Magufuli Terminal yabadilishwa jina

Magufuli Terminal yabadilishwa jina

Sidhani Kama ungekuwa kwenye icho kiatu am so sure kama ungeongea hivi. Labda una kasalari slip fulani hata take home $1000 haifiki Ila unaona wenzako Kama Ni uchafu. Huwezi ifanya dar ikawa Kama new York eti usafi. Ni sawa useme unataka gari mpya mjini wakati watu wako hawanaa icho kipato.
Your ego is at work not you.
Biashara holela zinakosesha jiji, TRA mapato, naweza hata nikawa naingiza laki moja kwa mwezie lakini siungi mkono serikali kupoteza mapato kupitia uholela
 
Jina halijabadilishwa wewe,
Picha hio ni ya zamani sanaaa, wew unaona kweli Stend ya Magufuli iwe imepoa hivo,
Unaona hata frame za chini bado mpya hazijawa branded,

Ni watu tu wanaendeleza siasa za maji tope
Aisee
Nafuta kauli

Mniwie radhi
 
Active nk mbona munaacha habari za uzushi na zenye kuleta chuki kwa mamraka ziendelee kuwepo jf,hizi picha niza zamani kabla Mh Jaffo hajaamua kubadili na kuiitastendi hiyo jina la JPM,harafu watu waache kuwa yuma ya technolojia,hizo picha zimo mtandaoni kwa miaka mitatu sasa
 

Attachments

  • img_3081 (1).jpg
    img_3081 (1).jpg
    142.8 KB · Views: 7
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    39.3 KB · Views: 7
Biashara holela zinakosesha jiji, TRA mapato, naweza hata nikawa naingiza laki moja kwa mwezie lakini siungi mkono serikali kupoteza mapato kupitia uholela
You're just talking your emotions. Umeshajaribu kujua Kodi yako inafanya kazi gani. Mfano unajua Kuna bilioni 69 tzs zilitumika kukodi software kutoka India ya kufuatilia umeme kukatika. Eti holela unajaribi kuonekana kuwa upo nao Ila unaonyesha sura yako. Unajua ule mchanga wangese wangapi wanaruhusu unatoka kwa makontena. Unajua mita ya mafuta inavyochezeshwa kiasi kwamba sio Lita zote Kodi zinalipwa.

Yaani wakubwa wanakwepa kulipa Kodi ya mabilioni unakuja kukimbizana na masikini anayetafuta Mia tano anunue dagaa na sado ya mahindi na anamnunulie mwanae daftari aende shule.

Shida uliyo nayo haupo kwenye huo mfumo yaani kisa wewe unao hako kakipato Basi wenzako unawaona Kama uchafu fulani na unatamani usiwaone , yaani hapo Ni ego inafanya kazi hata ukatae. Kama vile wewe unapata A ya hesabu Basi wengine wanaopata D unaona Ni Bora tu wafelishwe watoke shuleni ubakie wewe mwenyewe mwenye A ili utukuzwe. Huku wananchi Ni masikini Kama vipi hamia new York hapa manhantan Downton or metropolitan city kila kitu kitaendana unavyopenda. Waache watanzania wako kwao.

Kuna yule mdada nyama ya swala eti miaka 22 halafu Kuna malkia wa tembo na mdogo wake na rostam hawajafungwa wameandikiwa faini na yenyewe hujui Kama inalipwa ama unabakia kudanganywa.
 
Back
Top Bottom