Magufuli hakika ulijitolea maisha yako kwa ajili ya Watanzania

Magufuli hakika ulijitolea maisha yako kwa ajili ya Watanzania

Naimbie ni Raisi gani ambaye alikuwa madarakani akaacha kupaendeleza kwao.

Tazama sasa Zanzibar inavyochanua unafikiri kwa nini?
Nyerere na Mkapa hawakupendelea kwao, kwa akili yako kupendelea kwao kwako ni jambo jema kwa ustawi wa nchi?
 
Punguza miemko, kuwa na stara.

Usiandike kama unaropoka, lugha za kejeli za nini hapa!

Kama hauwezi kuzuia hisia zako basi haina haja ya kubishana.

Ulitaka Magufuli akulambe miguu, na akuletee chakula mezani kwako.
Aliyoweza kufanya kwa uwezo wake na kwa watu kama nyinyi ambao ni selfish na wachumia tumbo wakubwa inatosha.

Halafu tatizo la ajira sio Tanzania tu, tatizo la Ajira lipo Duniani kote. Kama hujui ndio ujue sasa, uko tuendako Artificial Intelligence AI ita-mreplace mwanadamu kwa sehemu kubwa sana. Kitakacho matter ni wewe una Skills gani na sio wewe umesomea nini?

Ishi kwa mabadiliko ya Dunia yanavyokwenda husiishi kwa kukariri vinginevyo utakwenda na maji.​
Kuwafilisi wapinzani kama alivyofanya kwa Mbowe ni sawa?
Kuwashambulia wapinzanikama Lissu kwako ni sawa?
Kuwaua waliotofautiana nae kama Simon Kangoye, Azory Gwanda na wengineo ni sawa?
Kuwateka anaotofautiana nao kwako ni sawa?
Kutumia rasilimali za taifa bila ridhaa na kibali cha bunge kujenga uwanja wa ndege wa Chato kijijini kwake kwako ni sawa?
Kupora uchaguzi na mchakato wa uchaguzi na kuwaingiza kinyume cha sheria akina Halima Mdee bungeni kwako ni sawa?
Haya ndio mabadiliko ya dunia?
Upstairs kuna tatizo kubwa kuliko dikteta Magufuli
 
Nionyeshe rafiki zako nikuambie tabia yako. Kwa mtu aliyewateua watu kama Sabaya na Makonda kisha kuwalinda inaonyesha tabia yake ni ipi. Nachomsifia Magufuli licha ya mauaji na ukatili dhidi ya raia wake, wizi kama tunavyozidi kufunuliwa kupitia waandishi nguli kwenye kitabu cha I am the state. Upigwaji wa 1.5trillion ulioficguliwa na CAG profesa Assad aliposema akamtimua bado kuna majuha wanamuona mzalendo, hicho ndicho kipaji cha Magufuli

CAG report is a technical report. Siyo kila lumpen kama wewe anaweza kuisoma na kuielewa.
 
Issue uliyoisema ni CAG report. Sasa suala la muuaji limetokea wapi ewe lumpen?
Wewe mpumbavu zaidi ya wizi alipoamua kumfukuza kazi CAG profesa Assad aliposema kwa kusema kweli, Magufuli pia ni muuaji, jambazi shetani kumsapoti lazima uwe chizi
 
Wewe mpumbavu zaidi ya wizi alipoamua kumfukuza kazi CAG profesa Assad aliposema kwa kusema kweli, Magufuli pia ni muuaji, jambazi shetani kumsapoti lazima uwe chizi

Haya mambo hayahitaji hasira, hisia wala jazba. Tulia bwana mdogo. Hujui akina nani na wangapi wamekufa katika awamu zilizopita. Kaa kimya tu. Hujui mengi. Ukikua utajua.
 
Mtoto
Haya mambo hayahitaji hasira, hisia wala jazba. Tulia bwana mdogo. Hujui akina nani na wangapi wamekufa katika awamu zilizopita. Kaa kimya tu. Hujui mengi. Ukikua utajua.
Mtoto huku haukuwezi acha wenye akili wazungumzie mustakabali wa nchi yetu, kama unampenda muuaji, mwizi, aliyepora pesa kwenda kujenga uwanja wa ndege wa Chato kijijini kwake bila ridhaa na kibali cha bunge utakuwa kichaa kuliko yeye
 
Mtoto

Mtoto huku haukuwezi acha wenye akili wazungumzie mustakabali wa nchi yetu, kama unampenda muuaji, mwizi, aliyepora pesa kwenda kujenga uwanja wa ndege wa Chato kijijini kwake bila ridhaa na kibali cha bunge utakuwa kichaa kuliko yeye

Bado hujakomaa, na bado hujajua na kuona mengi. Umeona mambo ya kawaida sana. Hayo uliyoyataja ni ya kawaida mno kwa wabobezi na wajuvi wa aina yetu.
Endeleza mazungumzo na wenzako wenye uwezo wa kawaida wa kutumia akili.
 
Pumbavu bado limekariri mistari ya chuoni, wake up juha wewe face reality
Hey, usituaribie Uzi.
Tumia lugha za stara naona umekazania neno "pumbavu". Hapa sio kilabuni, kama unashindwa kubishana kwa hoja usitukane watu.
 
Kuwa kiongozi mzuri Na ukakubalika kwa wale unaowaongoza ni package.

Kuna mambo ya msingi ukikosea inatia dosori kubwa kwenye uongozi mzima.

This is a lesson.
 
Back
Top Bottom