Hehehe mkuu unamlinganisha akili MaPadlock na EL, acha basi utani, EL hajakaribia IQ ya MaPadlock hata kidogo..
Sadamu alikuwa Rais wa Libya...samahani Sadamu alikuwa Rais wa Kuweiti.
Hakika sasa nnaamini pasi na shaka yoyote ukawa wengi ni kama alivyosema Mkapa.
Hivi mtu anaona kujuwa lugha ya nje ndiyo kuwa na akili.
Hawa ndiyo wale wakiona mtoto wa Kingereza wa miaka 3 anaongea Kingereza wanashangaa na kumuona wa ajabu.
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda, hatutofika kesho wala keshokutwa.
Tunatafuta Rais wa Tanzania sio wa Kimataifa.
Lugha inaweza kuwa kipimo sahihi cha uelewa. Haiwezekani mtu aliyesoma kwa kutumia lugha ya kiingereza toka primary school mpaka PhD leo hii lugha hiyo inampa shida. Kumpa Urais mtu asiye na exposure itatucost!!
Unadhani ukiwa na PhD ndio una IQ kubwa? Vyeti na uwezo wa mtu kufikiri ni mambo mawili tofauti
Unadhani ukiwa na PhD ndio una IQ kubwa? Vyeti na uwezo wa mtu kufikiri ni mambo mawili tofauti
Wewe ndoroobo kabisa. Rais gani asiye na uelewa na mjuzi wa mambo hata yenye kuonyesha kwamba kweli aliandaliwa.Ndio maana Kenya na nch jirani wanatutania kuwa Raisi wetu tunachukua Migomba tunaweka vivchwa vya Kondoo. Muone hata hapo jirani Kenya uHURU akiongea unaona kweli ni Rais mwelewa mbali hata Kagame na Museveni. Tanzania Maraisi wetu hawana tofauti na Congo DRC na Burundi.
Moja ya njia ya kuelewa mtu mwenye IQ kubwa ni kuweza kuongea (japo kwa kusalimiana) kwa lugha zisizopumnguwa 7.
Magufuli anayaweza hayo kwa lugha zaidi ya 20.
Isitoshe, Magufuli ana photographic memory, hiyo ni moja ya kukuelewesha kuwa ana IQ kubwa sana.
Hilo halina ubishi, tumemuona uwezo wake.
Vipi Lowassa IQ yake? Maana anasahau hata jina la mkewe.!
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Hakika sasa nnaamini pasi na shaka yoyote ukawa wengi ni kama alivyosema Mkapa.
Hivi mtu anaona kujuwa lugha ya nje ndiyo kuwa na akili.
Hawa ndiyo wale wakiona mtoto wa Kingereza wa miaka 3 anaongea Kingereza wanashangaa na kumuona wa ajabu.
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda, hatutofika kesho wala keshokutwa.