Master Oogway
Senior Member
- Jul 7, 2022
- 141
- 342
- Thread starter
- #61
1. Kwani Chato ipo Kenya au Tanzania?Kwa nini alijengea nazo Airport Chato ambako hakuna biashara ya ndege? Kwa nini alinunulia nazo korosho ambazo hakujua atazipeleka wapi? Kwa nini alilipia nazo wakina Halima Mdee na wenzake? Kwa nini alilipia nazo chaguzi za marudio kwa wabunge waliounga juhudi mkono ??
2. Hizo korosho alizonunua zinatoka Nchi ya Kigeni au Tanzania?
3. Hao wakina Halima Mdee na Wenzake ni raia wakigeni au Watanzania?