Magufuli ndio alikuwa wa kuibadilisha nchi, kama ilishindikana basi hatokaa atokee mwingine

Magufuli ndio alikuwa wa kuibadilisha nchi, kama ilishindikana basi hatokaa atokee mwingine

Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Nakazia hapa
 
Kuibadilisha nchi kwa kupiga kamba?🐒🐒🐒
 
nchi hii imejaa malaya malaya wanaopenda dezo dezo,wameenda shule lakini elimu hazijawasaidia.

mtu anakwambia tunahitaji demokrasia wakati huu nchi iko matopeni.
Malaya malaya na Chawa ndio wanatangulizwa ku push agenda za Democracy, hata ukiwauliza demokrasia ni nini wanabaki kutoa macho tu, ushenzi mtupu.
 
Malaya malaya na Chawa ndio wanatangulizwa ku push agenda za Democracy, hata ukiwauliza demokrasia ni nini wanabaki kutoa macho tu, ushenzi mtupu.

Hiyo demokrasia unayoikataa lini tulikuwa nayo? Nyerere alikataa demokrasia tangu nchi ipate uhuru. Kuikataa demokrasia kumetusaidia nini?
 
Kama unaona taasisi ni theory za uongo basi wewe hujui chochote kuhusu kuongoza nchi.unashindwa ata kujua huyo mao alikua kiongozi wa chama aliyeweka misingi yakitaasisi inayoiongoza china hadi leo.kazi ya kiongozi ni kujenga misingi.sasa tanzania tunashindwa kwasababu tunategemea mtu mmoja atuamulue.Huyo Magufuli yeye mwenyewe alishindwa kwasababu alitaka kuongoza yeye kama yeye badala yakutengeneza nchi yenye misingi imara kwenye kila sekta.Nchi itakombokewa na wananchi wenyewe sio hadi kumtegemea mtu mmoja ambaye naye anakuja na kupita au asije kabisa.Mtu yoyote anaweza kua kiongozi ili mradi kuwe na miongozo na misingi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kiongozi mi nadhani ni vyema kuwaza mara mbili ili upate kung'amua kilichoelezwa.

Taasisi imara inajengwa na kiongozi/mtu mmoja mwenye uimara au maono yenye tija na mwenye uwezo wa kuyasimamia maono yake.

Swala la nchi kukombolewa na wananchi wenyewe sijui umemaanisha nn, Kiongozi mf Magufuli kwani hakuwa mwananchi?

Tufanye nimeelewa point yako japo hujaiweka vzr, Swala la nchi kukombolewa au kubadilishwa na wananchi wenyewe....Hivi ni kweli umemaanisha ulicho kiandika?...ni wananchi hawahawa waliojaa mtaani na mawazo hayahaya walionayo?

Ukitizama vzr utagundua tu idadi kubwa ya wananchi hawana uelewa na wala hawako interested na maswala ya harakati za utambuzi wa nchi yao, kila mmoja yuko bzy kupambania tumbo lake.....sasa hao unaowazungumzia ww ni wepi?

Mi nadhani suruhisho zuri ili tutoboe japo hata kwa hatua ndongo tu, itatulazim tupambanie wananchi wapate elim, haswa elim ya uzalendo na kuitambua nchi ili idadi kubwa tuzungumze lugha moja...
.
Ukitaka kuona umuhim wa hili ni palepale tu kwa Magu alipokuwa madarakani "Palikuwa na mpasuko mkubwa wa jamii kutoelewa umuhim wa alichokuwa anakifanya, wengi tuliyumbishwa sana na maneno ya wanasiasa waliopinga ule utawala"......naamini kama wananchi wangekuwa na elim ya uzalendo na kuitambua nchi au siasa za nchi bas mwamba angelindwa kama dhaha/Lulu ya taifa.

Nashauri tusifunge fikra zetu kwa kutokupokea mawazo mapya au kwa kutojifunza mambo ya nche yetu na ya ulimwengu kwaujumla wake.
gigabyte

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Taasisi? Hizo ni theory za uongo. Dunia hii imejengwa na strong leaders. Hakuna taasisi imara bila kiongozi imara.

