Magufuli: No more education for girls who fall pregnant while at school.

And let the parents in question learn how to scold their children!

Tunakabiliwa na tatizo kubwa sana la wanafunzi kupata ujauzito kizembe kizembe tu! Hii itawanyoosha sana! No mercy at all!

Subiri baada ya mwaka mmoja utaona idadi ya watoto wanaopata ujauzito inapungua tu yenyewe!

Kwa hili naunga mkono kabisaaaaaaaaaaa!


A girl should learn to choose wisely, either being a mother or a student! Lazima mwanafunzi ajue kuwa the moment anafanya unprotected sex, the moment she becomes a mother
 
Kwani lazima usome bure? Vya bure vina masharti yake, na ndo hayo, hakuna ujauzito!

Ukitaka ujauzito nenda private schools, au kwenye vituo vya elimu ya watu wazima, mbona inawezekana tu kusoma!
 
Does't make sense, na wale wanaume wanao pachikana mimba wakiwa shule je? Hapo Rais amenoa kabisa.
Wote wanafukuzwa shule na mwanaume anafungwa jela bila huruma, sheria inasema hivyo. Class mate wetu walitiana mimba miaka hiyo mwanaume akafungwa nafikiri mwaka mmoja. Siku hizi anaweza kufungwa miaka hadi 30 kwa ubakaji.
 
Vitu vya bure vina mashariti. Yeye akitaka kusoma elimu ya bure basi hakuna kuzaa hadi umalize shule. Lakini huo sio mwisho wa kusoma anaweza kusoma private school hakatazwi.
 
Ha ha haaaa Eti unasubiri tamko langu! Kama unanifuatilia vizuri kuhusu mambo ambayo yanamhusu rais wangu, kuna vitu huwa namkosoa hadi hapa kwenye jukwaa la Kenya!

Nakumbuka last time kwenye issue ya TIC nilimkosoa sana rais wangu na wewe ulikuwa ukimtetea, kwa hiyo kutofautiana ni kitu cha kawaida kabisa!

Na kuhusu hili jibu nililotoa kwenye huu uzi ulioquote, hapo nimemjibu mtu alouliza kuhusu wanaume wanaosababisha ujauzito, kwa kuwa hiyo ni sheria hata kama hili suala ambalo ni tamko sio sheria ningekuwa silikubali, bado isingebadili ukweli kuwa sheria tayari ilishatungwa tena wakati wa kikwete!


Halafu kuniita kada, unakosea sana kuniita hivyo maana mimi ni mtu ambaye sipendi siasa hata kidogo! Jaribu kufuatilia mijadala yangu kama utakuta nachangia kule kwenye JUKWAA LA SIASA! Hutaniona hata siku moja huko au kwenye mijadala ya kichama au ya kutetea mtu! Watu wenye vyama vyao hutoleana mapovu huko na wanajuana!

Mimi huwa nachangia kwa mtazamo wangu binafsi bila chembe hata moja ya ushabiki!

Naamini umenipata, narudia tena hilo suala naliunga mkono kabisa, na kwa hapa nchi yetu ilipofikia inabidi tufanye hivyo!
 
Inabidi watanzania mjue nchi ipo under msukuma. So tabia za wasukuma si mnazijua. Itz like tunarudi miaka 40 nyuma
 
Lool as if the stigma that preceeds the pregnancy aint bad enough!!

So much for being the most educated president in EAC amejaa ujinga kwa kichwa !!
 
Inabidi watanzania mjue nchi ipo under msukuma. So tabia za wasukuma si mnazijua. Itz like tunarudi miaka 40 nyuma
"Tanzania aint tribal"

This is how anu tribalist Kenyan Talks


Nyani Kweli Hamuoni Kindule
 
https://www.facebook.com/video.php?v=1583580188327307
Tanzania president H.E John Magufuli says we will not allow girls who fall pregnant while still at school to continue with their education.
I am sure you didn't get him right! What he said is no going back to public schools ( STD 1 to Form 6). We have system that supports these kind of people anyway! QT is there if they really want to continue with their Secondary education. Msitetee upuuzi. Hakikisheni mnawatunza watoto wenu wasifanye umalaya katika umri mdogo. Ni issue ya maadili. Tunao watoto wa kime na wamemaliza mpaka vyuo wengine na hawakufanya haya mambo. Mr. Presdent is right!
 
