Magufuli ni Rais muoga haijawahi tokea katika nchi hii

Magufuli ni Rais muoga haijawahi tokea katika nchi hii

"Ashasembeko"; I have to remember that name. How can one be more honest than this!
 
Aiseee, wewe ulichelewa sana kugundua
Niseme wazi, hata mimi nilikuwa kama wewe huko mwanzo; lakini niligundua mapema sana kuhusu udhaifu wake mkubwa alipoanza tu kutaka kuingilia mihimili mingine.
Hatua ya kwanza kabisa iliyonistua ni kumteua yule binti kuwa mbunge na kutaka agombee uspika. Taa yangu ya kwanza ya tahadhari ilianzia hapo. Na haraka haraka akalizima bunge lisionekane. Yote haya yaliongeza hofu yangu juu yake, ingawaje hayakuondoa matumaini yangu yote kwa wakati huo.

Ilipokuja kwenye "Makinikia" na mizengwe yote iliyofanyika nikajua dhahiri hapa tuna tatizo kubwa, na hasa alipoangukia kwenye kuwaweka ndani (mahabusi) kila aliyetofautiana na kauli zake. Akina Lissu wakawa na makazi mawili, lockup na nyumbani.

Lakini hadi wakati huo, matumaini yangu kwake yalikuwa bado hayajafifia sana kwani yalikuwepo matendo mazuri aliyoyafanya; kama kupambana na ufisadi, kurekebisha tabia za wafanya kazi, n.k.
Na hata hilo la "Makinikia" lilkuwa tendo zuri lililofanywa vibaya.

Ilipofikia hatua ya bei ya hayo mazuri kuwa ndio kiasi sahihi cha kuuza utu, haki za uTanzania wangu; mzigo nikautua!

Niseme wazi, isingekuwa haya ya ukandamizaji, uonevu, kunyima haki na matakataka nisiyoweza kuyaandika hapa, Magufuli angekuwa kiongozi mzuri sana na nchi yetu ingeweza kupiga hatua za maendeleo haraka sana.

Hapakuwa na sababu yoyote ya kuyaingiza haya mabaya kwenye utawala wake, kwani mazuri yalitosha kabisa kumjengea heshima kwa sisi raia wengi. Unapominya haki za watu, hata ufanye mazuri kiasi gani wapo watakaokupinga tu upende, usipende..


Ndugu yangu umefafanua vizuri sana........ mimi nilianza kumshangaa kwa siku aliyosema hakuna siasa mpka 2020 uchaguzi umeisha. juzi Zitto alisema vema sana mno, kwamba kwa kile inachoendelea watu huwa walikuwa wanakwenda wanalipuka kwenye mikutano y akisiasa na hapo inakuwa imesha sasa hivi hawezi kujua mioyoni mwa watu kuna nini? Hili jambo ni pana sana sema mtu hawezi elewa wa uelewa wa kawaida
 
MHESHIMIWA LICE
ulivamia bureau zetu sisi wa kaskazini na kuzipora dolari..
Hukuishia hapo ukazifunga !
Mheshimiwa LICE why only us from North ?
Si Mwanza pale napo zipo ?
Ivi uliposema Kaskazini tukae chonjo kwenye maendeleo, ulitaka tuamini zile tuhuma kwamba una mpango wa siri wa kulidhoofisha jiji la Arusha na kwamba ulijenga uwanja wa chatu ili kuzihamishia shughuli za msingi za kitalii huko pamoja na mwanza ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yah alianza kwa style kama alivyokuwa waziri baadae sana akagundua kuwa URAIS ni gemu tofauti na UWAZIRI akaamua kuachana na ile style ya uwaziri waziri!. Lakini kwa bahati mbaya jamaa hana KIASI yeye anajua ncha mbili tu ya ON and OFF, JUU na CHINI hana MIDDLE GROUND



ON & OFF, and no middle ground!!?, 😁😁😁
 
h
Ninaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.

Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.

Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.

Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.

Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.

Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.

If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.

Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.

Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.

Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.

Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.

My advice to the President:

Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.

Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.

Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.

Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.

All the best katika majukumu yako!!
HAWEZI KUMSHINDA MABUTU SESESEKO NGWENDU KUKU WA ZABANGA,
 
Mkuu achana na VPN,hua zinauzwa na zinablock PC yako nzima isionekane huko duniani unnecessarily!

Kwavile unataka JF tu wasichukue data zako za IP na usenge mwingine ,dawa yao ni simple tu,tumia TOR browser,basi!

Search Google,Tor browser,download,install kwenye PC yako,then fungua hiyo browser,type Url ya JF tu kama unavyofungua websites zingine kwenye browser yoyote!

