Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Jana nlikuepo kwenye mkutano wake hapa kiabakari kwa kweli alipuyanga tukawa tunamshangaa tu anatuambia sisi habari za ndege wakati anajua fika wilaya yabutiama hakuna hata uwanja wa ndege, shida ya Butiama sio ndege

Ina maana shida za Butiama hazujui?

Ndege zimetusaidia nn mpaka sasa..
 
Barabara ya kutoka Bunda hadi Kisorya haijakamilika kwa kipindi kirefu sana. Hiyo Barabara inapita katika majimbo ya Bunda, na Mwibara. Kwa mtizamo huu Barabara hiyo itakamilika huko Mwibara lakini kule Bunda hadi hapo watakapowachagua wale. Ama kweli maendeleo hayana chama.
Ndio anachomaanisha..

Wale waliopo majimbo ya upinzani, anawaadhibu..
 
Barabara ya kutoka Bunda hadi Kisorya haijakamilika kwa kipindi kirefu sana. Hiyo Barabara inapita katika majimbo ya Bunda, na Mwibara. Kwa mtizamo huu Barabara hiyo itakamilika huko Mwibara lakini kule Bunda hadi hapo watakapowachagua wale. Ama kweli maendeleo hayana chama.
Tukiwaambia Meko hafai kuongoza nchi hii hawatusikii, hizo kauli anazotoa zinatosha saana kumuangusha, lakini kwa sababu watz tu mazobongo ccm wanachekea tumboni, jamaa ni muongo na tapeli
 
Niko Rorya mbunge aliyemaliza muda wake ni wa ccm lakini wananchi ni masikini kuliko ninavyoweza kueleza. Rais wa ubaguzi hatufai. Aende kwa wasukuma ndio bado unaweza kuwadanganya ebu jiulizeni idadi kubwa ya mabarmaid kwa leo hii ni wasukuma. Ni kwa nini iwe hivi?
 
Niko Rorya mbunge aliyemaliza muda wake ni wa ccm lakini wananchi ni masikini kuliko ninavyoweza kueleza. Rais wa ubaguzi hatufai. Aende kwa wasukuma ndio bado unaweza kuwadanganya ebu jiulizeni idadi kubwa ya mabarmaid kwa leo hii ni wasukuma. Ni kwa nini iwe hivi?
Hivi kule UTEGI ni Rorya?

Nilipita huko miaka ya 2000.
 
Niko Rorya mbunge aliyemaliza muda wake ni wa ccm lakini wananchi ni masikini kuliko ninavyoweza kueleza. Rais wa ubaguzi hatufai. Aende kwa wasukuma ndio bado unaweza kuwadanganya ebu jiulizeni idadi kubwa ya mabarmaid kwa leo hii ni wasukuma. Ni kwa nini iwe hivi?
Hivi kule UTEGI ni Rorya?

Nilipita huko miaka ya 2000.
 
Mgombea wa aina hii hatufai wa Tanzania, Hayupo kujenga umoja wa watu bali kubomoa miaka yote CCM imekuwa madarakani waseme ni sehemu gani ndani ya hii nchi inakila kitu
Simple. Ipo Wilaya moja (jina kapuni) ina bustani za wanyama, taa za kuongoza magari, uwanja wa kimataifa wa ndege, barabara za lami, maji na umeme wa uhakika, mabenki n.k ambazo hata makao yake Makuu ya Mkoa hayana.
 
Si naona picha ya ndege pamechangamka?!

Au huko ndani ndani ni ovyo?
Mkuu hali ni tete sana kuna maeneo hata maji hakuna
Mlandiz ndio balaaa tupu
Wananzengo nao shida tupu asubuhi mpaka uchwao ni zogo tuu
 
Simple. Ipo Wilaya moja (jina kapuni) ina bustani za wanyama, taa za kuongoza magari, uwanja wa kimataifa wa ndege, barabara za lami, maji na umeme wa uhakika, mabenki n.k ambazo hata makao yake Makuu ya Mkoa hayana.
Unaongelea kule walikolazimisha kujenga Tawi la Benki ya crdb bila kufuata ushauri wa wataalamu wa kibenki ambao waliwahi kutoa tahadhari kwamba wanaona population haikidhi kufungua tawi hapo lakini wakalzimishwa kujenga tawi na mwisho wake likaja kuonekana halifanyi kazi kwa tija ??
 
