Magufuli hakika ulijitolea maisha yako kwa ajili ya Watanzania

Magufuli hakika ulijitolea maisha yako kwa ajili ya Watanzania

Wewe umesema nithibitishe ,nimekuuliza nithibitishe nini? Usikurupuke utakuja kufungwa.
Screenshot_2023-05-14-11-13-53-411_com.instagram.android.jpg
 
Rais alie ona kesho ya ya Tanzania akaitengeneza usiku na mchana lakini hakuiona. Legacy yake italitikisa Taifa
 
Huyo mfu wako aliongoza nchi kwa maslahi yake, familia yake na wapambe wake usitukumbushe habari za huyo katili muuaji. Huna hata haya we ngedere eti alijitoa kwa ajili ya watu, labda alijitoa kwa ajili ya mamako. Yule mhutu mbaguzi?

Aligawa nchi, alimsaidia nani, alifukuza wafanyakazi kwa chuki na roho mbaya tu, km ni vyeti, PhD yake ni feki na ukweli wake ukaondoa roho ya Ben Saanane.

Wafanyakazi wa nchi hii waliishi kwa vitisho hawakujaribu kunyanyua midomo yao kudai hazi zao za kupandishwa madaraja wala mishahara maana ukijaribu jibu lilikuwa acha kazi kama unaona hailipi, watu waliishi km wako jehanamu usitutoneshe vidonda we poyoyo.

Hakuna ajira miaka 6, mpaka leo watanzania wamejaa mitaani na vyeti vyao watu wanawakebehi, wanawatukana kisa Magufuli, yule shetani anatakiwa afe mara 7 bado hajafa na aitumikie adhabu ya kaburi inavyomstahili.
Unaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.

Kuhusu watu kukosa ajira nikuambie tu hakuna siku wahitimu wote watapata ajira. Kwani sasa hvi wote wameajiriwa? Je hao ambao wameajiriwa ni wengi kuliko wasioajiriwa?
 
Unaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.

Kuhusu watu kukosa ajira nikuambie tu hakuna siku wahitimu wote watapata ajira. Kwani sasa hvi wote wameajiriwa? Je hao ambao wameajiriwa ni wengi kuliko wasioajiriwa?
Miaka mitano bila Wahitimu kuajiriwa je huo ni uwekezaji au kuua uchumi?
 
Baada ya huyu Mzee kufa hatujasikia tena watu kutekwa wala kuokota maiti kwenye viroba..Hakika alikuwa ni........
 
Unaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.

Kuhusu watu kukosa ajira nikuambie tu hakuna siku wahitimu wote watapata ajira. Kwani sasa hvi wote wameajiriwa? Je hao ambao wameajiriwa ni wengi kuliko wasioajiriwa?
Jibu hoja
 
Bado hujakomaa, na bado hujajua na kuona mengi. Umeona mambo ya kawaida sana. Hayo uliyoyataja ni ya kawaida mno kwa wabobezi na wajuvi wa aina yetu.
Endeleza mazungumzo na wenzako wenye uwezo wa kawaida wa kutumia akili.
Ni mambo ya kawaida kwa wapumbavu
 
Hey, usituaribie Uzi.
Tumia lugha za stara naona umekazania neno "pumbavu". Hapa sio kilabuni, kama unashindwa kubishana kwa hoja usitukane watu.
Upumbavu ni kuujua ukweli
Kuuona ukweli
Lakini kuamini na kutaka kuaminisha watu uongo.
Upumbavu ni mjinga asiyejitambua kuwa ni mjinga.
Huu uzi ni wa kipumbavu
 
Back
Top Bottom