Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Seminarini makosa yanayowatoa watu mara nyingi ni
1.Uzinzi/Uasherati
2.Kutofikisha alama zinazotakiwa kwenye mitihani
3.Wizi,ukiwa jizi semarini hukai
 
Seminari ukipelekwa mdogo ni shida. Maisha ya taabu na kubanwa banwa na kukaririshwa thiolojia kengeufu (samahani RC). Ukija kujitambua ni lazima uondoke tu. Kamuulize Kezilahabi atakwambia. Au kasome vitabu vyake hasa Rosa Mistika, Gamba la Nyoka, Nagona na Mzingile. Huko inabidi uwe mtumwa wa fikra na huwezi kuhoji cho chote. Na kakosa kadogo tu kanaweza kukufukuzisha shule. Mimi braza alirudishwa home kisa eti kafumwa na barua ya mapenzi tena zile za sili silali hata nikinywa maji nakuona kwenye glasi. I cannot imagine free spirit na inquiring mind kama Magufuli akimaliza seminari.
 

Ishu sio hotuba nzuri ishu ni uwezo wa kuongea hata sentensi moja ya kiingereza kwa usahihi! Usibadili hoja! magufuli anakosa basics za lugha ya kiingereza!
 
Sasa Kiingereza na urais vinahusiana nini? Kwani Magufuli atakuwa rais wa Waingereza ama Watanzania wanaozungumza Kiswahili? Huko nchi za nje hiyo cyo issue, hata Rais wa Uchina anazungumza kichina kwenye mikutano yote ya kimataifa!! Ni lini tutaacha kuwa na utumwa wa kifikra? Mimi nitamchagua kiongozi muadilifu na mchapakazi n not otherwise!!!
 


Haha haaa ana doctorate hiyo.Aende tuition ya kiingereza atatuaibisha huyu.Hao wachina au wajapani nk ni strong kiuchumi hawana shida na lugha ya MTU lakini sisi masikini kiingereza lazima sijui debate za world economic forum atakuwa anashiriki vipi kwa sababu hamna kusoma pale ,unapigwa swami na kujibu papo hapo.
 
Seminari aidha afya yako,ushindwe mitihani au ukengeuke kimaadili ndipo unapoonyeshwa lango la kutokea.
 
Ndio maana wana wanasain mikataba mibovu bila kujua mazara yake
 
Baada ya kuangalia clip inayosambazwa mitandaoni ni kuangalia wasifu wake kuwa aliwahi kupita seminari lkn hakuhitimu kutokan na sababu ambazo haziko wazi.

Mwenye taarifa atujuze maana hii itakuwa aibu!!!

Taarifa za miaka 40 iliyopita zinatusaidia nini leo? Wewe tuambie sababu zilizopelekea baba yako na mama yako wakakuzaa? What were the broad and specific objectives?
 

Utendaji ni kazi ya waziri mkuu. Rais yeye kazi yake ni kutoa miongozo tu! sasa hebu fikiria hii dunia ya ushindni wa kibiashara wapo wazambia wakenya wamalawi wasouth afrika warwanda n.k wote kwenye uwanja wa kimataifa kueteta interests za nchi zao wewe magufuli huwezi kuzungumza au unazungumza lugha isiyoeleweka wakati wenzako wa ukanda huo huo wanazungumza wanaeleweka vizuri. huo utendaji utakuwa umetusaida vipi? Intersts za nchi zitatetewa na kulindwa vipi? Lugha ni nyenzo muhimu ya mawasiliano na ni power! Bila uwezo wa kujieleza vizuri ukaeleweka mbele ya watu unadharaulika na utafanya wananchi wako wote wajione wanyonge! Lugha ni muhimu it is not an optional extra. hatusemi kwamba basi awe na uwezo wa kuzungumza km mzungu bali walau aweze kuzungumza vizuri na kueleweka. Kitu amabcho magufuli hana!
 
Lowasa msomi, siyo huyi mlugaluga. Atahojiwa white house marekani aongee huo utumbo wa kisukuma.akachimbe barabara hukoooo ala!
Utumbo wa Kisukuma eeh? Utumbo wa Kimasai ndo una nafuu? White House full kutetemeka wapi na wapi? Atakwenda kudondosha glasi za watu za bei mbaya bure tu. Na kwa nini hasa unaingiza ukabila?
 
Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa

ata watoto wadogo wanajua sadamu hussein alikuwa rais wa wapi yeye hajui haya mtetee tena
 
Magufuli atasaini mikataba iliyoaandikwa kwa lugha ya kiswahili tu
We nawe. Unafikiri rais wa China huwa anasaini mikataba iliyoandikwa kwa lugha gani? Ni mpaka lini akina Mingoi Savimbi mtaepukana na utumwa wa Kisaikolojia na kuanza kutukuza utamaduni wenu? Kwa hiyo wewe kiongozi kusaini mikataba iliyoandikwa kwa Kiingereza ni big deal?
 
Wewe ni mjinga kabisa tena mpumbavu mkubwa. Kiingereza ni lugha kama zilivyo lugha zingine. Kuna marais wengi sana duniani hawajui kabisa kiingereza lakini wanafanya vizuri sana kwenye nchi zao na uchumi wa nchi zao uko juu sana mara 100 ya uchumi wetu Tanzania. Watu kama ninyi mmejaa fikira za kitumwa ndio maana mnaona kuongea kiingereza ni jambo la maana sana. Magufuli haombi kuwa rais wa Waingereza au Wamarekani, Magufuli anaomba kuwa rais wa Waswahili Watanzania wanaotumia Kiswahili kuzungumza kila siku. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
 

Huyu si alisema yeye sio mwanasiasa
 
Uwezekano wa kuletea mamikataba mabovu na wasaidizi wake na kusaini bila kujua kilichopo ni mkubwa! Huyu atakuwa anadanganywa sana kwa sabbau kutokujua kiingereza kwake kutamfanye akose kujiamini kwa hiyo atafanya chcochote atakachoambiwa kuficha aibu. Akiwa kwenye mikuatano ya kimataifa badal aya kufikiria naman ideas zake zitakapopangiliwa ili akonge nyoyo za wawekezaji na wengine atakuwa anarehersal zaidi kiingereza ili asikoseee. Hivyo hatakuwa na muda wa kuangalia content yake km imefikia walengwa ama la!
 
------- bwana!!kila mwanaume anayepita wanadhani anapenda tigo!
Magufuli ni Doctor kwa elimu yake na sio kanjanja kama zee lenu la kuharishia!
Uzungu wenu ndio unawaponza!jamaa akifika kwa wasukuma anakitwanga kisukuma!akienda kwa wahaya anakitwanga kihaya!akienda kwa waha anakitwanga kiha!nyie bakini na uzungu wenu.Mamvi wala hawezi kusimama na Magufuri kwenye KIINGEREZA!Magufuli moto mwingine ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…