Nyerere na Mkapa hawakupendelea kwao, kwa akili yako kupendelea kwao kwako ni jambo jema kwa ustawi wa nchi?Naimbie ni Raisi gani ambaye alikuwa madarakani akaacha kupaendeleza kwao.
Tazama sasa Zanzibar inavyochanua unafikiri kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere na Mkapa hawakupendelea kwao, kwa akili yako kupendelea kwao kwako ni jambo jema kwa ustawi wa nchi?Naimbie ni Raisi gani ambaye alikuwa madarakani akaacha kupaendeleza kwao.
Tazama sasa Zanzibar inavyochanua unafikiri kwa nini?
Kuwafilisi wapinzani kama alivyofanya kwa Mbowe ni sawa?Punguza miemko, kuwa na stara.
Usiandike kama unaropoka, lugha za kejeli za nini hapa!
Kama hauwezi kuzuia hisia zako basi haina haja ya kubishana.
Ulitaka Magufuli akulambe miguu, na akuletee chakula mezani kwako.
Aliyoweza kufanya kwa uwezo wake na kwa watu kama nyinyi ambao ni selfish na wachumia tumbo wakubwa inatosha.
Halafu tatizo la ajira sio Tanzania tu, tatizo la Ajira lipo Duniani kote. Kama hujui ndio ujue sasa, uko tuendako Artificial Intelligence AI ita-mreplace mwanadamu kwa sehemu kubwa sana. Kitakacho matter ni wewe una Skills gani na sio wewe umesomea nini?
Ishi kwa mabadiliko ya Dunia yanavyokwenda husiishi kwa kukariri vinginevyo utakwenda na maji.
Nionyeshe rafiki zako nikuambie tabia yako. Kwa mtu aliyewateua watu kama Sabaya na Makonda kisha kuwalinda inaonyesha tabia yake ni ipi. Nachomsifia Magufuli licha ya mauaji na ukatili dhidi ya raia wake, wizi kama tunavyozidi kufunuliwa kupitia waandishi nguli kwenye kitabu cha I am the state. Upigwaji wa 1.5trillion ulioficguliwa na CAG profesa Assad aliposema akamtimua bado kuna majuha wanamuona mzalendo, hicho ndicho kipaji cha Magufuli
Ungekuwa siyo lumpen usingesupport mpumbavu muuaji,CAG report is a technic,al report. Siyo kila lumpen kama wewe anaweza kuisoma na kuielewa.
Sure he was an offering for the future generation to abolish the corrupt cartelMagufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
"the lumpen public is enveloped in a culture of dependency", MarxistUngekuwa siyo lumpen usingesupport mpumbavu muuaji,
Pumbavu bado limekariri mistari ya chuoni, wake up juha wewe face reality"the lumpen public is enveloped in a culture of dependency", Marxist
Ungekuwa siyo lumpen usingesupport mpumbavu muuaji,
Wewe mpumbavu zaidi ya wizi alipoamua kumfukuza kazi CAG profesa Assad aliposema kwa kusema kweli, Magufuli pia ni muuaji, jambazi shetani kumsapoti lazima uwe chiziIssue uliyoisema ni CAG report. Sasa suala la muuaji limetokea wapi ewe lumpen?
Wewe mpumbavu zaidi ya wizi alipoamua kumfukuza kazi CAG profesa Assad aliposema kwa kusema kweli, Magufuli pia ni muuaji, jambazi shetani kumsapoti lazima uwe chizi
Mtoto huku haukuwezi acha wenye akili wazungumzie mustakabali wa nchi yetu, kama unampenda muuaji, mwizi, aliyepora pesa kwenda kujenga uwanja wa ndege wa Chato kijijini kwake bila ridhaa na kibali cha bunge utakuwa kichaa kuliko yeyeHaya mambo hayahitaji hasira, hisia wala jazba. Tulia bwana mdogo. Hujui akina nani na wangapi wamekufa katika awamu zilizopita. Kaa kimya tu. Hujui mengi. Ukikua utajua.
Mtoto
Mtoto huku haukuwezi acha wenye akili wazungumzie mustakabali wa nchi yetu, kama unampenda muuaji, mwizi, aliyepora pesa kwenda kujenga uwanja wa ndege wa Chato kijijini kwake bila ridhaa na kibali cha bunge utakuwa kichaa kuliko yeye
Hey, usituaribie Uzi.Pumbavu bado limekariri mistari ya chuoni, wake up juha wewe face reality
Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
Then what's!Ben Saanane
Azory Gwanda
Kanguye
Leopold Rwajabe
Assassination Attempt(Tundu Lissu)
Watanzania wapi kwani watumishi wa serikali walionyimwa haki zao za kisheria siyo Watanzania.Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure[emoji120]
View attachment 2618627
Mimi hapanaAtakumbukwa daima.
Sasa uliweza kumrudisha huyo sijd kwenye kitini?Wewe mpumbavu zaidi ya wizi alipoamua kumfukuza kazi CAG profesa Assad aliposema kwa kusema kweli, Magufuli pia ni muuaji, jambazi shetani kumsapoti lazima uwe chizi