Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.[emoji24] Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Hata mwaka jana alijenga. Janet alikuwepo ila wewe hukuwepo
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Kwahiyo kwanini yeye hakutakua uzi
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Mbona hakufanya uzinduzi wa Ikulu , hahahahahahahaha yaani mnadhani mradi wa Chamwino ni mpya ...Sukuma gang bana
 
Sukuma Gang wacheni kubweka bweka kama mbwakoko,Ikulu imejengwa kwa kodi zetu.
Unaongea kama zezeta fulani hivi linalobwia unga. Kwani wakati wa fisadi Kikwete mlikuwa hamlipi kodi? Mbona hazikujenga chochote cha maana zaidi ya kuheweshwa na kutafunwa na akina membe?
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Duh ....creche Kazini...unajuwa maana kodi wewe?
 
Naomba kuuliza kiasi Cha fedha kilichotumika kujenga hiyo Ikulu ni rais gani ameshughulika Hadi fedha zikapatikana?
 
Back
Top Bottom