Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Aiseee dahh ts just shocking kusikia hizi kauli.,
Maendeleo yana vyama kwani jmn?.au wa vyama vingine kodi hawalipi .?nimejiskia vibaya kusikia haya
 
HAI
 
Huyo DED aliyepo Butiama humjui vizuri. Ebu nenda Ukerewe alipokuwa Katibu Tarafa ukapate habari zake ndio utajua kwanini alipewa ukurugenzi.
 
Mungu akubariki sana mkuu CWR2016.
Kongole sana kwa andiko bora kabisa kwa siku ya leo.
 
Haijui Dar..
 
Nipo Kongwa hapa naelekea Gairo kote huko ni CCM tangu kuzaliwa kwake lakini wanakunywa maji ya mifugo
 
Hajajua kuwa Mara ni mkoa wa kina Mura. Hawarembi. Watamfurumusha huko. Alipoingia Mara aliona kibao kimeandikwa "KARIBU MKOA WA MARA"???
UTOPO HUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…