Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!
Hamuaminiki nyinyi nyumbu
Na mwendazake kaangushwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!
Hamuaminiki nyinyi nyumbu
Watu wanajikombakomba mpaka kwa leo yaan duuh
Kama aliua na kutesa mafisadi na wezi ni sawa tu!Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Na wewe unaelekea huko tu. Shetani mkubwa!Walizoea kula teuzi kiaina hilo halipo jamaa yao analamba vumbi huko mavumbini no teuzi
Tunaongozwa na Averages minds sana, ukiwaona kama akili kubwa kumbe na viazi mbatata kabisa jamaa wanajipendekeza mpaka wanatia aibu, ilifika mahala zile live coverage nikawa siangalii maana kama huyo Jafo alikua akianza kusifia mpaka nnaona aibu mimiWalizoea kula teuzi kiaina hilo halipo jamaa yao analamba vumbi huko mavumbini no teuzi
Na wewe unaelekea huko tu. Shetani mkubwa!
Kuna ligi kwani
Ova
Na wewe unaelekea huko tu. Shetani mkubwa!
NdioNakuona kamati ya amani upo unatetea
Nasikitika kwanini aliwaacha wapuuzi kama nyie ilibidi muwekewe na pipe huko nyuma.Tutamkumbuka kwa kuteka na kuua SHETANI MWENDAKUZI a.k.a IDD AMIN II KUTOKA CHATO.
Uliishia kwenye makabrasha pale ufipa.Vipi ule mpango wa kuanzisha kundulisu City ulifikia wapi😃
Kwani kuna cha maana huko hata....Kuna ligi kwani
Ova
Kuna maguf00l city inatosha[emoji1]Vipi ule mpango wa kuanzisha kundulisu City ulifikia wapi[emoji2]
Mbona dar kuna mlimani city?Panaitwa MTUMBA nadhani ni ushamba wa Jaffo tu halafu bado sana nipo DODOMA hapa