Magufuli ndio alikuwa wa kuibadilisha nchi, kama ilishindikana basi hatokaa atokee mwingine

Magufuli ndio alikuwa wa kuibadilisha nchi, kama ilishindikana basi hatokaa atokee mwingine

Script hizi mnaandikiwa lakini upeo wenu mdogo sana, mngekubali kujifunza mngeuliza maswali niwafafanulie kila kitu.

Nimeandika vitu vya watu wenye upeo only. Si kila mtu ataelewa
Hapo kipi ni cha uongo?
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Fanyia kazi ushauri wa Zitto.
Shetani lenu lilidhani litaishi milele likataka kumuondoa Lissu Mungu akalitanguliza lenyewe ss misukule yake ndo mnatapatapa na ibada za watu
 
Taasisi? Hizo ni theory za uongo. Dunia hii imejengwa na strong leaders. Hakuna taasisi imara bila kiongozi imara.

China ilijengwa na Mao hakuwa Rais alikuwa party leader ila alikuwa na nguvu zaidi ya serikali. Jifunze ili usishikwe maskio.
Kasome upya history ya China
Huyo Mao aliiharibu sana china tena zaidi ya sana kama Nyerere hapa kwetu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Ukweli mtupu, nchi zote zilizoendelea zumepitia magumu kama vita ,mauwaji na mengineyo.. ili tuendelee ni lazima tuwafyeke vibaraka wote na wanoko wanaotukwamisha.

Mimi sio muumini wa demokrasia kabisa, demokrasia ni upuuzi na takataka za wazungu tulizoletewa ili tuendelee kuwa nyuma kimaendeleo.

Hao marekan walileta demokrasia baada ya wao kujikomboa kiuchumi.

Demokrasia haifai ktk nchi maskini ni upuuzi tu
 
nchi hii imejaa malaya malaya wanaopenda dezo dezo,wameenda shule lakini elimu hazijawasaidia.

mtu anakwambia tunahitaji demokrasia wakati huu nchi iko matopeni.
 
Nchi za Africa zinahitaji kiongozi kama JPM
Wazungu wamepitia shida na kua na viongozi imara mpaka kufika hapo walipo,

Josep Stalin wa Russia ndio Russia ya leo,Adolf Hitler ndio kaifanya Ujerumani ya leo kua taifa tajiri zaidi Europe,utawala wa Mao Zedong ndio ulioifanya China ya leo kua hapo ilipo,

Nchi haiwezi kuendelea kwa kubembelezana na kuleana,kuyafikia maendeleo ya kweli ni lazima upate kiongozi shupavu na upitia matatizo kwanza,

Wazungu wamejenga nchi zao kwanza kisha ndio wakaleta demokrasia,wanajua kua Demokrasia na maendeleo ni vitu vinavyopingana na ndio maana wanasimamia demokrasia kwa nchi za Africa coz wanajua huo ndio mtego,

Demokrasia ingekua ni kitu cha kuleta maendeleo ya nchi wala mzungu asingehangaika kuzitaka nchi masikini kufuata demokrasia kwa nguvu na kwa vitisho vya kunyimwa misaada au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi.
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Abadili nchi ili iwe ya kishamba na kidikteta? No way muache aendelee kuungua na moto huko jehanam
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Magufuli alikuwa anabadili nchi kutoka kuzuri kwenda kubaya. Na Mungu akamuona kuwa kwa namna alivyoiba uchaguzi wote wa 2020 na kuweka wabunge wa kubadili Katiba ili awe Rais wa milele AKAMTUPILIA Jehanam.

Mwandishi acha kudanganya watu hapa lile dubwasha lilijaa UWONGO na likawapata watu wajinga kama nyinyi mkaliona eti ni shujaa. Magufuli alikuwa MWIZI kama CCM wengineo tu ila alichowazidi wengine ni kwamba alikuwa ANAUA wapinzani na wakosoaji
 
Taasisi? Hizo ni theory za uongo. Dunia hii imejengwa na strong leaders. Hakuna taasisi imara bila kiongozi imara.

China ilijengwa na Mao hakuwa Rais alikuwa party leader ila alikuwa na nguvu zaidi ya serikali. Jifunze ili usishikwe maskio.
Germany, Cuba, Vietnam, India na sehemu kibao walitangulia kwanza viongozi imara ndiyo wakatengeneza taasisi imara kiukweli sisi bado sana kama ulivyosema ili kuendelea hakuna budi kukubali kuumia jambo ambalo sisi hatuwezi. Bado hata mimi kwangu john alikuwa mtu sahihi
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Akina Magufuli wapo wengi !! Just a matter of time. !! Karma !
 
Roho inaniuma mpaka leo, kila ninapolala ninasikiliza baadhi ya hotuba zake kama Sala yangu. Lala pema JPM.
 
Kuteka.
KUUA.
Kubambika kesi.
Ndege kukamatwa.
Uongo wa MAKINIKIA.
Kutumbua hovyo.
KUFUKUZA WANAFUNZI hovyo.
Kuvamia akaunt za benk.
Genge la akina sabaya makonda nk.
Sukuma geng.
Maendeleo chato tu.
Kumkandamiza media.
Wizi uchaguzi mkuu.
Uongo.

Yapo mengi haya ni machache kwa haraka haraka tu.


MAGUuuuFULaaI ALIKUWA MUONGO SANA
MUONGO YANI MUONGO.

