Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umesema nithibitishe ,nimekuuliza nithibitishe nini? Usikurupuke utakuja kufungwa.
Kila kitu kwa Magufuri kilikuwa cha kufoji kuanzia uraia wake,elimu yake ,uongozi wake,maneno yake hata kifo chake.Cheti feki
Aaa wapiRais alie ona kesho ya ya Tanzania akaitengeneza usiku na mchana lakini hakuiona. Legacy yake italitikisa Taifa
Alipe mapunjo ya watumishi aliyoyasababisha kwa kuuza mali zake
Ujumbe umefika Magufuri na wapambe wake ni mabingwa kupiga data za uongo.Kila kitu kwa Magufuri kilikuwa cha kufoji kuanzia uraia wake,elimu yake ,uongozi wake,maneno yake hata kifo chake.
Punguza bangi yenye mbeguWewe ni mtoto wa juzi? Huyo azory gwanda muulize baba yenu mkwere maana ilikua awamu yenu
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
Unaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.Huyo mfu wako aliongoza nchi kwa maslahi yake, familia yake na wapambe wake usitukumbushe habari za huyo katili muuaji. Huna hata haya we ngedere eti alijitoa kwa ajili ya watu, labda alijitoa kwa ajili ya mamako. Yule mhutu mbaguzi?
Aligawa nchi, alimsaidia nani, alifukuza wafanyakazi kwa chuki na roho mbaya tu, km ni vyeti, PhD yake ni feki na ukweli wake ukaondoa roho ya Ben Saanane.
Wafanyakazi wa nchi hii waliishi kwa vitisho hawakujaribu kunyanyua midomo yao kudai hazi zao za kupandishwa madaraja wala mishahara maana ukijaribu jibu lilikuwa acha kazi kama unaona hailipi, watu waliishi km wako jehanamu usitutoneshe vidonda we poyoyo.
Hakuna ajira miaka 6, mpaka leo watanzania wamejaa mitaani na vyeti vyao watu wanawakebehi, wanawatukana kisa Magufuli, yule shetani anatakiwa afe mara 7 bado hajafa na aitumikie adhabu ya kaburi inavyomstahili.
Miaka mitano bila Wahitimu kuajiriwa je huo ni uwekezaji au kuua uchumi?Unaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.
Kuhusu watu kukosa ajira nikuambie tu hakuna siku wahitimu wote watapata ajira. Kwani sasa hvi wote wameajiriwa? Je hao ambao wameajiriwa ni wengi kuliko wasioajiriwa?
Jibu hojaUnaongea kwa mihemko sana. Miradi yote inayoendelea hapa nchini hasa mikubwa ni Magufuli aliianzisha karibia kwenye kila sekta na yote ikikamilika wewe mwenyewe na familia yako utanufaika.
Kuhusu watu kukosa ajira nikuambie tu hakuna siku wahitimu wote watapata ajira. Kwani sasa hvi wote wameajiriwa? Je hao ambao wameajiriwa ni wengi kuliko wasioajiriwa?
Ni mambo ya kawaida kwa wapumbavuBado hujakomaa, na bado hujajua na kuona mengi. Umeona mambo ya kawaida sana. Hayo uliyoyataja ni ya kawaida mno kwa wabobezi na wajuvi wa aina yetu.
Endeleza mazungumzo na wenzako wenye uwezo wa kawaida wa kutumia akili.
Upumbavu ni kuujua ukweliHey, usituaribie Uzi.
Tumia lugha za stara naona umekazania neno "pumbavu". Hapa sio kilabuni, kama unashindwa kubishana kwa hoja usitukane watu.
Swali la kipumbavu uliza lenye akili kidogoSasa uliweza kumrudisha huyo sijd kwenye kitini?