Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Vile viroba vilikuwa vinatupwa baharini na mto Ruvu vikiwa na miili ya binadamu hukuwahi kusikia au kuona kwenye vyombo vya habari?
Kuna ushahidi gani kama alitupa yeye? Au alihusikaje?
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.

Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820

Eti Magufuli City,Duh...huyu jamaa ilikuwa ni lazima afe mapema kabla ya muda wa Mungu,kwa sababu alizidi mno kujitukuza, halafu wafuasi wake wote vi vilaza wa kutupwa.
Magufuli City hata haina mvuto,hata kwa watalii ,ingekuwa "NYERERE CITY" ingeleta maana,kwa sababu Nyerere aliondoka Duniani akiwa na heshima kubwa na si huyo Dikteta uchwara ambaye hata Dikteta mwenzake Kagame aligoma kuja kumzika,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mataga mna tabu sana.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Haita rejesha roho za wale wahanga aliowaua kikatili wala aliowajeruhi akifikiri yeye angetawala na kuishi milele. Asubiri adhabu yake kwa uovu aliowatendea watu wasio na hatia.
 
Eti Magufuli City,Duh...huyu jamaa ilikuwa ni lazima afe mapema kabla ya muda wa Mungu,kwa sababu alizidi mno kujitukuza, halafu wafuasi wake wote vi vilaza wa kutupwa.
Magufuli City hata haina mvuto,hata kwa watalii ,ingekuwa "NYERERE CITY" ingeleta maana,kwa sababu Nyerere aliondoka Duniani akiwa na heshima kubwa na si huyo Dikteta uchwara ambaye hata Dikteta mwenzake Kagame aligoma kuja kumzika,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mataga mna tabu sana.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
bado wana hangover
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
acha kuweweseka uyo ndugu yenu ashadedi
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Na siku utawala wa ccm ukiangushwa majina yote waliyoyapa kwa rasilimali zetu tutafuta na kubatiza upya kama walivyo fanya DRC baada ya kumpiga chini Mobutu.
Hata Ujerumani huwezi kukuta jina la Hitler au wale wasaidizi wake kwenye chama cha NAZI au GESTAPO.
Huyu hana hadhi hata ya choo cha stand kupewa jina lake
 
Na siku utawala wa ccm ukiangushwa majina yote waliyoyapa kwa rasilimali zetu tutafuta na kubatiza upya kama walivyo fanya DRC baada ya kumpiga chini Mobutu.
Hata Ujerumani huwezi kukuta jina la Hitler au wale wasaidizi wake kwenye chama cha NAZI au GESTAPO.
Huyu hana hadhi hata ya choo cha stand kupewa jina lake
Mtaangushwa na konyagi msingizie wasiojulikana mpaka mkome.

Ccm iko palepale
 
Na siku utawala wa ccm ukiangushwa majina yote waliyoyapa kwa rasilimali zetu tutafuta na kubatiza upya kama walivyo fanya DRC baada ya kumpiga chini Mobutu.
Hata Ujerumani huwezi kukuta jina la Hitler au wale wasaidizi wake kwenye chama cha NAZI au GESTAPO.
Huyu hana hadhi hata ya choo cha stand kupewa jina lake
Duuh! umenikumbusha masanamu ya marehemu mzee Karl Max yalivyokua yanaangushwa kwa kutumia crane huko nchi za ulaya ya mashariki baada ya siasa zenye mlengo wa kikomunist kushindwa,hiyo ilikuwa ni mwishoni mwa miaka ya 90.
 
Mtaangushwa na konyagi msingizie wasiojulikana mpaka mkome.

Ccm iko palepale
CCM iko palepale? Kumpelekea Sabaya sabuni huko Kisongo maana kila akiangusha haipatikani tena shauri za kazi ya nyapala. Mtaishia jela wote nyie
 
Na siku utawala wa ccm ukiangushwa majina yote waliyoyapa kwa rasilimali zetu tutafuta na kubatiza upya kama walivyo fanya DRC baada ya kumpiga chini Mobutu.
Hata Ujerumani huwezi kukuta jina la Hitler au wale wasaidizi wake kwenye chama cha NAZI au GESTAPO.
Huyu hana hadhi hata ya choo cha stand kupewa jina lake
Halafu yawekwe ya Mbowe na Msigwa au Lissu siyo?😛
 
Hebu weka ushahidi ili tuufanyie Nazi. Vinginevyo nawe utakuwa mhalifu km wahalifu wengine tu.
Wewe siyo Mahakama ila zitakapopatikana Mahakama huru hata Kama siyo kwenye Utawala huu wa CCM, tutarudi hapa tukuwekee ushahidi. Muuaji wa Ben Saanane ni Mwendazake
 
Halafu yawekwe ya Mbowe na Msigwa au Lissu siyo?[emoji14]
Umesema wewe hayo. Kwani nani alikuambia kuwa kila kitu lazima kipekee jina la mtu?
Stand ya Mbezi ilikuwa lazima iitwe Magufuli au ni ushamba tuu?
Soko la Dodoma Ndugai kwa sababu zipi wakati wapo wakongwe wa Dodoma kama mtemi Mazengo nk?
Jiwe alikuwa kiatu kwelikweli!
 
Back
Top Bottom