Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hovyoooooooooMajizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
hatafufuka,tunataka nawewe ufe kwa sonona baada ya kuona haya.Kwani atafufuka akijengewa hio cite..
kisa cha kumshikia mimba nini kama ulikula kwa jasho lako!!!Na
tesekea kwani alikua ananipa kula kusema nalala njaa?[emoji867]
dildo za jina lake zitawafaa.Baelezee baelezee hahaha
Watengeneze na boksa zenye jina lake tuvae mana tushachoka
hakuna nafasi ya kustarehe kwa wahuni na wapuuzi.Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Watu wa mtandaoni Wana mwonekano gani,ama ni wa nchi au bara gani.Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Ímebadilika kidogo,sasa ni kazi iendelee.Nina mis sana "HAPA KAZI TU"
Tusidanganyane Magufuli City au Mji wa Serikali wa Mtumba utopolo mtupu. Manyumba yamejengwa hovyo, barabara za vumbi, huduma za jamii shida hivyo basi kuwa changamoto kwa wafanyakazi.Ukifa wewe utaoza siku hiyohiyo. JPM anaendelea kuishi kwenye mioyo ya watu na kwenye uso wa dunia.
Mfano ni hapo Magufuli City.
Huna jeuri hiyo kijana kaa kwa kutulia ukingoja kifo chakoSisi ndio tumemuwekea sasa.
Wengine humu ni maofisa usalama wenye kazi maalumu ya ku shape public opinion.Ninyi wenye ku-comment hv mnajulikana na mmegawanyikama makundi matatu
1. Fisadi la maofisini
2. Vyeti feki
3. wafanyabiashara wakwepa kodi
JPM was right
Zaa kwanza hiyo mimbaTusidanganyane Magufuli City au Mji wa Serikali wa Mtumba utopolo mtupu. Manyumba yamejengwa hovyo, barabara za vumbi, huduma za jamii shida hivyo basi kuwa changamoto kwa wafanyakazi.
Kwa namna hali ya fedha ilivyo sioni namna RAIS SSH kama kuendeleza utopolo wa mji huo unaoitwa Magufuli city
Keshaoza huko chato mnahangaika bure, ameshakutana na aliowauaMajizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Angeidondosha nchi ama angewadondosha MAJIZI?angeidondosha nchi kama angeendelea kutawala.