Magufuli has a New state of the art security system in East Africa. πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Wewe usijifanye ndio unajua saanaa,kwani hiyo mikataba ya SGR yenu ya Kichina hamkuisoma?
 

This is not Europe its Africa....kuna watu wana husuda mkiwemo nyinyi.....JPM ana maadui wengi sana ndani na nje ikiwemo mimi na wewe tuliotolewa kwa vyeti feki....acha Rais alindwe...he is our icon and pride.
 
Reactions: Oii
Naona Povu la wakenya wakilitoa. Hii inaonesha ni namna gani walivyo na wivu wa kupindukia.
 
Hawa wanajeshi waliovaa uniform za kaki ni wa nchi gani?
 

We jamaa unapigwa nao sana
 
Bila kusahau wanavyojambishwa na alshababy wa somalia! Security ya Kenya poor kabsa!
 
This is too much, inaelekea vitisho vimekuwa vingi sana
 
Huyo ni A.P yaani Administration Police polisi wa utawala. Mwenzako kwa kiherehere chake ameona sare yao ya 'combat' yeye akajua ni mwanajeshi.

Wenzenu huku hakuna kitu tuko sensitive kama usalama,kitendo cha polisi huyo kukutwa amelewa ni fedheha kubwa sana kwa serikali na taifa kwa ujumla,asingetokea mtu yoyote kutetea ati sijui huyu sio mwanajeshi,au sio polisi sijui nini,as amevaa state uniform ni msala kuzidhalilisha.

Ajabu hapa unataka kusema KDF ni wa maana wakati 2014 walinaswa wakiiba katika mall pombe na mikufu,wakati jengo la westgate limetekwa.
 

Wapiiii...Tanzania moja tunayoijua au nyingine, hebu soma hiki kisa cha askari wa JWTZ ambaye anategemewa kwa usalama wa nchi anafumuliwa marinda kizembe na mwendesha bodaboda
 
Wapiiii...Tanzania moja tunayoijua au nyingine, hebu soma hiki kisa cha askari wa JWTZ ambaye anategemewa kwa usalama wa nchi anafumuliwa marinda kizembe na mwendesha bodaboda
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…