China ilijengwa na Mao hakuwa Rais alikuwa party leader ila alikuwa na nguvu zaidi ya serikali. Jifunze ili usishikwe maskio.
Unaelewa maana ya taasisi imara au unasikia tu.Taasisi imara maana yake ni mifumo ya kumulika na kuthibiti uovu.Hakuna nchi inayoweza Kupiga hatua bila taasisi imara.Usichanganye Demokrasia na taasisi imara.Tunahitaji jeshi la polisi lisiloenda kwa mazoea,Takukuru inayofanya kazi kwa weledi sio kwa manufaa binafsi etc.Nchi kama uingereza hata ukimtoa waziri mkuu Leo nchi haipati shida kwa sababu wanataasisi imara haziyumbi zinajua kujiongoza.
 
Siyo kweli unavyosema kuhusu Marekani. Wao walianza na katiba yao ambayo mpaka leo wanayo tangu wapate uhuru. Tena ndiyo kitu cha kwanza waasisi wao walikubaliana nacho. Na vita waliyopigana wenyewe kwa wenyewe ilihusu hiyo hiyo katiba yao.

Halafu naomba kuuliza, nchi gani ya Afrika imeendelea baada ya wenyewe kwa wenyewe kufyekana? Sana sana baada ya kuchinjana wamerudi nyuma kimaendeleo au wameanza upya tena.
Angola na Rwanda
 
Unaelewa maana ya taasisi imara au unasikia tu.Taasisi imara maana yake ni mifumo ya kumulika na kuthibiti uovu.Hakuna nchi inayoweza Kupiga hatua bila taasisi imara.Usichanganye Demokrasia na taasisi imara.Tunahitaji jeshi la polisi lisiloenda kwa mazoea,Takukuru inayofanya kazi kwa weledi sio kwa manufaa binafsi etc.Nchi kama uingereza hata ukimtoa waziri mkuu Leo nchi haipati shida kwa sababu wanataasisi imara haziyumbi zinajua kujiongoza.
Kwani taasisi/mifumo imara inajengwa na malaika?

Chochote unacho kiona wewe imara kilianza kwa mtu imara,then kupigia huyo mtu wengine wakajifunza kupitia kwake na kuishi vision na misimamo yake na ndio China tunayo iona leo,ilianzia kwa Mao.
 
Kwamba hatokei mwingine, hapo unafeli kimawazo!
Tanzania Ina watu!

Chamsingi tuendelee kumuomba Mungu, watu wa kaliba ya JPM wajitokeze kwenye siasa!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli mtupu, nchi zote zilizoendelea zumepitia magumu kama vita ,mauwaji na mengineyo.. ili tuendelee ni lazima tuwafyeke vibaraka wote na wanoko wanaotukwamisha.

Mimi sio muumini wa demokrasia kabisa, demokrasia ni upuuzi na takataka za wazungu tulizoletewa ili tuendelee kuwa nyuma kimaendeleo.

Hao marekan walileta demokrasia baada ya wao kujikomboa kiuchumi.

Demokrasia haifai ktk nchi maskini ni upuuzi tu
Fact
 
Kiongozi mi nadhani ni vyema kuwaza mara mbili ili upate kung'amua kilichoelezwa.

Taasisi imara inajengwa na kiongozi/mtu mmoja mwenye uimara au maono yenye tija na mwenye uwezo wa kuyasimamia maono yake.

Swala la nchi kukombolewa na wananchi wenyewe sijui umemaanisha nn, Kiongozi mf Magufuli kwani hakuwa mwananchi?

Tufanye nimeelewa point yako japo hujaiweka vzr, Swala la nchi kukombolewa au kubadilishwa na wananchi wenyewe....Hivi ni kweli umemaanisha ulicho kiandika?...ni wananchi hawahawa waliojaa mtaani na mawazo hayahaya walionayo?

Ukitizama vzr utagundua tu idadi kubwa ya wananchi hawana uelewa na wala hawako interested na maswala ya harakati za utambuzi wa nchi yao, kila mmoja yuko bzy kupambania tumbo lake.....sasa hao unaowazungumzia ww ni wepi?

