Ashasembeko
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 225
- 910
Ninaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.
Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.
Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.
Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.
Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.
Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.
If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.
Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.
Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.
Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.
Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.
My advice to the President:
Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.
Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.
Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.
Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.
All the best katika majukumu yako!!
Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.
Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.
Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.
Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.
Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.
If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.
Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.
Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.
Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.
Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.
My advice to the President:
Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.
Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.
Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.
Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.
All the best katika majukumu yako!!