Duuh, sehemu ilitakiwa iwe na utajiri kwa kilimo. Ila bado fukara..Morogoro ni miongoni mwa mikoa michache yenye maji mengi.
Kilimo kwenye maeneo mengi ya mkoa huo hawatumii mbolea maana wana ardhi nzuri sana, lakini kwa sababu ya siasa za ovyo maeneo kadhaa yamebaki masikini, ikiwemo jimbo hilo la Morogoro mashariki ambalo hivi karibuni CCM wamempitisha Hamis Shaaban Taletale kama mgombea wake wa ubunge.
Na bahati mbaya zaidi washindani wake wamefanyiwa figisu na hivyo amepitishwa bila kupingwa
Unafiki na Ulaghai vimejaa CCMRais wa awamu ya 5 hafai Msikitini wala Kanisani...Kajaa unafiki kujidai eti yeye ni "msemakweli" !!
Morogoro...shenzy kbs hawa24. KONGWA
25. CHEMBA
26. MPWAPWA
27.MASASI
28.KALIUA
29. MANYOVU
30. KIGOMA KUSINI
31.....
Mimi ni tajiri. Nina nyumba bora, mke mzuri, watoto wazuri.Ongeza na nyumbani kwako hauna choo familia nzima utapia mlo wewe na mkeo pia mna VVU pole sana
Kumbe hadi Moro town ..Morogoro...shenzy kbs hawa
Moro mjini Kuna baadhi ya sehem hakuna maji...yaan kutoka hapa had mjini ni 15min hakuna maji..akachambe kule
Watanzani sisi ni wajinga mno jamani..hatujielewi..sijui hii Damu ya naniUnadhani jamaa anajielewa? Mie nadhani Watanzania ndio wakupimwa akili, iweje tuna shindwa kumtambua mtu ambaye dish limecheza?
Mh. Zitto kumbe unafuatilia kampeni za Rais wetu mpendwa Magufuli? Asante sana pia usisahau kufuatilia Kampeni za Lissu na Membe naona zimedoda!Salaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
KISARAWESalaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
Tatizo mbunge wao anapinga kila kitu bungeni..wao waendelee tu kubaki na mbunge.. na kura zao magu hazihitaji..hii ni win win situation.Salaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
Wewe ndiyo mjinga na hauna exposure! Sana sana exposure yako iko kwenye mitandao ya kijamii na TV tu ndiyo maana una bwabwaja tu.Watanzani sisi ni wajinga mno jamani..hatujielewi..sijui hii Damu ya nani
Mji wa kimaskini kbs huu....hakina maji hakuna lolote ..hata barabara tu hazielewek ..naudhika Mimi jamaniKumbe hadi Moro town ..
Haya yapo sehemu nyingi.KISARAWE
Mimi ni mkazi wa huko, nakumbuka nimewahi kupigania eneo fulani liko jirani kabisa na kibaha mjini 0 kilometre linatenganishwa na mto tu, hilo eneo linawakazi wengi, liko karibu na waziri mkuu wa zamani wa nchi hii, halina maji, halina umeme, miundombinu duni.....
Imefika hatua kukawa na ule umeme wa Rea ukapita na ukaliacha eneo kimya hivyo hivyo, watu wananunua solar panels ili waweza kujipatia umeme very sad, na nguzo za umeme ziko zero kilometre zimepita kwa muheshimiwa waziri mkuu wa zamani......
Jafo na wenzio mmegeuza siasa tu kulifikia eneo hilo
Useless kabisa
KISARAWE
Mimi ni mkazi wa huko, nakumbuka nimewahi kupigania eneo fulani liko jirani kabisa na kibaha mjini 0 kilometre linatenganishwa na mto tu, hilo eneo linawakazi wengi, liko karibu na waziri mkuu wa zamani wa nchi hii, halina maji, halina umeme, miundombinu duni.....
Imefika hatua kukawa na ule umeme wa Rea ukapita na ukaliacha eneo kimya hivyo hivyo, watu wananunua solar panels ili waweza kujipatia umeme very sad, na nguzo za umeme ziko zero kilometre zimepita kwa muheshimiwa waziri mkuu wa zamani......
Jafo na wenzio mmegeuza siasa tu kulifikia eneo hilo
Useless kabisa
Hivi unajua mimi kwenda kwa waziri mkuu wa zamani wa nchi hii ni 5minutes? Kila kitu kipo kwake ila wananchi majirani hakuna kitu......Aisee Kuna Kero hapa nchini had hasira ..Ila shida iko kqetu
Shida hapa sio ukweliAmesema ukweli sasa ulutaka akudanganye?
Acha bangi uchochezi au ukweli, ulitaka wapakwe mafuta kwa mgongo wa chupa.Hakuna kubembeleza kwanza wana bunda na Mara wamulewa sana Magu na watampa kura nyingi tu. Wewe endelea kushadadia ubaguzi wakoKauli za mgombea huyu ni za ubaguzi na uchochezi wa hali ya juu sana. Hata Rwanda walianza hivi kabla ya kutandikana.
Yaani unagoma kupeleka maendeleo sehemu flani kwa sababu walichagua upinzani? Vitu vingine ni bora kutokuvisema hadharani
Huyo wazuri ndo yule mwenye maskio..? Hivi Hawa wanatuonaje Hawa?Hivi unajua mimi kwenda kwa waziri mkuu wa zamani wa nchi hii ni 5minutes? Kila kitu kipo kwake ila wananchi majirani hakuna kitu......
Nikabahatika kuwa Rais nchi hii nilishaapaga, waliowahi kuwa viongozi nchi hii na familia zao watakuwa masikini wakutupa duniani hakuna......
Waendelee kusali nisiingie kwenye siasa
Huwajui Wana Mara wewe. Wale huwa siamini Kama ni watz...nasema huwajui shut-upAcha bangi uchochezi au ukweli, ulitaka wapakwe mafuta kwa mgongo wa chupa.Hakuna kubembeleza kwanza wana bunda na Mara wamulewa sana Magu na watampa kura nyingi tu. Wewe endelea kushadadia ubaguzi wako
Kila siku kwa Miezi miwili ni mingi kurudia maneno ambayo umbayo umekuwa ukiyasema kwa miaka mi4.Ukweli ni kwamba Magufuli amepwaya mno kwenye hizi kampeni 2020.
Siku moja akaja kwenye kikao akaulizwa unatoa kiasi gani kuinua hili eneo, alichodai kuwa yeye ni mwananchi wa kawaida hivyo atatoa kama wengine......Huyo wazuri ndo yule mwenye maskio..? Hivi Hawa wanatuonaje Hawa?