"Tanzania aint tribal"

This is how anu tribalist Kenyan Talks


Nyani Kweli Hamuoni Kindule
Mentioning someone's tribe hiyo sio tribal, but voting for someone just because his from same tribe as you that is tribal. Refusing someone a job, just because he/she is from different tribe, that's a big fat tribal.
 
Acha hizo wewe kufanya hivyo ni kuruhusu mimba mashuleni lazima uchague moja kuzaa au kusoma
 
No need to debate this, you cant cure stupid
 

Kaka naomba ieleweke hakuna mzazi mwenye uwezo kifedha anaweza kumpeleka mwanaye kwenye hizo saint kayumba za serikali. Wengi wenye visenti vyao wanapeleka watoto kwenye shule zenye hadhi. Hivyo hao mnaowafukuza kisa wametungwa mimba, mara nyingi huwa wametokea kwenye familia duni kimaisha na hawana uwezo wa kuingia kwa shule bnafsi. Kwa kifupi maisha ya kimasomo kwa mtoto kama huyo yanakua ndio mwisho.

Sasa ukiwaza kwamba huyo binti tayari anapitia hali ngumu kimaisha, halafu uzingatie pia hilo la mimba linakua limempa msongo wa mawazo, wazazi pia wanampelekesha mwendo kasi kwa mitusi na vurugu, ukiunganisha masaibu yote haya na uongeze na hilo la kumtupia nje nje kimasomo na kumfunga jela miaka 30 aliyempachika mimba, yaani huyo mtoto anakua zombi kabisa. Na ndio maana wengi wanaishia kwenye kutoa mimba moja kwa moja. Wasiokua na uwezo huo basi inabidi wakumbane na mateso yote hayo.

Mimi hapa ni mzazi wa binti anayebalehe, naelewa ulezi wa kisasa ni tofauti na kipindi cha akina Magufuli ambapo mtoto alikua anapokea kichapo kwa kwenda mbele, binafsi nilipitia maisha hayo ya old school, tulikua tunapigwa kwa kila kosa. Kizazi cha leo hata kufokea mtoto inakua ni tatizo. Vitoto vimechepua kupita maelezo, vinafanya ngono zaidi ya watu wazima. Na kama akipata mimba halafu unamfanyia anavyosema Magufuli, huyo mtoto anaishia kuwa changudoa kitaa, na ndio maana ukienda kwenye vlabu unakuta wanaojiuza kuna wasichana wadogo ndani yao.

Dunia ya leo imebadilika, mambo hayafanywi kizamani zamani tena, inabidi kuwa makini na mwenye busara na sio kuongoza kwa matamko yenye mikwara na kufoka.
 
Washauri wa rais wetu mtukufu Mhe. JPM wamwambie ukwel rais wetu anapenda sana kuropokaropoka hovyo..
 
Kwani lazima usome bure? Vya bure vina masharti yake, na ndo hayo, hakuna ujauzito!

Ukitaka ujauzito nenda private schools, au kwenye vituo vya elimu ya watu wazima, mbona inawezekana tu kusoma!
Hakuna kitu kama Elimu ya bure, Kila mwaka kuna bajeti inasomwa na Wizara ya elimu inatengewa pesa zake... Hizo pesa zimetoka kwa wananchi.... Serekali yenyewe iko madarakani na imepewa uongozi kwa niaba ya wananchi....
Kwahivyo hio unayoita 'elimu ya bure' ni ya wananchi na Soo ya serikali, kwahivyo ni wananchi ndo wanafaa kuamua nani anahaki ya kusoma na nani hafai kusoma na wenzake (e.g wahalifu).
Ukiangalia nchi za scandinavia (Netherlands, Switzerland...) utakuta karibu kila kitu ni bure, hata kufanya upasuaji, kutibu cancer, elimu bure hadi university, lakini ukiangalia kodi wanayolipa ni karibia 60% ya mapato... Kwahivyo serekali haina haki ya kinda kutoa masharti ya ni nani atasomeshwa bure wakati ni wananchi ndo wanalipia hio elimu
 
Kitu moja nimenotice wakenya Wengi wanaosapoti Jubilee ndio wanakomalia utadhani wao ndio wamepewa Mimba.

Hii kitu ni ya kimaadili zaidi,.Nimewahi kuwa Mwalimu, Najua vizuri Hulka za hawa Wanafunzi.
Magufuli is Absolutely right. Mtoto achague free education with Right Morals or Kushika Mimba and pay for expensive one.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…