Mmeanza lini kuimbia wafu😏Hapa Kazi & Kasi Tu!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
Nanyi mmeanza lini kuwacheka wafu? Au nyie ndio wauaji wake au waumbaji wa uhai au mna guarantee ya immortality?Mmeanza lini kuimbia wafu😏
Ndugu yangu Elitweege, Etweege tangu lini ukasikia jiji ndani ya jiji. Na mbona silioni.Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Ndiyo Ukweli WenyeweKashaoza
Panaitwa MTUMBA nadhani ni ushamba wa Jaffo tu halafu bado sana nipo DODOMA hapaNdugu yangu Elitweege,Etweege tangu link ukasikia jiji ndani ya jiji. Na mbona silioni.
Mbona pakawaida sanaHuko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Aliyoyafanya ya kuua watu na kutesa watu unadhan watu wasifurahi!mbona nyir wenyewe mmeanza kufunguka huko bungeni? Mnaropokwa balaa...mtuacheNanyi mmeanza lini kuwacheka wafu, as if mna guarantee ya immortality?
Kashaoza
Liko la Skeleton huko ChatoWell well well
What about his statue ?
Ila inawezekena tukatofautiana kwa gumzo tutakalo waachia watakao baki hai.Kwani wewe hutaoza?
Anaweza kuliwa na Mnyama mkali sio wote lazima tuoze.Kwani wewe hutaoza?
Nanyi mmeanza lini kuwacheka wafu, as if mna guarantee ya immortality!???