Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.
kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.
kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu
Na bora magufuli anaweza kujitetea masters yake alifanyia hapa hapa Lowassa kasomea masters Uk kabisa, sema tu kuna vigezo vingi vinavyopelekea mtu kuchaguliwa na vina uzito tofauti hiki cha kujieleza kwa siasa za Tanzania kina uzito mdogo. imagine 60 percent ya watu wenye elimu ya darasa la saba watamchagua magufuri hivi hawa wanashida ya kumsikia hata? huwa natafakari anajisikiaje pale ambapo kundi la watu ambao hawajasoma ambao upeo wao ni mdogo wengi ndo wanampenda so anajiandaa kuongoza watu wenye upeo mdogo sana, sababu doctor na la saba ni marekani na Tanzania
Yaani nilisikiza ile clip anayosema -'' I am poritishians... I don't want to take this eehh!!! This time as saying so many poritical words, simple and crear is only I congrugation to you, to the University corumbi.... you... Corumbia University for good assistance we are getting to this hospital.. '' Huyo ni mwalimu wa secondary, na PhD holder. Sipati picha wanafunzi wake..
MP wa Kalenga bado hupo mambo ya uraia pacha yalikuweka low profile,pole sana.Na wewe baba yako kwa nini hakumaliza darasa la saba?
Baada ya kuangalia clip inayosambazwa mitandaoni ni kuangalia wasifu wake kuwa aliwahi kupita seminari lkn hakuhitimu kutokan na sababu ambazo haziko wazi.
Mwenye taarifa atujuze maana hii itakuwa aibu!!!
kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.
kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.
kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu
Utumbo wa Kisukuma eeh? Utumbo wa Kimasai ndo una nafuu? White House full kutetemeka wapi na wapi? Atakwenda kudondosha glasi za watu za bei mbaya bure tu. Na kwa nini hasa unaingiza ukabila?Lowasa msomi, siyo huyi mlugaluga. Atahojiwa white house marekani aongee huo utumbo wa kisukuma.akachimbe barabara hukoooo ala!
Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa
We nawe. Unafikiri rais wa China huwa anasaini mikataba iliyoandikwa kwa lugha gani? Ni mpaka lini akina Mingoi Savimbi mtaepukana na utumwa wa Kisaikolojia na kuanza kutukuza utamaduni wenu? Kwa hiyo wewe kiongozi kusaini mikataba iliyoandikwa kwa Kiingereza ni big deal?Magufuli atasaini mikataba iliyoaandikwa kwa lugha ya kiswahili tu
Yaani nilisikiza ile clip anayosema -'' I am poritishians... I don't want to take this eehh!!! This time as saying so many poritical words, simple and crear is only I congrugation to you, to the University corumbi.... you... Corumbia University for good assistance we are getting to this hospital.. '' Huyo ni mwalimu wa secondary, na PhD holder. Sipati picha wanafunzi wake..