Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kura za nini?
Kumbuka pia kura za hao unaowaita wajinga 2,000 siyo sawa na kura ya mwerevu mmoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka pia kura za hao unaowaita wajinga 2,000 siyo sawa na kura ya mwerevu mmoja!
Kwani ukipigiwa kura na mwerevu mmoja na ukipigiwa na wajinga 2000 who wins the race
Kura ni kura ata kama ya mjinga[emoji3][emoji3]
Kuna muda idadi ndo inamata sio ujuzi
Huo ndio ukweli wenyewe. Kuna mizezeta fulani humu hailioni hilo, inarusha mitusi kuwatukana watu bila kujua kuwa hao watu ndio wapiga kura wakati wa uchaguzi!
Weka na sie tusione hizo comments., nasisitiza hata wapumbavu Huwa Wana mpumbavu wao wanayemuona ni WA maana..Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Kwani lisu ndiyo chadema ujui chadema ni taasisi makini hapa Tanzania kichwa kimoja Cha mwanachadema ni sawa na ccm 10,000 usingesema haya ya lisuNami niwashauri CDM kama hawatamshauri Lissu kubadili upepo,wategemee anguko kubwa sana 2025.
Kitu cha kujifunza ni kwamba Magu ameishafariki na watawala wa sasa wamejinasibu kuwa kinyume na sera zake,kwa hiyo kuendelea kumnanga marehemu asiyeweza kukujibu wala kujitetea kwa yale unayomsema
ni sawa na wewe kuanza kuishi kwenye ulimwengu wa waliokufa ilihali bado uko kwenye ulimwengu wa walio hai,
Hii inakusababishia sera zako kuwa mfu.unachokwa na kusahaulika kama marehemu.
Ni kwamba hata wangekuwa wapumbavu laki moja bado siyo kitu kwa mwerevu mmojaNimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Watapambana lakini hawatashinda.Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
hilo linajulikana.Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Jina la muovu litasemwa milele na milele, Jiwe alikuwa laana kwa TaifaKuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza. Mithali 10:6.
Jina la JPM, litaendelea ku trend vizazi vingi vijavyo. Ninyi badala ya kufanya kazi, endeleeni kulalamika tu ndicho mtakacho vuna. Watanzania sio wajinga.
Kila siku anguko-anguko!Hivi tangu mmeanza kutabiri mbona hiyo CDM haifi?Tabiri zenu za vichaa hizo.Fanyeni mengine.
Tazama huyu msukule!Ingekuwa hivyo unavyowaza basi dunia isingekuwa na vyama.Acha kuwaza mwisho ulipoishia urefu wa pua yako!anguko gani unalo litaka wewe zaidi ya lile la kukosa kuongoza dola
we ni poyoyo tu na uwongo wako huo. Tumesoma hizo comments ni kinyume na uliyoyaleta humu. Km unampenda sana kamfute alipo, yule ni katili muuaji hakuna wa kumtetea we ni poyoyo tu.Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Mkuu hasi na chanya hazichangamani, sasa mtu kama wewe Mh. Lissu anawezaje kuwa role model wako? Wewe ni Sukuma gang so mtu kama Ndungai ndiyo anakufaaNikitaka kuwaza ujuzi na maarifa kwa jamii Magufuli yumo kwenye 5 bora ya taifa, na tundu lisu hayumo hata kwenye 300 ya role model wangu.
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.
Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.
Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Yaani utende uovu ukiamini kuwa ukifa watu watasahau haraka tu, Jiwe itachukuwa milele watu kusahau maovu yakeNami niwashauri CDM kama hawatamshauri Lissu kubadili upepo,wategemee anguko kubwa sana 2025.
Kitu cha kujifunza ni kwamba Magu ameishafariki na watawala wa sasa wamejinasibu kuwa kinyume na sera zake,kwa hiyo kuendelea kumnanga marehemu asiyeweza kukujibu wala kujitetea kwa yale unayomsema
ni sawa na wewe kuanza kuishi kwenye ulimwengu wa waliokufa ilihali bado uko kwenye ulimwengu wa walio hai,
Hii inakusababishia sera zako kuwa mfu.unachokwa na kusahaulika kama marehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walitaka kuuza eneo lote la Oysterbay polisi kuanzia Namanga mpaka Morocco mpaka ubalozi wa Marekani halafu pakishajengwa warudi kama mpangaji wa kipande kidogo cha ofisi. Mwekezaji mwenyewe business plan yake achukue mkopo kutumia collateral ya kiwanja hicho hicho cha polisi!
JPM akawaambia polisi are you freaking imbecilles ? Mnawezaje kujiuza na kuuza nchi yenu kipumbavu namna hiyo?
Meanwhile, nobody in the nation since Nyerere's era saw anything wrong with such state auctioneering. 60 million people but nobody else!
Ingekuja leo hiyo proposal ingepita. Atakumbukwa.
Jiwe alipendwa na watu dizain yakoMAGUFULI alikuwa raisi bora kuwahi kutokea Tanzania na nachelea kusema raisi bora wa muda wote!