Then you are done!

Tor browser itaficha IP zako zinazokupa internet connection,locations na browsing data zako zote hawa wapumbavu hawatakaa wazipate!

Tor itakua inawapa IP za Ulaya or elsewhere tu,na locations za Ulaya au elsewhere tu na sio TZ kabisa!

JF will never know who you are!
Thanks for knowledge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umetoa ukweli mchungu sana!

Huko PM usikubali kumpa mtu namba yako ya simu,wala usikae u-reveal your identity to anyone humu!

Pia kuna watu watajifanya mademu watakufuata kua wanakupenda wataomba mawasiliano yako,usitoe kabisa!

Na pia,usijibu even their PMs.

Ignore them 100%!

Serikali oga sana hii,watajifanya wanatumia honey pot kukutafuta,they are stupid to the core!
Kwa uandishi wake Huyu huenda ni waziri au MTU muhimu ndani ya selikari ya jiwe, kwa hisia alioonyesha atakwa 'ke'
 
Mkuu achana na VPN,hua zinauzwa na zinablock PC yako nzima isionekane huko duniani unnecessarily!

Kwavile unataka JF tu wasichukue data zako za IP na usenge mwingine ,dawa yao ni simple tu,tumia TOR browser,basi!

Search Google,Tor browser,download,install kwenye PC yako,then fungua hiyo browser,type Url ya JF tu kama unavyofungua websites zingine kwenye browser yoyote!

Then you are done!

Tor browser itaficha IP zako zinazokupa internet connection,locations na browsing data zako zote hawa wapumbavu hawatakaa wazipate!

Tor itakua inawapa IP za Ulaya or elsewhere tu,na locations za Ulaya au elsewhere tu na sio TZ kabisa!

JF will never know who you are!
What about simu au nayo vivyo hivyo
 
Kwa nini unamlaumu Raisi Magufuli kwa Maswada uliopitishwa na Bunge la JMTZ?

Hivi hata hii demokrasia mnaielewa kweli?
CAG alishamaliza hoja kama yako. Hatuna Bunge, lililopo ni DHAIFU

Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
 
Ninaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.

Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.

Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.

Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.

Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.

Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.

If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.

Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.

Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.

Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.

Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.

My advice to the President:

Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.

Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.

Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.

Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.

All the best katika majukumu yako!!


WELL SAID BRO. CHUO KINASEMA "WATATAZAMA LAKINI HAWATAOAN, TENA WATASIKIA LAKINI MASIKIO YAO YAMEZIBWA..."
 
wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.
!!
It's not necessary, the man has only been there for 3 years, he has 7 years to go (if he will), hivyo he still have all the time to be the best.

Kwa sisi tuliopitia kidogo psychoanalysis, ukiona mwanamke ana wivu sana ujue anapenda sana.
Mwanaume akiwa ana wivu sana, ni dalili ya insecurity.

Ukiona mtu anatembea peke yake usiku mkubwa gizani huku anaimba kwa sauti kubwa, ujue huyo ni muoga.

Ukiona kiongozi ana sema sema sana, anaongea ongea sana, ujue huyo ni kiongozi wa maneno marefu na matendo mafupi.

Ukiona mtu ni mkali sana, anapenda kugomba gomba, huku anatoa macho na maneno makali, huyo ni mtu wa fire in his eyes ujue the fear is a weapon on his heart.

Kwa rais Magufuli, kama ulivyo sema alianza vizuri, hapa katikati ni kipindi cha marekebisho kunyoosha vyuma vyenye kutu vilivyo pinda, lazima kutakuwa na maumivu, ila mwisho wa siku, atamaliza vizuri.

Nisome hapa

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums
P
 
Alianza vizuri na bado anaendelea vizuri tu kwan unadhan kwanini kama muswada sio wa haki mbona umepitishwa na bunge, wewe ni nani ulione bunge halina akili kuukubali na kuupitishwa muswada huo?? na by the way everyoneis still in love with him ( am talking about people who are not delusional)
kuna kipindi bunge lilipitisha kila mwananchi alipie lain yake ya 1000 kila mwezi. kama ni mtanzania utakumbuka tulipiga kelele mpaka sheria hiyo ikaondolewa. kikokotoo kilipita bungeni kama ww sio mgen unajua kilichotokea. ww ni nani hadi huamin kwamba bunge hukosea????????
 
It's not necessary, the man has only been there for 3 years, he has 7 years to go (if he will), hivyo he still have all the time to be the best.

