Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

aisee English ya mzee lowasa ipo vizuri, tatizo C wtz wengi elimu yeboyebo ndo maana ktk clip hawakumuelewa el ,nimesikiliza na mzee kimataifa hawezi kutuhaibisha,labda mambo mengine lakini C la lugha

Lowassa kuna interview na TV ya Kenya kasema "our people are more poorer"

Nikasema duuh.
 
Mmh jamaa ni kilaza kweli ..hawezi kuongea kiengereza huyu jamaa atatukosesha misaada kwa kutojua lugha
 
Wakalimani ni mda wao kuchangamkia tenda, Rais wa awamu ya Tano tunakuomba ukitangaze Kiswahili kwa bidii kokote Ulimwenguni.

sasa naanza kuelewa maana ya kipao mbele cha kwanza elimu, cha pili elimu, cha tatu elimu.
 
Kama hiyo ndo focus ya Chama na Mnamwamini Mama katika Ubora wake, basi mwambieni Zitto atulize mzuka, endeleeni kumpa nafasi huyo Mghirwa hata asipopata mwaka huu aendelee kujifua mwaka 2020 tukiwa wazima apeperushe bendera ya ACT..., Zitto aache kabisa uroho kusema atagombea urais 2020(AZAMTV) while you have a good president material Mghirwa

Zito hawez mwachia mama mghirwa agombee tena 2020, kwa ubinafac wa zito atazalisha mgogoro.
 
Magufuli ataingizwa mjini sana na wazungu...makina Sessi ya IPTL yanamsubiri tu
 
Mediocrity, mediocrity. Hivi imekuwaje Tanzania tumefikia hatua hii ya kufanya nafasi ya urais kuwa kitu cha kawaida tu kam mjumbe wa shina? kweli kabisa watu wanatetea kwamba eti kutojua kiingereza ni sifa? yaani umesoma masomo yako tangu msingi mpaka chuo kikuu kwa kiingereza na bado huwezi kuongea sentensi moja imenyooka ya kingereza na eti unataka kuwa rais wetu? Yaani akiwa na kina uhuru museven Kenyatta kagame nkurunzinza yeye atakuwa anasikiliza tu wenzake wanaongea ngenge! Si ufahari kujua kiingerezza lakini kwa babhati mbaya ndio lugha yetu official katika shugfhuli za kiserikali na kimataifa. Kumbukeni kuwa south Afrika wanaheshimu sana lugha zao za asili na wanaziendeleza sana na taarifa za habari na vipindi vingi vinaongozwa kwa lugha zao lakini ni wazuri sana pia kwenye kiingereza hata motto wa sekondari form anakupigia kiingereza safi na kizulu au kikkhosa safi. sasa sisi tatizo ni nini? Yaani rais wa nchi katika age hii ya globalisation na ushindani wa kibiashara hajui kiingereza ambacho ndio lugha kuu hata nyum,bani kwako mnayotumia? Ingekuwa kifaranza sawa lakini kiingereza jamani? tena eti amfanya phd. sasa atakaposimama mahali atambulishwe km dk magufuli halafu ijulikane alifanya tasnifu yake kwa kiingereza lakini hawezi kuzungumza sentensi moja kwa usahihi ataelewekaje? Itabidi hilo jina la udokta lifitwe maan n aibu!
 
Baada ya kuangalia clip inayosambazwa mitandaoni ni kuangalia wasifu wake kuwa aliwahi kupita seminari lkn hakuhitimu kutokan na sababu ambazo haziko wazi.

Mwenye taarifa atujuze maana hii itakuwa aibu!!!
 
Kwahiyo Idd Amini naye alionewa,maana ndiye kiongozi aliyetoa hotuba mbovu zaidi ya kiingereza duniani mpaka sasa,hii ya Dr Magufuli nadhani imafuatia kwa ubovu.
Naongezea tu. Magufuli anapenda masifa na umimi.'Tanzania ya magufuli,mimi magufuli watendaji watakoma,tanzania ninayotaka kuijenga mimi magufuli...' Hakuna uwajibikaji wa pamoja. Tanzania ni ya watanzania,siyo ya magufuli. Nachelea kusema kuwa huyu Dr Pombe anafikiri ananunua Tanzania kuwa mali yake binafsi. Naogopa kumlinganisha na watawala wengine wa Afrika,waliowahi kufanya mataifa yao kuwa mali zao na familia zao. Tunajua kilichotokea,wengine majirani zetu.
 
Angalieni uhusiano wa mdomo na mikono,, hii yakupikwa 100% Hakuna uwiano wa mdomo na maneno yatokayo mdomoni,,, pia ishara ya uso na mikono havilingani na maongezi ya van mdomoni....

Hata mimi.nilitumiwa hii clip niliona siye yeye aliyeongea hayo maneno. Amewekewa tu. Kumbuka hata push up.alizopiga tayari amewekewa ushuzi. kila akinyanyuka utasikia pyuu na ile push up ya mwisho ushuzi umekaa muda mrefu kama vile dalili ya kumalizia ushuzi..yaani pyuuuuuuuuuuuuuuu!. Jaya mambo ni ya kutunga tu. Maneno kweli hayaendani na vitendo.
 
Alifukuzwa.. Kuna gazeti moja ilishawahi kuandika hii stori ya Magu kufukuzwa seminar
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Mkumbo bhana! kwamba Mbona Lowasa walau grammatically yupo vizuri ukiacha ile kustumble kidgo. lakini magufuli kwake ni kwamba hana basic grammatical skills! Hii imedhibitisha ile theory kwamba Magufuli hakuwa chaguo la ccm ilitokea kwa bahati mabaya. otherwise lazima wangeona haya mapungufu. Yaleyale ya Mulugo. Lakini kwa level ya urais hali itakuwa mbaya zaidi. lakini tuwe wa kweli katika fluency walau Lowasa yupo vizuri kuliko magufuli. Huyo mwigira wako mmmh!
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Tapeli la kisiasa of all the people na wewe una preference au unatumikia mabwana zako so disappointed na ufukunuku wako pole professor magumashi you used to be but not any more
 
Alikua anapenda sana push up kuliko kusoma
 
Zito hawez mwachia mama mghirwa agombee tena 2020, kwa ubinafac wa zito atazalisha mgogoro.
yule mama kapoozwa tu mbona mpaka sasa alitakiwa awe amemwachia uayatollah kufuatana na katiba huwezi gombea uraisi lazima uwe supreme leader zitto kang,ang,ana na cheo na mama wa kuburuawa katuli tuli anaambuliya tuhongo toka ccm ajenge basi pale singida mjini kahotelli vinginevyo imekula kwake
 
Back
Top Bottom