Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Where is he now? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
We jasusi la "twirrah" niaje?

Afu zamani nilikuaga najua jasusi ni jitu fulani supernatural lenye maguvu na uwezo wa kutisha.

Kumbe.....

Hivi kwani we ni jasusi?

Walikuwa wanakuitaje huko? Jasusi ama?

Si huwa nasikia kuna vitengo sijui? Wengine wanaitwa majasusi, wengine under cover sijui na manini nini?

Walishakufukuza? Ulikuwa huna nidhamu ama?
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820




Watanzania tuacheni tabia ya kutafuta ushindani usio na msingi! Ni nani apendi wananchi kujengewa nyumba. Haya ndiyo mambo Raisi Samia anayosema watu wanashinda kuweka uzushi. Watu wanashinda kutafuta vitu vya kupingana bila sababu
 
Aliyoyafanya ya kuua watu na kutesa watu unadhan watu wasifurahi!mbona nyir wenyewe mmeanza kufunguka huko bungeni? Mnaropokwa balaa...mtuache
Kuua watu kwa maslahi ya nchi sidhani kama ni tatizo.

Maendeleo ni vita na vita haina lelemama unapoingia vitani na askari mzuri ni anayemuangamiza adui mara mmoja kulingana na kiapo chake.

Kama alitoa amri ya watu kuuwawa kwa maslahi ya nchi nadhani ni baada ya kupewa taarifa na kuthibitishiwa na vyombo vyenye mamlaka ya kuua kupitia walioua na waliomshauri JPM hakuwa na kosa.
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820


kwio
 
Comment ya kipungu kuliko zote nilizowahi kuzisoma! Mfyuuuuuu!
Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli (may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏), ni rais atakayekumbukwa kwa vizazi vingi vijavyo kuwa ni rais aliyewapenda wananchi wake kama baba anavyowapenda na kuwalea watoto wake responsibly, na kwamba hakuwa na uvumilivu kwa yeyote aliyejaribu kuwaonea au kuwanyanyasa wananchi wake hasa wanyonge🤔, rais aliyeamini na kutekeleza dhana ya kujitegemea na 'value for 💰 na hivyo kuvunja rekodi ya kuipaisha kiuchumi Tz ktk kipindi ambacho dunia yote iliporomoka kiuchumi na kuifikisha uchumi wa kati! Kwa upande mwingine, atakumbukwa kwa kuwa adui mkuu wa mafisafi, wababaishaji(wafoji vyeti/vyeti feki, wezi, waonevu na wanyanyasaji wa watz wanyonge!
Hili kundi kwa upumbafu wao ndilo hasa litamkumbuka kwa kumchukia na kumuona katilo!
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
N
 
..Naunga mkono kuwepo kwa kumbukumbu za Magufuli.

..Wanaompenda Magufuli watafarijika kutokana na kufiwa kila wanapokutana na kumbukumbu yake.

..Wasiompenda Magufuli wakiona kumbukumbu zake watakuwa wanahakikishiwa kwamba mtesi wao amekufa hivyo nao watakuwa na furaha wakati wote.
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!


^Na wavimbe wapasuke^
 
Aliyoyafanya ya kuua watu na kutesa watu unadhan watu wasifurahi!mbona nyir wenyewe mmeanza kufunguka huko bungeni? Mnaropokwa balaa...mtuache


^Kufunguka Bungeni^!??? Ndiyo maana mapeeemaaa Anko Bulldozer alijinasibu waziwazi -- ^Ndugu zangu, mnaweza msinione kama wanasiasa mliowazoea^ Wabunge wanalinda vyeo vyao, as usual. Hata Mbowe wako leo ingetokea fursa tunda la Urais limdondokee, kama hivi kwa Bi Mkubwa, ukweli si uongo, msema kweli mpenzi wa Mola, haohao wabunge usingeamini macho na masikio yako. Umeelewa sasa!???

Wazo la msingi ni kwamba JPM hakuwa na watu wengi walioelewa na kuishi falsafa & njozi zake. Ndiyo maana ya panga pangua na tumbua tumbua nyingi za wakati wake. Hivyo, ^kufunguka kwao Bungeni^ sasa hakudhihirishi ushujaa wowote kwa upande wao, bali kiwango kikubwa cha woga na hulka ya unafiki. Hao watu wa sampuli hiyo ni just nominal leaders.
 
Halafu mbona Anko mwenyewe hakuwa mkali vile!??? Watu wanajua kunogesha habari jamani, acheni!!!


Ukiwa mjinga ni mjinga tu.

Wapo waliokuwa wanachapwa viboko mashuleni na walimu i.e hesabu na kuwachukia walimu hao na kuwapa majina machafu kama mnavyofanya leo na wanakula matunda kwa uvumilivu wao.

Huko ujerumani na Itatia wapo waliomchukia Hitler na Msolini kwa ukatili wao lakini leo wanachekelea maendeleo ya nchi zao

Afrika wapo waliowachukia wakoloni kwa ukatili wao wakati wa ujenzi wa miundombinu i.e. reli lakini leo wanachekelea na kuitumia.

Kagame angewasikiliza Wanyarwanda wanvyotaka wasingekuwa hapo kimaendeleo.

Wkoloni wangewasikiliza Waafrika tunavyotaka hata reli tusingekuwa nazo leo.

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo Waafrika tumezoea kusukumwa bila hivyo hatufanikiwi Rais Magufuri alikuwa sahihi kwani hata dini tunazojifanya ni zetu na kuziabudu tumezipokea kwa ukatili wa hali ya juu.

Tuache mideko maendeleo ni vita siyo lele mama!
 
Well-said. Ila tu hapo kwenye RIP ni false assertion. Sorry for disappointment.

Comment ya kipungu kuliko zote nilizowahi kuzisoma! Mfyuuuuuu!
Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli (may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏), ni rais atakayekumbukwa kwa vizazi vingi vijavyo kuwa ni rais aliyewapenda wananchi wake kama baba anavyowapenda na kuwalea watoto wake responsibly, na kwamba hakuwa na uvumilivu kwa yeyote aliyejaribu kuwaonea au kuwanyanyasa wananchi wake hasa wanyonge🤔, rais aliyeamini na kutekeleza dhana ya kujitegemea na 'value for 💰 na hivyo kuvunja rekodi ya kuipaisha kiuchumi Tz ktk kipindi ambacho dunia yote iliporomoka kiuchumi na kuifikisha uchumi wa kati! Kwa upande mwingine, atakumbukwa kwa kuwa adui mkuu wa mafisafi, wababaishaji(wafoji vyeti/vyeti feki, wezi, waonevu na wanyanyasaji wa watz wanyonge!
Hili kundi kwa upumbafu wao ndilo hasa litamkumbuka kwa kumchukia na kumuona katilo!
 
[emoji28][emoji28][emoji28] acheni mzee wa Watu Apumzike aaahhh Kwani hizi hela alitoa mfukoni. Malizeni Matanga Harudi huyo atiii
 
[emoji28][emoji28][emoji28] acheni mzee wa Watu Apumzike aaahhh Kwani hizi hela alitoa mfukoni. Malizeni Matanga Harudi huyo atiii

Vipi na wewe ni mjumbe kwenye kamati ya amani ile ya wavuta bange akina malasusa?
 
Back
Top Bottom