Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Kuna mambo ambayo nadhani hayako sawa:
1. Ni wajibu wa Mshauri kutoa uamuzi kuhusu maombi ya nyongeza ya muda bila shinikizo kutoka kwa client. Uamuzi huo ukipelekwa kwa Client kwa utekelezaji ndio anaweza kuukataa au kuukubali. Ni kama vile Mshauri anapofanya maamuzi ya kiasi gani mkandarasi alipwe hatakiwi kuangalia uwezo wa client kulipa.

2. Maombi ya nyongeza ya muda mara nyingi yanajumuisha pia athari zilizotokana kutokana na ucheleweshaji wa malipo yake. Na hii inaweza kuwa na impact kubwa sana. Kwa mfano, kuna vifaa ambavyo alivikodi lakini kutokana na ucheleweshaji wa malipo ilibidi avirudishe kwa aliyemkodisha na sasa hivi havipo tena. Au kuna vifaa alitakiwa kuagiza kutoka nje lakini wakati huu havipatikani au upatikanaji wake umeathiriwa na Covid. Au aliwaachisha kazi mafundi wake ambao tayari wameajiriwa na makampuni mengine.

3. Mkandarasi amelipwa kwa kazi aliyofanya na sio kwa kazi atakayofanya. Unaweza kukuta kuna kiasi cha kutosha kinaenda kulipa madeni ya wale aliowakopa. Hayo yanaweza kuwa ni pamoja na maswala ya over draft za benki. Ndio maana mkandarasi pamoja na kulipwa outstanding certificates ana haki ya kudai riba na kurudishiwa gharama za ziada zilizotokana na ucheleweshaji huo. Hizi zinaweza kuwa kubwa.

4. Kazi za ziada za kupanda miti na kujenga vibanda zinahitaji makubaliano na mkandarasi. Mkandarasi anaweza kukataa kuzifanya kwa sababu zinaweza kumchelewesha kukamilisha kazi aliyoingia nayo mkataba.

Nimesema haya kwa sababu naona watendaji wanataka kuwa kama wanasiasa. Sio kila kitu kinatakiwa kufanywa hadharani. Press conference ingeitwa baada ya kufikia makubaliano na mkandarasi.

Mwisho, sidhani kama serikali ina mamlaka ya kuamuru kiwanda binafsi kimuuzie fulani bidhaa zake. Wangejadiliana na wenye viwanda nchini na kama havina uwezo basi serikali ingeangalia namna ya kumsaidia mkandarasi kuagiza kutoka nje.

Amandla....
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mjengeeni hata mbingu, haisaidii tena
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Hao waiompenda Magufuli unadai wapo mtandaoni tu je wanaishi sayari ya Mars?
 
Kama alivyo mbuzi wa kigodoro mama yako!!

Kuwa makini me mkongwe humu na nimeshakulaga BAN sn,najua lugha chafu balaa.Utaumia
Acha biti dgo ukongwe wako nyumbani kwako na wa toto wako hap tulia ubwede
 
Ni jambo zuri, napendekeza wangeweka na sanamu yake katikati ya huo mji ambapo kutakuwa na bustani safi kabisa watu wawe wanapumzika na kupiga picha. Hii itaongeza mvuto kwenye huo mji.
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Ninyi wenye ku-comment hv mnajulikana na mmegawanyikama makundi matatu

1. Fisadi la maofisini

2. Vyeti feki

3. wafanyabiashara wakwepa kodi

JPM was right
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820


Hivi tafsiri ya 'Magufuli City' kwa Kiswahili ni Mji wa Magufuli? Sio kwamba inatakiwa kuwa 'Jiji la Magufuli'? Sasa Jiji la Magufuli ndani ya Jiji la Dodoma!!
 
Ninyi wenye ku-comment hv mnajulikana na mmegawanyikama makundi matatu

1. Fisadi la maofisini

2. Vyeti feki

3. wafanyabiashara wakwepa kodi

JPM was right
Kabisa
 
Ni jambo zuri, napendekeza wangeweka na sanamu yake katikati ya huo mji ambapo kutakuwa na bustani safi kabisa watu wawe wanapumzika na kupiga picha. Hii itaongeza mvuto kwenye huo mji.
Uko sahihi
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mjengeeni hata mbingu, haisaidii tena
Mbowe nae atajengewa?
 
Kuna mambo ambayo nadhani hayako sawa:
1. Ni wajibu wa Mshauri kutoa uamuzi kuhusu maombi ya nyongeza ya muda bila shinikizo kutoka kwa client. Uamuzi huo ukipelekwa kwa Client kwa utekelezaji ndio anaweza kuukataa au kuukubali. Ni kama vile Mshauri anapofanya maamuzi ya kiasi gani mkandarasi alipwe hatakiwi kuangalia uwezo wa client kulipa...
Unatetea ujinga kwa faida ya nani?
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Halafu utawasikia wavimba macho eti Magufuli hakuacha legacy yoyote. Wakifika hapo muwe mnafumba macho!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Kwamba, kwamba, kwamba, kwamba, kwamba, kwamba
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
ingekuwa ni utashi wangu ningesema huu ni Mji wa JK - ni YEYE aliyeamua Mji huu ujengwe hapo badala ya kule maeneo ya UDOM!
 
Back
Top Bottom