Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.

Tatizo la uwezo wa kifikra sio la viongozi wetu tu ni la jamii nzima,Na inawezekana limezalishwa na jamii ya waalimu wetu wewe ukiwemo.
 
Duuh hili ni janga kwa kweli, bora hata mdogo wangu wa mwisho form 4 pale azania huwa anabahatishaga kuwayumbisha walimu wake darasani looh. Lubuv@ naomba kampeni zifanyike kwa kiingereza angalau siku 1 tu
 
kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.

kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.

kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu

Itakapofika wakati wa kubargain country's interests na first world ndipo utakapojua umuhimu wa kiingereza
 
Jamani nacheka huku hadi mbavu zinauma,Dr Magufuli kiingereza gani hiki lakini kama si kutuaibisha mbele ya wale wageni?Kheeeh kazi ipo mwaka huu,bora huyu anayeondokea alijitahidi na kiingereza chake chenye lafudhi ya Kikwere!Baba Magufuli kama lugha ya Malkia ikikushinda chapa tu kiswahili,nacho kikikuzingua kanyaga kusukuma.
 
Tatizo ni kwama zaidi ya asilimia themanini na tano (85%) ya wapiga kura wala hawawezi kutofautisha kati ya hizo video mbili achilia mbali hata kuelewa ujumbe unaotaka kuuleta, hivyo unapoteza muda wako!

WatanZania wameshamkubali Dr.Pombe Maagufuli huko Mikoani na vijijini wa kuwa amesimamia na kuhakikisha barabara zinapitika na sasa Mkazi wa Mtwara anaweza kwenda Dar na kurudi, mkazi wa Kahama akipanda basi asubuhi jioni yuko Dar, mkazi wa Iringa hana haja ya kuja mpaka Morogoro ili aende Dodoma, Arusha au hata Tabora haya ndiyo mambo ambayo wapiga kura wengi wanaangalia na siyo sijui Colombia University na ndiyo maana fisadi Lowasa na Genge lake watashindwa vibaya sana kwa maana wamepoteza uhalisia wanafikiri huu uchaguzi kati ya republican na Democrats wa Marekani hivyo kuleta vigezo vinavyotumiwa na Marekani!

Kwa kifupi wafuasi wa ukawa wana IQ ndogo sana!
 
Angalieni uhusiano wa mdomo na mikono,, hii yakupikwa 100% Hakuna uwiano wa mdomo na maneno yatokayo mdomoni,,, pia ishara ya uso na mikono havilingani na maongezi ya van mdomoni....
ukirusha jiwe gizan usikie kelele ujuwe limempata:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
 
Wekeni mdahalo Nkurumah Hall tuwapime. UDSM TAFADHALINI andaeni mdahalooooo!!!!!!!!

Queen Esther

Wasaalam wakuu
wagombea wetu mwaka huu wanachekesha sijui wanachapa kizungu cha marekani, Afrika kusini, Uingereza au wapi? Kama yule mwenye Phd yeye ni kuvuruga ligha za watu tu sasa sijui kama ataweza kupresent mambo kama afanyavyo raisi wa Kenya, au ndio atapiga kisukuma chake ?
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.

Nyinyi ndio wakulaumiwa mnatoa Phd kwa maslai yenu pindi tu kiongozi akikupa cheo cha ufadhila basi na nyinyi mnazitoa Phd za ufadhila kwa kulipia fadhila. Hivi Huyo Kikwete mmeshampa ngapi mpaka sasa?
 
Itakapofika wakati wa kubargain country's interests na first world ndipo utakapojua umuhimu wa kiingereza

china na mfanano wake wasiotumia kiingereza wana bargain interest zao ki aje boss na hao 1st world.
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.

tatizo uliikimbia 'fomu' ya kugombea urais... Kukukomoa, tunaweka 'vilaza'...
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

usitudanganye
hukumuelewa magufuli?????...ILE SIO LUGHA YA MAMA KWA HIYO ALIVYOIVUNJA VUNJA poa tu kwa kuwa alichosema kimeeleweka
ila aibu kwa mbali............
 
Imenikumbusha lile tangazo la hakielimu la what,who which is global warming? Huba tusaidie
 
Ikulu hakuna kazi ya kuongea kiingereza.tunataka kazi tu basi.kama shida ni kiingereza tutaweka mkalimani na rais ataongea kwa Kiswahili msitubabaishe. Mbona lowasa hata Kiswahili hawezi kuongea.
 
Profesa with all due respect....nyie ndio wa kulaumiwa! I can bet huyo magufuli hawezi kupata phD popote pale duniani kwa ung'eng'e huo isipokuwa phD ya UDSM tu!

So, tuseme wasomi wetu tunaowaamini wanauza hadi phD ?????? Maana tayari mtaani kwetu kuna kamsemo tunasemaga degree za vyupi!

Sina tatizo na lugha, ila nina tatizo na lugha kwa ulinganisho wa elimu kubwa aliyonayo! phD!!!!!!

Akili za kijinga hizi.mbona wajapani wanapata PhD zao na kiingereza hawajui na mkiwaona mnawasifia? Pumbavu sana.
 
Itakapofika wakati wa kubargain country's interests na first world ndipo utakapojua umuhimu wa kiingereza

Usiwe lofa wewe siku hizi teknolojia imekuwa unaweza kuongea hata kisukuma watu wakakuelewa kwa kiingereza mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki? Hakuna issues ya msingi ya kujadili hapa.leteni mambo ya maana siyo huu upuuzi wa kuongea English.
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Ahsante sana kwa kuliona hilo na wewe.

Nilisema siku ile ambapo huyo Magufuli alipoteuliwa kuwa mgombea wa CCM kuwa tujiandae kuaibishwa kimataifa.

Hebu vuta picha Magufuli kasimama kwenye podium na David Cameron, Carly Fiorina, au hata Hillary Clinton halafu wanajibu maswali ya waandishi wa habari hapo 10 Downing Street au White House halafu huyu 'Msukuma' naye awe anaongea Kiingereza........
 
Ahsante sana kwa kuliona hilo na wewe.

Nilisema siku ile ambapo huyo Magufuli alipoteuliwa kuwa mgombea wa CCM kuwa tujiandae kuaibishwa kimataifa.

Hebu vuta picha Magufuli kasimama kwenye podium na David Cameron, Carly Fiorina, au hata Hillary Clinton halafu wanajibu maswali ya waandishi wa habari hapo 10 Downing Street au White House halafu huyu 'Msukuma' naye awe anaongea Kiingereza........
hahahaha nimecheka sana aisee ilonalo neno duh
 
aisee English ya mzee lowasa ipo vizuri, tatizo C wtz wengi elimu yeboyebo ndo maana ktk clip hawakumuelewa el ,nimesikiliza na mzee kimataifa hawezi kutuhaibisha,labda mambo mengine lakini C la lugha
 
Back
Top Bottom