Duplicate_90
JF-Expert Member
- Mar 29, 2020
- 272
- 308
Mnaanzaje kupenda mizimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Umesema wewe hayo. Kwani nani alikuambia kuwa kila kitu lazima kipekee jina la mtu?
Stand ya Mbezi ilikuwa lazima iitwe Magufuli au ni ushamba tuu?
Soko la Dodoma Ndugai kwa sababu zipi wakati wapo wakongwe wa Dodoma kama mtemi Mazengo nk?
Jiwe alikuwa kiatu kwelikweli!
Ni kazi sana kumwelewesha MTU asiyejitambuaWewe siyo Mahakama ila zitakapopatikana Mahakama huru hata Kama siyo kwenye Utawala huu wa CCM, tutarudi hapa tukuwekee ushahidi. Muuaji wa Ben Saanane ni Mwendazake
Mbona pakawaida sana
UPO SAHIHI kubwajinga 🤣🤣🤣 🍺Kama babu yako alivyokufa
KUBWA JINGA KATIKA UBORA 🤣🤣🤣🤣😂😂Kakope na wewe uiinue chadema
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Zipi mbona unanichanganya na mbowe anandege ? Tuanzia na alizonunua magufuli ambazo sasa ni urithi wa mama janethKumbe ndege amenunua mbowe?
pewa kinywaji na muhudumu alete bill kwangu haraka sana, jiwe atabaki kuwa shetani aliyetesa na kuua mamia ya watu waiokuwa na hatia, hata si wajenge bingu waiite hio bingu magufuri heaven, wajinga sana hao jamaaWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Kwa nini kila zuri anatwishwa raisi, hata kama halimuhusu moja kwa moja? Na baya hatakiwi atwishwe yeye, kama ilivyo kwa mazuri?Kwani kila anayepotea ni raisi ndo kamchukua? Acheni unafiki twende na wakati
Lilishaondoka milele!Hapa Kazi & Kasi Tu!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
Alimuua baba yako na mama yako?Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Bila kutaja MBOWE ! MAVI HUWA YANAGONGA CHUPI??Kumbe ndege amenunua mbowe?