwa kabinet ila tulia CCM inawataka Kama ninyi ipo siku utaendelea Na Uwaziri Ama kwa Magufuli Au kwa Rais Mwingine ajaye Hee bado kazi
5. Mbowe na Lissu Msionekane mmelegea wakati hii mkaja kukaza Siku Dikteta Magufuli kaondoka itaonekana mnaogopa baadhi ya Viongozi wenye misimamo mikali,
6. Mkienda mahali na rafiki yako zako we Makamba usiwaamini wote Maana anayewarekodi ni mtu wako wa Karibu Mwenye macho makubwa
7. Magufuli Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri. Ukishaondoa wengine watakupinga hujamaliza hata robo ya pension au Kama Ni mapendekezo ya Mungu hutakuwa hata hujaharibika kwenye Nyumba ya Milele
8. Makonda Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu juzi ukiwaambia kwamba hata wafanye bado hawawezi badili mawazo ya Rais
9. Ndugai pole kwa ugonjwa Ila pia Sina Imani kama tutamaliza Uongozi huu Na mtu anaitwa Spika Ndugai ni Ama utakuwa umefukuzwa kama Rais atabadilika Au kama ni Meko Majaliwa mengine Ni ya Mungu
10.Samia Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.maana akina Makonda, Polepole Na Sabaya wanakusimanga sana kwa Meko we Nyamaza maana ya Mungu Mengi ipo siku watakuona umuhimu Ama kuwatetea kwa Meko Au kupewa mamlaka zaidi Na meko wakakuheshimu
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani wewe Una tabia hiyo Kigwangalla
12. Watanzania wamechoka sana kwa ahadi zenu fake
13. Vipi ikitokea Samia akawa Rais kwa meko kunanii kulingana na katiba?
14 . Mwisho acheni Rushwa
Edited By britanicca
Britannica
Ume-edit for what purpose?Mbona uzi wenyewe umeandikwa edited
HII NAYO NI MUHIMU MNO
1. Magufuli udikteta wako haisaidii maana Sisi sote ni Nyama ipo siku utaondoka tena yawezekana hujamaliza muhula ujao kwakuwa Hakuna anayejua ya Mungu
2. Rejesha pesa za Watanzania unazoficha visiwa vya seashells tunaijua, Maana ukifa wote watakukana.
3. Professa Assad usiumie Sana kisa nafasi uliyopokonywa kwa kuwa Magufuli kathubutu Kuonesha udhaifu wa Bunge kwa kumpelekea Maelezo Ndugai akushughulikie, Na mtashangaa anayekuja kumwajibisha ni Rais atakaye kuwa dhaifu! Hata kama hatakuwa Magufuli Na Ndugai ipo siku atakuja Rais atumie chama amuondoe spika kinyume
4.Nape Usiulize maswali yenye ukakasi kama vile haukuwa kwa kabinet ila tulia CCM inawataka Kama ninyi ipo siku utaendelea Na Uwaziri Ama kwa Magufuli Au kwa Rais Mwingine ajaye Hee bado kazi
5. Mbowe na Lissu Msionekane mmelegea wakati hii mkaja kukaza Siku Dikteta Magufuli kaondoka itaonekana mnaogopa baadhi ya Viongozi wenye misimamo mikali,
6. Mkienda mahali na rafiki yako zako we Makamba usiwaamini wote Maana anayewarekodi ni mtu wako wa Karibu Mwenye macho makubwa
7. Magufuli Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri. Ukishaondoa wengine watakupinga hujamaliza hata robo ya pension au Kama Ni mapendekezo ya Mungu hutakuwa hata hujaharibika kwenye Nyumba ya Milele
8. Makonda Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu juzi ukiwaambia kwamba hata wafanye bado hawawezi badili mawazo ya Rais
9. Ndugai pole kwa ugonjwa Ila pia Sina Imani kama tutamaliza Uongozi huu Na mtu anaitwa Spika Ndugai ni Ama utakuwa umefukuzwa kama Rais atabadilika Au kama ni Meko Majaliwa mengine Ni ya Mungu
10.Samia Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.maana akina Makonda, Polepole Na Sabaya wanakusimanga sana kwa Meko we Nyamaza maana ya Mungu Mengi ipo siku watakuona umuhimu Ama kuwatetea kwa Meko Au kupewa mamlaka zaidi Na meko wakakuheshimu
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani wewe Una tabia hiyo Kigwangalla
12. Watanzania wamechoka sana kwa ahadi zenu fake
13. Vipi ikitokea Samia akawa Rais kwa meko kunanii kulingana na katiba?
14 . Mwisho acheni Rushwa
Edited By britanicca
Britannica
HII NAYO NI MUHIMU MNO
1. Magufuli udikteta wako haisaidii maana Sisi sote ni Nyama ipo siku utaondoka tena yawezekana hujamaliza muhula ujao kwakuwa Hakuna anayejua ya Mungu
