Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.

Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.

Huyu mtu hayupo hatuna haja ya kumpenda au kumchukia! Inaelekea watu bado hawaelewi kama mwendazake keshaenda! Mada nyingine bwana!! Utapendaje au kuchukia kivuli?
 
Huyu mtu hayupo hatuna haja ya kumpenda au kumchukia! Inaelekea watu bado hawaelewi kama mwendazake keshaenda! Mada nyingine bwana!! Utapendaje au kuchukia kivuli?
Lakini flyover, ndege ,meli mpyaa hazijaenda
 
ulishawahi kumwona wapi malaya akatosheka, nyie malaya tu, hata lingeandikwa hilo jina la mkongwe Mazengo huyo, mnelibwatuka tu,

Mlibwatuka ufisadi wa Lowassa, mlisema hatai popote, lakini mlivyomalaya, mkampokea na kumfanya awe Kiongozi wenu mkuu

Chadema malaya wakubwa ninyi!![emoji23]
Duh, ulivyozaliwa wakafikiri wamepata mtu kumbe mfano wa mtu! Hizi akili si ni za ngedere kabisa!
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Mkuu habari yoyote inayomuhusu mtu muuaji lazima watu waipe kipaumbele, wanatamani kusikia kama amekufa mara ya pili huko aliko lakini ndiyo hivyo tena
 
Mkuu habari yoyote inayomuhusu mtu muuaji lazima watu waipe kipaumbele, wanatamani kusikia kama amekufa mara ya pili huko aliko lakini ndiyo hivyo tena
Unateseka sana
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Yeye yuko kaburini. Angekuwa anatenda haki, kwa yote aliyokuwa anafanya angekuwa mtu wa maana sana. Kwa tuliyopitia, tunashindwa kumtafautisha na shetani.
 
Yeye yuko kaburini. Angekuwa anatenda haki, kwa yote aliyokuwa anafanya angekuwa mtu wa maana sana. Kwa tuliyopitia, tunashindwa kumtafautisha na shetani.
Kwendraaaaa akili nusu. Hakuna raisi atafanya vitu jpm alivyofanya ndani ya miaka 5. Maendeleo aliyayafanya yatadumu milele.

Hakuna kitu samia atafanya kipya vyote jpm aliacha ashatengeneza nusu nusu.

Wewe bado katoto hujui kitu. Tumepoteza rais makini roho inauma.
 
Kwendraaaaa akili nusu. Hakuna raisi atafanya vitu jpm alivyofanya ndani ya miaka 5. Maendeleo aliyayafanya yatadumu milele.

Hakuna kitu samia atafanya kipya vyote jpm aliacha ashatengeneza nusu nusu.

Wewe bado katoto hujui kitu. Tumepoteza rais makini roho inauma.
Safi sana mkuu
 
Yeye yuko kaburini. Angekuwa anatenda haki, kwa yote aliyokuwa anafanya angekuwa mtu wa maana sana. Kwa tuliyopitia, tunashindwa kumtafautisha na shetani.
Flyover, ndege, zahanati elimu bure nazo ziko kaburini?
 
Kwendraaaaa akili nusu. Hakuna raisi atafanya vitu jpm alivyofanya ndani ya miaka 5. Maendeleo aliyayafanya yatadumu milele.

Hakuna kitu samia atafanya kipya vyote jpm aliacha ashatengeneza nusu nusu.

Wewe bado katoto hujui kitu. Tumepoteza rais makini roho inauma.
Duh! Katoto kana miaka 15 JF?!
Kama roho inauma, mfuate huko jehanamu.
 
Flyover, ndege, zahanati elimu bure nazo ziko kaburini?
Hivyo ni vitu, yeyote yule anaweza fanya. kwani ndio zahanati za kwanza nchini? Utu kwanza, hata tembo anaweza kunya jivi kubwa ukaliita flyover. Anyway, poleni sana washirika wa uovu.
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.

Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.

Huo mji unakusaidioa nini unapoitwa magufuli, je, maisha yako yatabadilika au atafufuka?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom