Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Hapa Kazi & Kasi Tu!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
hapo mnafurahi wenyewe 😂😂 ila mataga bna
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wak...
Wanaompenda ndio watateseka maana hayupo tena.
 
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake...
Ndiyo atafufuka?
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!

Toa ushahidi bhas
 
Hao unaowaita watateseka kodi zao hazitumiki hapo ?

Awamu ya Tano imeleta uwao na sisi ambao hauna maana kabisa (Wamevunja kabisa umoja wetu tuliokuwa tunatembea kifua mbele Afrika na Dunia nzima)
 
Back
Top Bottom