2. Rejesha pesa za Watanzania unazoficha visiwa vya seashells tunaijua, Maana ukifa wote watakukana.
3. Professa Assad usiumie Sana kisa nafasi uliyopokonywa kwa kuwa Magufuli kathubutu Kuonesha udhaifu wa Bunge kwa kumpelekea Maelezo Ndugai akushughulikie, Na mtashangaa anayekuja kumwajibisha ni Rais atakaye kuwa dhaifu! Hata kama hatakuwa Magufuli Na Ndugai ipo siku atakuja Rais atumie chama amuondoe spika kinyume
4.Nape Usiulize maswali yenye ukakasi kama vile haukuwa kwa kabinet ila tulia CCM inawataka Kama ninyi ipo siku utaendelea Na Uwaziri Ama kwa Magufuli Au kwa Rais Mwingine ajaye Hee bado kazi
5. Mbowe na Lissu Msionekane mmelegea wakati hii mkaja kukaza Siku Dikteta Magufuli kaondoka itaonekana mnaogopa baadhi ya Viongozi wenye misimamo mikali,
6. Mkienda mahali na rafiki yako zako we Makamba usiwaamini wote Maana anayewarekodi ni mtu wako wa Karibu Mwenye macho makubwa
7. Magufuli Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri. Ukishaondoa wengine watakupinga hujamaliza hata robo ya pension au Kama Ni mapendekezo ya Mungu hutakuwa hata hujaharibika kwenye Nyumba ya Milele
8. Makonda Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu juzi ukiwaambia kwamba hata wafanye bado hawawezi badili mawazo ya Rais
9. Ndugai pole kwa ugonjwa Ila pia Sina Imani kama tutamaliza Uongozi huu Na mtu anaitwa Spika Ndugai ni Ama utakuwa umefukuzwa kama Rais atabadilika Au kama ni Meko Majaliwa mengine Ni ya Mungu
10.Samia Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.maana akina Makonda, Polepole Na Sabaya wanakusimanga sana kwa Meko we Nyamaza maana ya Mungu Mengi ipo siku watakuona umuhimu Ama kuwatetea kwa Meko Au kupewa mamlaka zaidi Na meko wakakuheshimu
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani wewe Una tabia hiyo Kigwangalla
12. Watanzania wamechoka sana kwa ahadi zenu fake
13. Vipi ikitokea Samia akawa Rais kwa meko kunanii kulingana na katiba?
14 . Mwisho acheni Rushwa
Edited By britanicca
Britannica
Mpumbavu huyu ka-edit uziHeshima kwako banaaas daaaaadaaaaa
Ame-edit Uzi mpumbavu kumbeMzee wa Pyongyang we ni shida[emoji23][emoji23]
Ova
Rudi usome tena..kama haja editHivi wewe mwenyewe uliyeandika umepitia hapa kwa makini?
Aah kwa vile iko edited basi,nilitaka kusifia!HII NAYO NI MUHIMU MNO
1. Magufuli udikteta wako haisaidii maana Sisi sote ni Nyama ipo siku utaondoka tena yawezekana hujamaliza muhula ujao kwakuwa Hakuna anayejua ya Mungu
2. Rejesha pesa za Watanzania unazoficha visiwa vya seashells tunaijua, Maana ukifa wote watakukana.
3. Professa Assad usiumie Sana kisa nafasi uliyopokonywa kwa kuwa Magufuli kathubutu Kuonesha udhaifu wa Bunge kwa kumpelekea Maelezo Ndugai akushughulikie, Na mtashangaa anayekuja kumwajibisha ni Rais atakaye kuwa dhaifu! Hata kama hatakuwa Magufuli Na Ndugai ipo siku atakuja Rais atumie chama amuondoe spika kinyume
4.Nape Usiulize maswali yenye ukakasi kama vile haukuwa kwa kabinet ila tulia CCM inawataka Kama ninyi ipo siku utaendelea Na Uwaziri Ama kwa Magufuli Au kwa Rais Mwingine ajaye Hee bado kazi
5. Mbowe na Lissu Msionekane mmelegea wakati hii mkaja kukaza Siku Dikteta Magufuli kaondoka itaonekana mnaogopa baadhi ya Viongozi wenye misimamo mikali,
6. Mkienda mahali na rafiki yako zako we Makamba usiwaamini wote Maana anayewarekodi ni mtu wako wa Karibu Mwenye macho makubwa
7. Magufuli Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri. Ukishaondoa wengine watakupinga hujamaliza hata robo ya pension au Kama Ni mapendekezo ya Mungu hutakuwa hata hujaharibika kwenye Nyumba ya Milele
8. Makonda Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu juzi ukiwaambia kwamba hata wafanye bado hawawezi badili mawazo ya Rais
9. Ndugai pole kwa ugonjwa Ila pia Sina Imani kama tutamaliza Uongozi huu Na mtu anaitwa Spika Ndugai ni Ama utakuwa umefukuzwa kama Rais atabadilika Au kama ni Meko Majaliwa mengine Ni ya Mungu
10.Samia Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.maana akina Makonda, Polepole Na Sabaya wanakusimanga sana kwa Meko we Nyamaza maana ya Mungu Mengi ipo siku watakuona umuhimu Ama kuwatetea kwa Meko Au kupewa mamlaka zaidi Na meko wakakuheshimu
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani wewe Una tabia hiyo Kigwangalla