Mi nadhani suruhisho zuri ili tutoboe japo hata kwa hatua ndongo tu, itatulazim tupambanie wananchi wapate elim, haswa elim ya uzalendo na kuitambua nchi ili idadi kubwa tuzungumze lugha moja...
.
Ukitaka kuona umuhim wa hili ni palepale tu kwa Magu alipokuwa madarakani "Palikuwa na mpasuko mkubwa wa jamii kutoelewa umuhim wa alichokuwa anakifanya, wengi tuliyumbishwa sana na maneno ya wanasiasa waliopinga ule utawala"......naamini kama wananchi wangekuwa na elim ya uzalendo na kuitambua nchi au siasa za nchi bas mwamba angelindwa kama dhaha/Lulu ya taifa.

Nashauri tusifunge fikra zetu kwa kutokupokea mawazo mapya au kwa kutojifunza mambo ya nche yetu na ya ulimwengu kwaujumla wake.
gigabyte

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unawapataje hao viongozi wenye msimamo bila demokrasia? Kama mnadhani Magufuli alikuwa kiongozi mwenye msimamo au kiongozi mwenye nguvu, basi alipaswa aje kwa kupindua Serikali kama Museveni au Kagame.

Haiwezekani tukulete kwa sanduku la kura halafu uanze kujitapa kuwa eti wewe ndiyo mwenye upeo wa kuongoza peke yako na bila wewe barabara na miundombinu hazijengwi. Huo ni UKICHAA tu, lazima tukutoe
 
Unawapataje hao viongozi wenye msimamo bila demokrasia? Kama mnadhani Magufuli alikuwa kiongozi mwenye msimamo au kiongozi mwenye nguvu, basi alipaswa aje kwa kupindua Serikali kama Museveni au Kagame.

Haiwezekani tukulete kwa sanduku la kura halafu uanze kujitapa kuwa eti wewe ndiyo mwenye upeo wa kuongoza peke yako na bila wewe barabara na miundombinu hazijengwi. Huo ni UKICHAA tu, lazima tukutoe
Magufuli kuwa Rais ilikuwa kama bahati tu system haikuwa na namna kutokana na siasa za wakati huo.
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Kumbe NI KWA mtazamo wako?uko Sawa.
 
Huwezi kuibadilisha nchi bila transparency....sahz DR. SSH ndo anaibadilisha nchi kwa uwazi kabisa kila hatua wananchi tunashirikishwa
 
Mwendazake Ni mharibifu na looser
Ata Hitler aliibomoa Ujerumani ili aijenge upya!
Hakuna taifa lililoendelea kwa kucheka na vibaka,watu wanaiba fedha za umma Rais anasema STUPID then mambo yameisha!!alafu tunataka kuendelea!!
 
Kwanza nataka niwaambie watoto mliovamia siasa kaeni mjifunze kuhusu nchi yetu ya Tanzania muielewe vizuri. Shida kubwa ya vijana walio na mzuka na siasa hawajui kabisa kuhusu nchi wala game ya siasa inavyokwenda duniani kote. Kubwa zaidi hawaijui dunia.

Niende moja kwa moja kwenye hoja sasa. Mungu alituletea Magufuli ambae kwangu mimi ndio the best president kutokea na uhenda asitokee kama yeye kwenye taifa letu.

Kwa nini kwangu ni the best ever?

Ndio Rais aliyejaribu kuubadili mfumo wetu wa nchi.

Ndio Rais aliyethubutu kugusa maeneo ambayo kinadhalia tuliamini yakiguswa basi tutapata ahueni kwenye maendeleo ya nchi yetu.

Ndio rais alikuwa anauchungu na raslimali za nchi yetu na alifanya lolote analoweza kuzilinda.

Ndio Rais aliyesimama na tabaka la watu wa chini (wanyonge) kwa vitendo.

Mungu ampe mapumziko mema huko alipo.

Pamoja na jitihada na kujitoa kwake, japo alifanya mengi kwa kipindi kifupi lakini bado yalikuwa hayatoshi. Sisi tunaona ni mengi tukilinganisha na Marais waliomtangulia ila kama nchi bado tuliitaji zaidi ili tutembee kifua mbele tukisema sasa tunauaga umaskini.

Kwa nini ni ngumu sisi kupata Rais wa kututoa hapa tulipo hatimaye tupige hatua kubwa za kimaendeleo?

Au niseme kiufupi kwa nini tutaendelea kuwa maskini kwa vizazi vingi vijavyo?!

