Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.

Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820


TUTAMKUMBUKA DAIMA RAIS WETU WA MIOYO YA WATANZANIA
 
Call whatever names you want who cares anyway? Nani ateseke tena ndugu?, mambo yashaisha hayo tayari, yaani kama ni ugali basi watu washaloweka sufuria tayari !!
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Umemala
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.

Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820

Kwa hiyo ndiyo atafufuka? Mbona wajane wa dhalim mnateseka sana?
 
Tusidanganyane Magufuli City au Mji wa Serikali wa Mtumba utopolo mtupu. Manyumba yamejengwa hovyo, barabara za vumbi, huduma za jamii shida hivyo basi kuwa changamoto kwa wafanyakazi.

Kwa namna hali ya fedha ilivyo sioni namna RAIS SSH kama kuendeleza utopolo wa mji huo unaoitwa Magufuli city
Kuna kitu kigumu unapitia wewe sio bure. Pole Sana.

Alieanzisha uzi kaweka na Vedio ya katibu mkuu akiongelea ujenzi wa barabara za Lami KM51 zikiwa asilimia 70. Afu wewe imasema barabara za vumbi?
 
Wengine watafika mahali kutaka hata kubadili jina la nchi yetu!
 
Ndugu yangu. Punguza ukali wa maneno, utakugharimu siku moja we we! Hebu tupatie huo ushahidi wa mauaji na ukatili alioufanya ili tuuoganaizi na kumkabidhi Mama na vyombo vyake vya dola ili aufanyie kazi. Tafadhali Siku nyingine usirudie, acha utoto kabisa!
 
Kuna kitu kigumu unapitia wewe sio bure. Pole Sana.

Alieanzisha uzi kaweka na Vedio ya katibu mkuu akiongelea ujenzi wa barabara za Lami KM51 zikiwa asilimia 70. Afu wewe imasema barabara za vumbi?
Onyesha hata choo cha shimo tu cha chadema walichojenga siyo kuropoka ty mzee!
 
ha
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
hata awamu zilizopita waliua
 
Ndugu yangu. Punguza ukali wa maneno, utakugharimu siku moja we we! Hebu tupatie huo ushahidi wa mauaji na ukatili alioufanya ili tuuoganaizi na kumkabidhi Mama na vyombo vyake vya dola ili aufanyie kazi. Tafadhali Siku nyingine usirudie, acha utoto kabisa!
Alimuua Ben Saanane, Azory Gwanda, wale 300 wa MKIRU na alimuru Lissu ashambukiwe kwa risasi 16
 
Back
Top Bottom