Mimi nilitumbuliwa eti mi ni hewa kumbe vyeti viliungua vyote tu ndani ya nyumba ikaonekana Sina Cheti kabisa. Ila kwa Sasa nimerudishwa kazini baada ya kuonekana walinioneahakuna vyeti feki aliyerudishwa acha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilitumbuliwa eti mi ni hewa kumbe vyeti viliungua vyote tu ndani ya nyumba ikaonekana Sina Cheti kabisa. Ila kwa Sasa nimerudishwa kazini baada ya kuonekana walinioneahakuna vyeti feki aliyerudishwa acha uongo
unaona sasa ulivyokuwa huelewi na huwezi kutofautisha mwenye cheti na mwenye cheti fekiMi nilitumbuliwa eti mi ni hewa kumbe vyeti viliungua vyote tu ndani ya nyumba ikaonekana Sina Cheti kabisa. Ila kwa Sasa nimerudishwa kazini baada ya kuonekana walinionea
Ok!Mahaba yakizidi hugeuka ujinga
Hata Mimi sijui kwani hukumbuki watu mliokuwa mnamfananisha na Mungu?Ok!
Fafanua hapo ujinga upo wap.
Safi.Atakaye jitolea ni yule atakayetupa katiba inayoweza kuwa wajibisha viongozi mafisadi na Wala rushwa!
Sasa kwa nini serikali ya jpm ilikuwa inakurupuka tu bila kufanya u hambuzi wa kutosha. Kwa nini nilimuliwa?unaona sasa ulivyokuwa huelewi na huwezi kutofautisha mwenye cheti na mwenye cheti feki
ebu ngoja niache kujibizana na wewe ni ujinga mtupu
Mbona unaswitch-off!Hata Mimi sijui kwani hukumbuki watu mliokuwa mnamfananisha na Mungu?
Kwa nini alijengea nazo Airport Chato ambako hakuna biashara ya ndege? Kwa nini alinunulia nazo korosho ambazo hakujua atazipeleka wapi? Kwa nini alilipia nazo wakina Halima Mdee na wenzake? Kwa nini alilipia nazo chaguzi za marudio kwa wabunge waliounga juhudi mkono ??Ndio maana alikuwa na uchungu nazo.
Mungu ni mwema kwa wale wamchao na kumwamini katika kweli wale watu waliokataa Kejeli,Dharau,Uonevu na manyanyaso wataendelea kufaidi matunda ya kazi zao.vyeti feki aajiriki na ndio maana walikutoa huko
HakikaAtakaye jitolea ni yule atakayetupa katiba inayoweza kuwa wajibisha viongozi mafisadi na Wala rushwa!
Huyo mfu wako aliongoza nchi kwa maslahi yake, familia yake na wapambe wake usitukumbushe habari za huyo katili muuaji. Huna hata haya we ngedere eti alijitoa kwa ajili ya watu, labda alijitoa kwa ajili ya mamako. Yule mhutu mbaguzi?Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
hata yeye PhD yake ilikuwa fekiCheti feki
Tapeli la mitandaoniAcha ujinga alijitolea kwa nani labda kwa wewe na familia yake ndgu na marafiki.
wauaji na wabaguzi
yule shetani ataendelea kuishi jikoni kwenu, hivi hamuamini amekufa?Ataendelea kuishi milele. Fikra zake ambazo ni chachu ya mageuzi ya kweli ya Tanzania na Afrika kwa ujumla zitaendelea kuishi.
Kwa sasa kizazi hiki kilicho kombo hakita muelewa, lakini kuna kizazi kijacho kitamuelewa kana kwamba anaishi nao wakati mmoja.
na mamakoAtakumbukwa daima.