Kwa sisi tuliopitia kidogo psychoanalysis, ukiona mwanamke ana wivu sana ujue anapenda sana.
Mwanaume akiwa ana wivu sana, ni dalili ya insecurity.

Ukiona mtu anatembea peke yake usiku mkubwa gizani huku anaimba kwa sauti kubwa, ujue huyo ni muoga.

Ukiona kiongozi ana sema sema sana, anaongea ongea sana, ujue huyo ni kiongozi wa maneno marefu na matendo mafupi.

Ukiona mtu ni mkali sana, anapenda kugomba gomba, huku anatoa macho na maneno makali, huyo ni mtu wa fire in his eyes ujue the fear is a weapon on his heart.

Kwa rais Magufuli, kama ulivyo sema alianza vizuri, hapa katikati ni kipindi cha marekebisho kunyoosha vyuma vyenye kutu vilivyo pinda, lazima kutakuwa na maumivu, ila mwisho wa siku, atamaliza vizuri.

Nisome hapa

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums
P
Naheshimu mawazo yako.
Hakuna dalili yoyote ya raisi kuibadilisha nchi kwenda chanya maana siku zote anatengeneza matatizo badala ya kutatua matatizo.
Huwezi leta maendeleo nchini huku raia wana masononeko nawe. Raisi hadi sasa amefeli pakubwa mno. Tupo wote humu alikuwa anajenga nchi badala ya taifa lakini kwa sasa hata ujenzi wa nchi unamshinda.
Hebu jiulize ni kitu gani anachokifanya kipya ambacho hakikuwahi kufanywa na serikali hii kisha kikaharibiwa.
Anafufua viwanda vilikuwepo vikauawa na serikali hii ya ccm.
Shirika la ATCL lilikuwepo likauawa na ccm hii hii
Chanzo kikuu ni katiba isiyoheshimiwa.Serikali ya ccm imeshindwa kuheshimu hata hii katiba mbovu ndo itaweza kuleta mpya.
Kwanza elewa kuwa hajanyoosha chuma hata kimoja ila kawanyoosha wasiomuunga mkono tu. Wateule wake hawana ubavu wa kujibu hata swali jepesi kwa kuwa serikali ipo kiuongo na uongo haubebeki.Imagine balozi masilingi alivyoumbua nchi huko majuu.
Anaulizwa ikiwa TL angekufa uchunguzi usingefanyika yeye anajibu huyu anaitukana serikali na kuichafua nchi yaani vitu viwili tofauti.
Wewe hayo mawazo ni yako ila binafsi siyakubali maana ukweli hujibeba.
Huwezi kumfufua mfu aliyekufa kwa kipindupindu huku alishajiapiza enzi za uhai wake kuwa uchafu hatouacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.

Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.

Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.

Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.

Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.

Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.

If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.

Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.

Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.

Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.

Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.

My advice to the President:

Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.

Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.

Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.

Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.

All the best katika majukumu yako!!
Sheria ile imelenga kuwadhibiti wajasiriamali wa siasa. Si uliona 2015?
 
It's not necessary, the man has only been there for 3 years, he has 7 years to go (if he will), hivyo he still have all the time to be the best.

Kwa sisi tuliopitia kidogo psychoanalysis, ukiona mwanamke ana wivu sana ujue anapenda sana.
Mwanaume akiwa ana wivu sana, ni dalili ya insecurity.

Ukiona mtu anatembea peke yake usiku mkubwa gizani huku anaimba kwa sauti kubwa, ujue huyo ni muoga.

Ukiona kiongozi ana sema sema sana, anaongea ongea sana, ujue huyo ni kiongozi wa maneno marefu na matendo mafupi.

Ukiona mtu ni mkali sana, anapenda kugomba gomba, huku anatoa macho na maneno makali, huyo ni mtu wa fire in his eyes ujue the fear is a weapon on his heart.

Kwa rais Magufuli, kama ulivyo sema alianza vizuri, hapa katikati ni kipindi cha marekebisho kunyoosha vyuma vyenye kutu vilivyo pinda, lazima kutakuwa na maumivu, ila mwisho wa siku, atamaliza vizuri.

Nisome hapa

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums
P
Mkuu huyu nchi imeshamshinda mpaka hapa tu ,ameshafanya makosa mkubwa sana ya kiuchumi na kiutawala ,hana uwezo wa kuyabadilisha ,hana vipaumbele anavyovisimamia Leo viwanda ,kesho manunuzi ya ndege , Yote Tisa ABC tu za uchumi hana ,angalia maamuzi yake kwenye korosho ,maduka ya kubadilisha fedha za kigeni .
 
Back
Top Bottom