Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe

Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe

Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Magufuli alikuwa anapendwa na wanyonge masikini, wenye akili za kimasikini na watu wanaotaka kubakia kuwa masikini, akili za kimasikini na kuwa wanyonge.
Watu wa aina hii wapo wengi sana.
 
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Tuondolee uwongo hapa! Eti nimesoma comment 2000..... Thubutu!
 
Kwa kuwa Magu MUNGU kamfyekelea mbali...Lissu alaximishwe kesema SAMIA ndiye aliyeamuru like shambulio?

Magu ni mchafu kila eneo, SAMIA katurejeshea tena umoja kama taifa
 
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgus,a jiandae kuchafuka mwenyewe.
Pobavu kabisa wewe, unajifungamanisha marehemu dikteta, jizi, liuaji katili. Mfuate ukalale naye mapema iwezekanavyo
 
Lisu na wale wote wanamsema vibaya Magufuli siasa zao zinaishia 2025. Trust me
Mwenzako Magufuli alisema ataiua Chadema Tena alitumia bunduki kutaka kumua Tundu Lissu lakini kafa yeye Chadema bado ipo.

Mwigulu Alitabiri kuwa Chadema isingefika hata mwaka 2015 lakini Chadema ipo tuu hata wew unaiona na kuzungumza.
Chadema ni mpango wa MUNGU kuwepo Tanzania kuwazindua Akili bongo lala kama wewe na wenzako msio jitambua.
 
Acha comment 2,000 hata ingekuwa watanzania wote wamemtetea Magufuli, bado Magufuli alikuwa rais muovu. Hutaki jinyonge.
Hahaha Sasa kama alikuwa muovu kwako unataka sisi tukusaidie nini..maana kama unavyosema kwa wengine 2,000 alikuwa mwema sana.. nenda kalambe ndimu ulale..baasii
 
Mwenzako Magufuli alisema ataiua Chadema Tena alitumia bunduki kutaka kumua Tundu Lissu lakini kafa yeye Chadema bado ipo.

Mwigulu Alitabiri kuwa Chadema isingefika hata mwaka 2015 lakini Chadema ipo tuu hata wew unaiona na kuzungumza.
Chadema ni mpango wa MUNGU kuwepo Tanzania kuwazindua Akili bongo lala kama wewe na wenzako msio jitambua.
Unajuaje kama TL alishambuliwa na watu wa Serikali...umefanya tafiti kiasi gani....waulize wenzio waliokwisha tafiti wakupe majibu...utakaa chini jomba..
 
Hahaha Sasa kama alikuwa muovu kwako unataka sisi tukusaidie nini..maana kama unavyosema kwa wengine 2,000 alikuwa mwema sana.. nenda kalambe ndimu ulale..baasii

Ndio niko na ndimu hapa nilambe kisha nilale, lakini habari ndio hiyo.
 
Watanzania sio wajinga kama lissu na genge lake wanavyo fikiri
 
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Nyie pumbav kabisa, mwacheni mzee apumzike kila cku threads kuhusu marehem au mmetumwa nn!!
 
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Mfano wa kijinga kabisa....
 
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu.

Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa lakinia ajabu ni kwamba wananchi wamemtukana sana Lissu kisa kumsema vibaya Magufuli. Comment zote zaidi ya 2000 zinamtetea Magufuli.

Kwa hali niliyoona ni wazi kwamba Magufuli hagusiki na ukimgusa jiandae kuchafuka mwenyewe.
Watu wanajua upo busy katika uwanja wa vita kule Kitchanga kumbe unasoma habari ya Lissu. Achana na Lissu uyo ni shujaa bora uendelee kusimulia story ya Goma
 
Mkuu hasi na chanya hazichangamani, sasa mtu kama wewe Mh. Lissu anawezaje kuwa role model wako? Wewe ni Sukuma gang so mtu kama Ndungai ndiyo anakufaa
Ni kweli hawezi kuwa role model wangu kwa sababu yeye ni mtu wa mwisenge na mimi siyo mtu wa huko, labda awe role model wako.
 
Walitaka kuuza eneo lote la Oysterbay polisi kuanzia Namanga mpaka Morocco mpaka ubalozi wa Marekani halafu pakishajengwa warudi kama mpangaji wa kipande kidogo cha ofisi. Mwekezaji mwenyewe business plan yake achukue mkopo kutumia collateral ya kiwanja hicho hicho cha polisi!

JPM akawaambia polisi are you freaking imbecilles ? Mnawezaje kujiuza na kuuza nchi yenu kipumbavu namna hiyo?

Meanwhile, nobody in the nation saw anything wrong with such state auctioneering since Nyerere's era. 60 million people but nobody else!

Ingekuja leo hiyo proposal ingepita. Atakumbukwa.
Nawe unamuamini yule baba wa uongo!!??
Baba wa uongo ni ....
 
Back
Top Bottom