Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

Ushindi wa kishindo wamepita bila kupingwa wewe uko wapi
 
macho_mdiliko,
Mambo yaliyokuwa yamejificha yamezidi kufunuliwa. Kwa mfano, sasa tunajua bila ya shaka yoyote kwamba 'sponsor' wa Magufuli kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 hakuwa mwingine bali Mkapa. Kikwete hakuwa na njia ya kuzuia hili.

Kikwete alikuwa Waziri wa Mkapa kwa miaka 10. Mkapa hakuwa na njia na uwezo wa kumzuia Kikwete kuingia Ikulu wakati huo. 'Sponsor' wa Kikwete alikuwa nani? MTANDAO!
 
Wewe mhehe Wa Miyomboni Iringa ndiye unaona huyu ni chaguo la mungu sijui wale wahindi Wa Shree Hindu Mandal wanaoabudu ng'ombe wakisema huyu chaguo la ng'ombe sijui utabishaje
 

Kama shambulio la Lissu, tena hilo sio la sumu bali risasi, hapo ndio utajua mwenyezi Mungu analinda watu wema hata mafisi wenye madaraka wakitaka kukuua
 
Na Mimi nimeliona hilo na nimetishika sana. Kwa tabia zake tunazofahamu jee kama ni kweli waliofanya hivyo wako salama kweli?
Wawe salama ili iweje sasa? Maaduiwake wakiwa salama inamaana nayeye bado yuko exposed..tofauti itakuwa ugumu wa penetration.
 
Tukianza kutaja changamoto na kuwa ukipata changamoto unakua kiongozi asilimia kubwa tungekua marais, bora yeye walimlisha sumu na hasiowajua wengine walikatwa mikono na miguu kwa sababu za kisiasa na watu wanaowaona na hakuna hatua zilizochukuliwa.
 
Hata mie nilinyweshwa sumu ya mamba hakika na mimi ni chaguo la Mungu
 
binti kiziwi umeona hapa walitarget moyo, hakika alikuwa na bahati kwelikweli mpenzi
 
Kama shambulio la Lissu, tena hilo sio la sumu bali risasi, hapo ndio utajua mwenyezi Mungu analinda watu wema hata mafisi wenye madaraka wakitaka kukuua
FYI wewe ndio unasema wema na wabaya. Mwenyezi Mungu wote tupo sawa kwake kwa sababu yeye ndio katuumba wote. Anafahamu dhamira zote ambazo tumeficha mioyoni mwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…