Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Hao unaowaita watateseka kodi zao hazitumiki hapo ?

Awamu ya Tano imeleta uwao na sisi ambao hauna maana kabisa (Wamevunja kabisa umoja wetu tuliokuwa tunatembea kifua mbele Afrika na Dunia nzima)
Mwangushwa konyagi na kusingizia wasiojulikana si aliwaambia mpinge kila kitu?
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Tunahitaji Marais makatili zaidi ya Magufuli maana majizi matapeli na majambazi kama nyie mtakoma na mlikoma mkakomaa maamaayonyie
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!

Hamuaminiki nyinyi nyumbu
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820



Wanaotaka kumuua JPM hawataweza.
🤝🤝🤝
 
Nanyi mmeanza lini kuwacheka wafu, as if mna guarantee ya immortality!???
Magufuli na vibaraka wake walipokuwa wanakejeli watu waliowaua kama Ben Saaane, na waliowapiga risasi kama kina Lissu walikuwa na gurantee ya immortality? Hilo swali mngekuwa mmemuuliza kipindi hicho pengine leo angekuwa hai. Sisi tulijua na tunajua hatutaishi milele ndiyo maana tunakemea watu kuuawa au kuumizwa na wenye madaraka. Wewe ndiyo unajua leo? Pole sana!
 
Ni jambo la kheri na faraja kwa watanzania wenzetu walioko huko kuendeleza nchi yetu sote kwa mapenzi mema kabisa.
 
Tutamkumbuka kwa kuteka na kuua SHETANI MWENDAKUZI a.k.a IDD AMIN II KUTOKA CHATO.
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!

Hamuaminiki nyinyi nyumbu
 
Back
Top Bottom