Unaongelea kule walikolazimisha kujenga Tawi la Benki ya crdb bila kufuata ushauri wa wataalamu wa kibenki ambao waliwahi kutoa tahadhari kwamba wanaona population haikidhi kufungua tawi hapo lakini wakalzimishwa kujenga tawi na mwisho wake likaja kuonekana halifanyi kazi kwa tija ??
Yawezekana. Halafu kwa kujipendekeza wakataka kujenga ofisi za kugombana na wala milungula wakati tayari ilikuwepo!
 
Ongeza na nyumbani kwako hauna choo familia nzima utapia mlo wewe na mkeo pia mna VVU pole sana
 
Ina maana Morogoro pamoja na kuwa na ardhi oevu sana, bado ni maskini?

Si wapo chini ya CCM miaka yote?
Morogoro ni miongoni mwa mikoa michache yenye maji mengi.
Kilimo kwenye maeneo mengi ya mkoa huo hawatumii mbolea maana wana ardhi nzuri sana, lakini kwa sababu ya siasa za ovyo maeneo kadhaa yamebaki masikini, ikiwemo jimbo hilo la Morogoro mashariki ambalo hivi karibuni CCM wamempitisha Hamis Shaaban Taletale kama mgombea wake wa ubunge.
Na bahati mbaya zaidi washindani wake wamefanyiwa figisu na hivyo amepitishwa bila kupingwa
 
Kwa mtizamo mwingine maendeleo yaliyotajwa kufanyika Ni kwa utashi na hisani ya mtu... Kumbe watz wote wanatakiwa kupewa maendeleo sawa kwa kuwa wote Ni walipa kodi...

Hizi siasa za chuki Ni hatari..
Rais wa awamu ya 5 hafai Msikitini wala Kanisani...Kajaa unafiki kujidai eti yeye ni "msemakweli" !!
 
Watakaomtia mimba ni nungunungu wenzake. Wanajua staili zao. Peleka mkuyenge wako uone utavyochanwa! Hivyo, ukienda Roma jifanye Mrumi. Ni busara za kawaida. Magu hakujua hekima hii. Kaingia Mara kichwakichwa na kuwafedhehesha watu wa Bunda akidhani watafehedheka kumbe yamekuwa kinyume.
Hao Nungunungu labda tupime Dna mhusika atajulikana. Yaliyotokea Bunda sikuyasikia nisije nikachuma dhambi kuyaongelea.
 
Huyo mzee hana hoja kabisa.anachokifanya ni kutapatapa.Yeye kama mwenye serikali hakutakiwa kupiga kampeni zakizamani hivyo.
 
Salaam wana JF...

Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.

Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.

Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-

1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.

-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.

Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.

Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.

Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.

ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.

Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.

Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).

-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli

Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.

Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?

UME FAIL....

Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.

Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.

Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.

- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.

Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;

Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?

Haya BUTIAMA je?

Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.

- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.

-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!

2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.

Aisee you're very WRONG.

Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.

Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.

Nakuhurumia sana.

Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.

Ni uongo mkubwa...

Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..

1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........

Mwana JF...

Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...

Comment hapa Chini.....
tafsiri nyepesi ni kua Chama chote cha Mapinduzi kipumzike waje watu wasio na ubaguzi.Lakini hajifunzi kwa watangulizi wake waliofanya maendeleo popote bila kujali kuna mbunge wa chama gani.Huyu jamaa hakupaswa kua Rais.Bado nakumbuka ya Tabora wakati wa Uchaguzi wa Dr.Dalali Kafumu CCM walijichanganya wakampeleka kwenye kampeni akaenda kuharibu hadi ubunge wa Kafumu ukaingia mchanga kwa kauli zake za kibabe na kibaguzi bila kujua wengi wengi tusio registered member wa vyama tunahate sana kauli hizo
 
Back
Top Bottom