Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sahihi kabisa kiongoziNDIYO MNAAMBIWA TENGENEZENI TAASISI IMARA,MSIMTEGEME MTU
MMOJA
ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa kiongoziNDIYO MNAAMBIWA TENGENEZENI TAASISI IMARA,MSIMTEGEME MTU
MMOJA
ova
Kwa mfano kipi unaona kinabadirika kiukweli ukweli?Huwezi kuibadilisha nchi bila transparency....sahz DR. SSH ndo anaibadilisha nchi kwa uwazi kabisa kila hatua wananchi tunashirikishwa
Nyerere nchi ilimshinda.Si kweli..upeo wako wakufikilia ni mdogo sana..unauwakika gani? Unajuaa alichofanya Nyerere katka hii nchi ni makubwa jee unajuaa Rais atayekuja baada baadaee miakq michachee ijayo..au kipindi mwanao akianza kupiga...labda usemaa wewe binafsi ndio raisi wako bora Magufuri...
Kwanini??..wenye Zama zao kipindi icho wanasema amefanya makubwaNyerere nchi ilimshinda.
Vipi zile Tsh 1.5 Trillion za CAG Report ya 2016/17? Hakuna mwizi amewahi kumzidi Magufuli hapa Tanzania toka tupate uhuruAta Hitler aliibomoa Ujerumani ili aijenge upya!
Hakuna taifa lililoendelea kwa kucheka na vibaka,watu wanaiba fedha za umma Rais anasema STUPID then mambo yameisha!!alafu tunataka kuendelea!!