Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafaidika na nini?Na ile Ndugai kule Dodoma ibadilishwe.
Wakabadili na majina ya kaburi lakeUtako
Utakosa kipato kutokana na hilo la kubadilishwa jina mkuu?
Ya kikwete mbona huseinHii safi sana.
Jina libaki kaburini kwake.
Na yale ma Nyerere kila mahali yafutwe.
Kwa hiyo magufuli tu ndiyo majina yake yapoKwanza ni mambo ya kishamba sana kuita miundombinu majina ya watu badala ya majina ya eneo husika. Sana sana ikilazimu basi vichache sana viitwe kwa rais wa kwanza basi. Imagine badala ya kuita Dar Bus Terminal eti unaita Nyamayao bus terminal!!!
NDUGAI FUTA KABISA..Safi sana, hata Ubungo interchange ibadilishwe jina, sio akina Kijazi
Ni swala na Muda tu hata yeye kumbukumbu zake tu tafuta... Huu sio binadamu kabisaa... Ila hata wafute Bado sisi tutaita Magufuli bus terminal tuone kama watalazimisha mdomo yetu.. Mfyuu.... Roho mbaya tu!Hangaya ana kinyongo sana na Magu
Sijaufuta ujumbe wangu maskudi kuonesha makosa ya missinformation.Ni swala na Muda tu hata yeye kumbukumbu zake tu tafuta... Huu sio binadamu kabisaa... Ila hata wafute Bado sisi tutaita Magufuli bus terminal tuone kama watalazimisha mdomo yetu.. Mfyuu.... Roho mbaya tu!
Wabongo mnadanganyika kirahisi sana hamchunguzi ona hili povuHangaya ana kinyongo sana na Magu
.....Lugha Sarufi (Language grammar)....Active nk mbona munaacha habari za uzushi na zenye kuleta chuki kwa mamraka ziendelee kuwepo jf,hizi picha niza zamani kabla Mh Jaffo hajaamua kubadili na kuiitastendi hiyo jina la JPM,harafu watu waache kuwa yuma ya technolojia,hizo picha zimo mtandaoni kwa miaka mitatu sasa
Harafu niliona kwenye mtandao eti wanakanusha 😆😆View attachment 2846494
Pia soma:
SI KWELI - Stendi ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) Imebadilishwa Jina
Mlioko hapo Karibu embu mtujuze iwapo hizi habari ni za kweli. Wengine wanasema kuna kikundi kimepewa kazi maalum ya kushughulikia legacy. Kimeona umati mwingi wa wageni unafika hapo Toka mikoa mbalimbali na hivyo Jina la Magufuli linaweza lisifutike.www.jamiiforums.com
Kwa Ajili ya nini hasa?Hangaya ana kinyongo sana na Magu