aisee English ya mzee lowasa ipo vizuri, tatizo C wtz wengi elimu yeboyebo ndo maana ktk clip hawakumuelewa el ,nimesikiliza na mzee kimataifa hawezi kutuhaibisha,labda mambo mengine lakini C la lugha
hahahaha nimecheka sana aisee ilonalo neno duh
Wakalimani ni mda wao kuchangamkia tenda, Rais wa awamu ya Tano tunakuomba ukitangaze Kiswahili kwa bidii kokote Ulimwenguni.
Kama hiyo ndo focus ya Chama na Mnamwamini Mama katika Ubora wake, basi mwambieni Zitto atulize mzuka, endeleeni kumpa nafasi huyo Mghirwa hata asipopata mwaka huu aendelee kujifua mwaka 2020 tukiwa wazima apeperushe bendera ya ACT..., Zitto aache kabisa uroho kusema atagombea urais 2020(AZAMTV) while you have a good president material Mghirwa
Naongezea tu. Magufuli anapenda masifa na umimi.'Tanzania ya magufuli,mimi magufuli watendaji watakoma,tanzania ninayotaka kuijenga mimi magufuli...' Hakuna uwajibikaji wa pamoja. Tanzania ni ya watanzania,siyo ya magufuli. Nachelea kusema kuwa huyu Dr Pombe anafikiri ananunua Tanzania kuwa mali yake binafsi. Naogopa kumlinganisha na watawala wengine wa Afrika,waliowahi kufanya mataifa yao kuwa mali zao na familia zao. Tunajua kilichotokea,wengine majirani zetu.Kwahiyo Idd Amini naye alionewa,maana ndiye kiongozi aliyetoa hotuba mbovu zaidi ya kiingereza duniani mpaka sasa,hii ya Dr Magufuli nadhani imafuatia kwa ubovu.
Angalieni uhusiano wa mdomo na mikono,, hii yakupikwa 100% Hakuna uwiano wa mdomo na maneno yatokayo mdomoni,,, pia ishara ya uso na mikono havilingani na maongezi ya van mdomoni....
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.
yule mama kapoozwa tu mbona mpaka sasa alitakiwa awe amemwachia uayatollah kufuatana na katiba huwezi gombea uraisi lazima uwe supreme leader zitto kang,ang,ana na cheo na mama wa kuburuawa katuli tuli anaambuliya tuhongo toka ccm ajenge basi pale singida mjini kahotelli vinginevyo imekula kwakeZito hawez mwachia mama mghirwa agombee tena 2020, kwa ubinafac wa zito atazalisha mgogoro.