Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwa Tanzania kura ni kupoteza muda, ingekuwa kura zinaheshimiwa huu ujinga ulioongea hapa ungekuwa na maana.Kumbuka pia kura za hao unaowaita wajinga 2,000 siyo sawa na kura ya mwerevu mmoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania kura ni kupoteza muda, ingekuwa kura zinaheshimiwa huu ujinga ulioongea hapa ungekuwa na maana.Kumbuka pia kura za hao unaowaita wajinga 2,000 siyo sawa na kura ya mwerevu mmoja!
Nikitaka kuwaza ujuzi na maarifa kwa jamii Magufuli yumo kwenye 5 bora ya taifa, na tundu lisu hayumo hata kwenye 300 ya role model wangu.
Nyie genge la wasukuma acheni ujinga wa kutaka kujaza matumbo yenu kupitia Magufuli aliyekuwa hovyo.Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Lisu na wale wote wanamsema vibaya Magufuli siasa zao zinaishia 2025. Trust meNimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Wanasema wrong is wrong regardless how many says it's rightAcha comment 2,000 hata ingekuwa watanzania wote wamemtetea Magufuli, bado Magufuli alikuwa rais muovu. Hutaki jinyonge.
MAGUFULI alikuwa raisi bora kuwahi kutokea Tanzania na nachelea kusema raisi bora wa muda wote!Walitaka kuuza eneo lote la Oysterbay polisi kuanzia Namanga mpaka Morocco mpaka ubalozi wa Marekani halafu pakishajengwa warudi kama mpangaji wa kipande kidogo cha ofisi. Mwekezaji mwenyewe business plan yake achukue mkopo kutumia collateral ya kiwanja hicho hicho cha polisi!
JPM akawaambia polisi are you freaking imbecilles ? Mnawezaje kujiuza na kuuza nchi yenu kipumbavu namna hiyo?
Meanwhile, nobody in the nation since Nyerere's era saw anything wrong with such state auctioneering. 60 million people but nobody else!
Ingekuja leo hiyo proposal ingepita. Atakumbukwa.
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Na hili ndio tatizo la chadema,wana uwezo wakuona mita 5 tu mbeleLisu na wale wote wanamsema vibaya Magufuli siasa zao zinaishia 2025. Trust me
Kama ndio hivyo, huo uzi ulivamiwa na sukuma gang tena kwa kuitanaNimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Wewe hukomagi tu? Unashutumiwa kumuua Ben Saanane ila Kwa ukaidi upo tu kutisha viongozi. Sasa mie binafsi nitakulia njuga Mjinga wewe.Lisu na wale wote wanamsema vibaya Magufuli siasa zao zinaishia 2025. Trust me
CCM wameapa kumtetea...hata shetani hutetewa na wengi na kwa nguvu kubwa!Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Hitler bado naye ana trend pia.Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza. Mithali 10:6.
Jina la JPM, litaendelea ku trend vizazi vingi vijavyo. Ninyi badala ya kufanya kazi, endeleeni kulalamika tu ndicho mtakacho vuna. Watanzania sio wajinga.
Jinsi mamlaka husika zilivyo handle shambulizi dhidi ya lissu serekali ya wakati huo haiwezi kujitenga nalo regardless wanaomsema vibaya marehemu wameishia lini......Lisu na wale wote wanamsema vibaya Magufuli siasa zao zinaishia 2025. Trust me
Mwerevu Mmoja anaweza Kupiga Kura Sahihi, Wajinga 2000 wakapiga kura kijinga zikaharibika zote.Kwani ukipigiwa kura na mwerevu mmoja na ukipigiwa na wajinga 2000 who wins the race
UNASOMA COMMENTS ZA WAJINGA WENZAKONimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Umeongea lakini point inabaki pale pale kwenye uchaguzi quantity ni far better than qualityMwerevu Mmoja anaweza Kupiga Kura Sahihi, Wajinga 2000 wakapiga kura kijinga zikaharibika zote.
Kura za wajinga zinachagua na kupitisha watakaowaongoza kijinga. Bora wajinga wachague mwerevu awaondoe ujinga.Kumbuka pia kura za hao unaowaita wajinga 2,000 siyo sawa na kura ya mwerevu mmoja!
Wapo watu walio aibishwa tu na JPM kwenye mikutano ya hadhara, wanamchukia sana mpaka leo hii, itakuwa huyu ALIYEMIMINIWA risasi kama walikuwa wanataka kuua tembo?Lisu hahitaji kubwa hata kwenye 60m bora, ila alichosema kuhusu ukatali wa Magufuli yuko sahihi.