12. Watanzania wamechoka sana kwa ahadi zenu fake
13. Vipi ikitokea Samia akawa Rais kwa meko kunanii kulingana na katiba?
14 . Mwisho acheni Rushwa
Edited By britanicca
Britannica
Sikuwahi kuuona huu Uzi!Rudi usome tena..kama haja edit
Ame edit Uzi[emoji16][emoji16]Heshima kwako banaaas daaaaadaaaaa
Ka edit Uzi wewe,hakuna kitu hapaDuuh wangejua kusoma na kuelewa wangepona Ila hakuona wala kusikia maskni ya Mungu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kiburi na ubishi ni hasaraSijui ni Mungu katufumba sijui ni shetani,akili zetu na ufahamu wetu ungewekwa wazi huu ni unabii tosha wa kumponya mtu kabla hayajamfika ya kumfika.
17.03.2021Utabir uliotimia
Acha utapeli wewe, ume edit uzi ili uonekane mtabiri mzuri,
UZI WAKO ORIGINAL NI HUU
HII NAYO NI ADABU NJEMA
1. Usimpigie mtu kwa zaidi ya mara mbili mfululizo. Ukishaona simu yako haipokelewi basi elewa kuna sababu ya msingi acha subiri akupigie pindi atakapoona ulimtafuta.
2. Rejesha pesa ulizokopa bila kusubiri kukumbushwa na aliyekukopesha. Hiyo inaonesha uadilifu wako na tabia yako. Vivyo hivyo rejesha mwavuli, peni, kitabu au chochote ulichoazima hata kama kidogo usisubiri kukumbushwa.
3. Usiagize chakula cha gharama kubwa pale unapotolewa out na mtu. Ikiwezekana mwombe akuagizie mwenyewe au shauriana naye chakula gani unaweza kuagiza.
4. Usiulize maswali yenye ukakasi kama "Hee bado hujaolewa/hujaoa tu? Au " he! Hujapata mtoto tu?", "he! Hamjajenga tu? " Mwee bado tu hamjanujua gari?" Kwa kifupi ni kwamba hayakuhusu mhusika akipenda mjadili hilo ataanzisha mwenyewe.
5. Ikitokea unaingia mahali na kuna mtu anakuja nyuma yako ni vizuri ukamshikia mlango bila kujali umri au jinsia yake. Haikugharimu lolote kuonesha unajali.
6. Mkienda mahali na rafiki yako na akalipia usafiri au chakula basi jitahidi nawe kulipia zamu inayofuata usipende kupokea tu.
7. Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri.
8. Usiwakatishe watu wanapokuwa kwenye mazungumzo yao mfano kwenye kundi kubwa la watu wao wamejitenga pembeni wawili wanaongea jambo fulani wewe unajiingiza kwenye mazungumzo bila samahani na bila kukaribishwa.
9. Ukimtania mtu akaonesha kutofurahia acha mara moja na usirudie tena kumtania.
10.Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani.
12. Unapokutana na mtu huna sababu ya kukosoa uzito wake "hee mbona umenenepa hivyo?" Au "Mbona umekonda sana?" Hayakuhusu akitaka kukueleza mwenyewe atakueleza wewe unatakiwa kusema tu "Umependeza"
13. Mtu anapokuonesha picha kwenye simu yake usianze kwenda kushoto au kulia ili kutazama picha zingine ishia hiyohiyo anayokuonesha huwezi jua picha gani inafuata.
14. Mtu anapokuambia anakwenda hospitali usianze kumuuliza " una tatizo gani?" Haikuhusu akitaka atakuambia mwenyewe.
15. Mheshimu mfagizi kama unavyomheshimu boss maana heshima ni kitu cha bure.
16. Ongea na mtu huku unamtazama machoni sio kuwa bize na simu yako au kutazama pembeni.
17. Usitoe ushauri wowote kama hujaombwa kufanya hivyo.
18. Mkikutana na mtu usianze kumuuliza umri wake au kipato chake labda akuambie mwenyewe.
19.Vua mawani yako (kama ya urembo mf. ya jua) unapoongea na mtu.
20. Usiongelee mambo ya utajiri wako au mafanikio yako kwa watu wasio na uwezo wala mambo ya watoto wako kwa watu ambao hawajajajaliwa watoto.
Moderator MSIWE MNARUHUSU MTAPELI KAMA HAWA WACHEZEE JUKWAA, WANAHARIBU CREDIBILITY YAKE
Tunashukuru kwa Ku quote huu Uzi ,loo!
09.03.202117.03.2021