Itoshe kusema Alikuwa mtu wa HOVYO sana
Mkuu maendeleo ya chato yanafanana na kwingine alikofanya maendeleo, alaf wizi wa kura haujaanzia kwa JPM, ilianza tangu enz
 
Ukweli mtupu, nchi zote zilizoendelea zumepitia magumu kama vita ,mauwaji na mengineyo.. ili tuendelee ni lazima tuwafyeke vibaraka wote na wanoko wanaotukwamisha.

Mimi sio muumini wa demokrasia kabisa, demokrasia ni upuuzi na takataka za wazungu tulizoletewa ili tuendelee kuwa nyuma kimaendeleo.

Hao marekan walileta demokrasia baada ya wao kujikomboa kiuchumi.

Demokrasia haifai ktk nchi maskini ni upuuzi tu

Siyo kweli unavyosema kuhusu Marekani. Wao walianza na katiba yao ambayo mpaka leo wanayo tangu wapate uhuru. Tena ndiyo kitu cha kwanza waasisi wao walikubaliana nacho. Na vita waliyopigana wenyewe kwa wenyewe ilihusu hiyo hiyo katiba yao.

Halafu naomba kuuliza, nchi gani ya Afrika imeendelea baada ya wenyewe kwa wenyewe kufyekana? Sana sana baada ya kuchinjana wamerudi nyuma kimaendeleo au wameanza upya tena.
 
Script hizi mnaandikiwa lakini upeo wenu mdogo sana, mngekubali kujifunza mngeuliza maswali niwafafanulie kila kitu.

Nimeandika vitu vya watu wenye upeo only. Si kila mtu ataelewa
Umeandika utumbo na pumba tu. Pelekea nguruwe zizini
 
Siyo kweli unavyosema kuhusu Marekani. Wao walianza na katiba yao ambayo mpaka leo wanayo tangu wapate uhuru. Tena ndiyo kitu cha kwanza waasisi wao walikubaliana nacho. Na vita waliyopigana wenyewe kwa wenyewe ilihusu hiyo hiyo katiba yao.

Halafu naomba kuuliza, nchi gani ya Afrika imeendelea baada ya wenyewe kwa wenyewe kufyekana? Sana sana baada ya kuchinjana wamerudi nyuma kimaendeleo au wameanza upya tena.
Sasa tutaendeleaje ikiwa wanatulazimisha kufata takataka zao zinazoitwa democrasia? Usipofata huo upuuzi wao kuna vikwazo na ujinga ujinga mwingi.

Tunachokisema hapa Africa inapaswa kupata viongozi wenye misimamo wasioyumbishwa na mabeberu,, najua watafanya fitna na upuuzi mwingi kutukwamisha ila ni jambo la muda tutatoka ktk utegemezi wao.

Tunapaswa kuwa na rais mwenye misimamo mikali na mzalendo na tumpe muda sio kufanya upuuzi wa demokrasia.

Pia tunapswa kuwafyekelea mbali vibaraka na wanoko wote nchini bila kuangalia sura ya mtu maaan hawa ndo wanaotumika zaid na adui.
 
Nchi inabadilishwa na katiba Bora sio Rais.
Unaifahamu Katiba ya Israel au Katiba ya UK au Canada ? Msikaririshane kwamba Katiba mpya ndio suluhu ya Matatizo yenu. Hizi porojo za Katiba mpya ni za manufaa ya wanasiasa tu.
 
Sasa tutaendeleaje ikiwa wanatulazimisha kufata takataka zao zinazoitwa democrasia? Usipofata huo upuuzi wao kuna vikwazo na ujinga ujinga mwingi.

Tunachokisema hapa Africa inapaswa kupata viongozi wenye misimamo wasioyumbishwa na mabeberu,, najua watafanya fitna na upuuzi mwingi kutukwamisha ila ni jambo la muda tutatoka ktk utegemezi wao.

Tunapaswa kuwa na rais mwenye misimamo mikali na mzalendo na tumpe muda sio kufanya upuuzi wa demokrasia.

Pia tunapswa kuwafyekelea mbali vibaraka na wanoko wote nchini bila kuangalia sura ya mtu maaan hawa ndo wanaotumika zaid na adui.
Wachache sana ndio wataelewa, hakuna nchi iliyoendelea duniani kupitia Ujinga unaoitwa Democracy.
 
Sasa tutaendeleaje ikiwa wanatulazimisha kufata takataka zao zinazoitwa democrasia? Usipofata huo upuuzi wao kuna vikwazo na ujinga ujinga mwingi.

Tunachokisema hapa Africa inapaswa kupata viongozi wenye misimamo wasioyumbishwa na mabeberu,, najua watafanya fitna na upuuzi mwingi kutukwamisha ila ni jambo la muda tutatoka ktk utegemezi wao.

Tunapaswa kuwa na rais mwenye misimamo mikali na mzalendo na tumpe muda sio kufanya upuuzi wa demokrasia.

Pia tunapswa kuwafyekelea mbali vibaraka na wanoko wote nchini bila kuangalia sura ya mtu maaan hawa ndo wanaotumika zaid na adui.

Hiyo demokrasia unayoikataa lini tulikuwa nayo? Tangu nchi ipate uhuru hakuna demokrasia. Halafu nchi hii imepata marais 6 tangu ipate uhuru na kuna waliokuwa wakali lakini bado nchi iko hovyo.
 
Back
Top Bottom