Kwanza sisi ni maskini wa kiasili, umaskini wetu ni sehemu ya utamaduni wetu kwa hiyo ili tuondoe umaskini lazima tuachane na tamaduni zetu. Je, tutaweza? Haiwezekani.

Pili, maendeleo ni mchakato wa taratibu sana. Lazima tukubali kujipa miaka at least 150 tangia uhuru ili tufikie level tunazoota za maendeleo. Nchi zote zilizoendekea zina historia na maendeleo. Maendeleo hawakuyaanza juzi wana miaka mamia kwa maelfu kwenye safari yao ya maendeleo. Wenzetu walianza kujenga majumba vizazi vya kina Yesu (sisi tukiishi juu ya miti)...walikuwa wanaandika vitabu na mfumo wa elimu miaka ya kina Musa...wanatembea kwa meli enzi za kina Nuhu...wewe from nowhere unataka uwafikie haiwezekani.

Tatu, maendeleo ni maumivu. Hakuna njia rahisi kwenye kuyasaka maendeleo. Nchi zote duniani zenye maendeleo makubwa zimepitia maumivu ikiwemo vita, vifo, uporaji, sadaka nk. Sisi tunadangayana maendeleo yetu yataletwa na katiba nzuri au demokrasia, HOW??!!! ni uongo tumepigwa.

Nne, hatuna raslimali za kiasi hicho tunachoaminishana. Kuna nchi zimebarikiwa raw materials ndio maana mzungu alipita tu hapa akaenda America huko mpka Australia sababu hakuona cha maana kwetu. Hata raslimali tulizonazo ili kuzibadili ziwe utajiri unahitaji pesa. Una gesi mtwara uwekezaji wake unataka trillion 80 wewe makusanyo yako kwa mwezi ni trillion 2 hapo ukivunja rekodi hiyo hiyo upeleke kwenye huduma muhimu, uhendeshaji wa serikali, maendeleo nk. Kwa hiyo hatujiwezi kabisa.

Mwisho, maendeleo yanahitaji kiongozi mwenye vision na apewe muda mrefu. Magufuli alikuwa na vision kubwa japo kuna watu hawakuwa wakimwelewa na walimchukulia poa. Kiongozi mwenye vision aachwe atawale kwa muda mrefu sio huu uongo wetu wa mihula miwili. Ni taifa gani duniani lilipata maendeleo kwa kuwa na kiongozi aliyetawala miaka 10? Hakuna, huu ni mfumo wa ajabu na utaendelea kutuzamisha kwenye umaskini.

Kwa hiyo nachotaka kuwaambia mashabiki wa siasa. Maendeleo ni mchakato na ni mchakato unahoitaji pesa za kutosha.

Vyanzo vyetu vya mapato vinafahamika na havibadiliki sana sio kwa sababu hatuna watu wabunifu no ni sababu sisi ni maskini mno tukiongeza wigo wa mapato tutalia kilio kikubwa sana na inaweza kutokea crisis (mfano tozo). Kwa hiyo the easy way ni kukopa tu.

Hakuna kiongozi wa kizazi hiki anaweza kufanya miujiza kama wanavyohubiri kwenye majukwaa. Miujiza yote alijaribu Magufuli hakubakisha kitu.

Akitokea mwanasiasa anasema tupeni nchi tuwaonyeshe tutavyobadilisha mambo. Muulizeni hela mtatoa wapi za kufanya hayo maajabu?
Kama ni mpinzani muulize kwenye bajeti zenu mbadala mliokuwa mnawasilisha bungeni mbona zilifanana kila kitu na serikali? Vyanzo vyenu vya mapato vya kuwa na bajeti ya trillion 60 kwa mwaka zitatoka wapi?

So guys, lets chill tule maisha mdogo mdogo tusijpe stress. Magufuli alimaliza kila kitu haya mengine ni porojo tu za wanasiasa kujaribu nao wapate ugali.
Si kweli..upeo wako wakufikilia ni mdogo sana..unauwakika gani? Unajuaa alichofanya Nyerere katka hii nchi ni makubwa jee unajuaa Rais atayekuja baada baadaee miakq michachee ijayo..au kipindi mwanao akianza kupiga...labda usemaa wewe binafsi ndio raisi wako bora Magufuri...
 
Back
Top Bottom