Magufuli Terminal yabadilishwa jina

Magufuli Terminal yabadilishwa jina

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
IMG_9962.jpeg

Pia soma:
 
Lakini hata hivyo alimwambia kabisa Mh Jafo kipindi hiko kwamba, kama wamachinga na mama ntilie watafukuzwa hapo, basi wafute na jina lake hapo, bila shaka wamefanya kile mwenyewe alisema, maana ni kweli hao wamachinga walitimliwa
 
Safi sana, safisha jiji letu, ondoa biashara holela s
Sidhani Kama ungekuwa kwenye icho kiatu am so sure kama ungeongea hivi. Labda una kasalari slip fulani hata take home $1000 haifiki Ila unaona wenzako Kama Ni uchafu.

Huwezi ifanya Dar ikawa Kama new York eti usafi. Ni sawa useme unataka gari mpya mjini wakati watu wako hawanaa icho kipato.

Your ego is at work not you.
 
Back
Top Bottom