Kamati bado Ina uchungu wa kuondokewa na kipenzi chao
Kamati ya amani walikua wako tingasi wakamkumbuka kipenzi chao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati bado Ina uchungu wa kuondokewa na kipenzi chao
Hao waiompenda Magufuli unadai wapo mtandaoni tu je wanaishi sayari ya Mars?Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Acha biti dgo ukongwe wako nyumbani kwako na wa toto wako hap tulia ubwedeKama alivyo mbuzi wa kigodoro mama yako!!
Kuwa makini me mkongwe humu na nimeshakulaga BAN sn,najua lugha chafu balaa.Utaumia
Labda, wamechukua kwa wakatoliki. Vipi kuhusu Abeid Karume na J. K. Nyerere - baba wa taifa na siku zao ya mapunziko?Mmeanza lini kuimbia wafu😏
Ninyi wenye ku-comment hv mnajulikana na mmegawanyikama makundi matatuWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Alishaoza tangu akiwa haiKashaoza
Mbowe nae atajengewa?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mjengeeni hata mbingu, haisaidii tena
Unatetea ujinga kwa faida ya nani?Kuna mambo ambayo nadhani hayako sawa:
1. Ni wajibu wa Mshauri kutoa uamuzi kuhusu maombi ya nyongeza ya muda bila shinikizo kutoka kwa client. Uamuzi huo ukipelekwa kwa Client kwa utekelezaji ndio anaweza kuukataa au kuukubali. Ni kama vile Mshauri anapofanya maamuzi ya kiasi gani mkandarasi alipwe hatakiwi kuangalia uwezo wa client kulipa...
Mbowe nae atajengewa?
Unaetetea ujinga ni wewe. Hamtaki kuelezwa ukweli ndio maana mwisho wa siku mnatuachia sisi kusafisha matokeo ya ubishi wenu.Unatetea ujinga kwa faida ya nani
Halafu utawasikia wavimba macho eti Magufuli hakuacha legacy yoyote. Wakifika hapo muwe mnafumba macho!Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Kwamba, kwamba, kwamba, kwamba, kwamba, kwambaHuko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
ingekuwa ni utashi wangu ningesema huu ni Mji wa JK - ni YEYE aliyeamua Mji huu ujengwe hapo badala ya kule maeneo ya UDOM!Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...