Utakosa kipato kutokana na hilo la kubadilishwa jina mkuu?
Duh tumefikia Huku??
Swali la kinafikiUtako
Utakosa kipato kutokana na hilo la kubadilishwa jina mkuu?
Safi sana, safisha jiji letu, ondoa biashara holela sLakini hata hivyo alimwambia kabisa Mh Jafo kipindi hiko kwamba, kama wamachinga na mama ntilie watafukuzwa hapo, basi wafute na jina lake hapo, bila shaka wamefanya kile mwenyewe alisema, maana ni kweli hao wamachinga walitimliwa
Kwani imeandikwajeDuh tumefikia Huku??
Kwani kuna ubaya gani kuitwa hivyo
Na ww tukubadilishie majukumu, tuanze kukuita jackline na tukubandueSafi sana, hata Ubungo interchange ibadilishwe jina, sio akina Kijazi
Njoo uone kitu utakachokutana nacho, utamfuata mwendazake kuzimuNa ww tukubadilishie majukumu, tuanze kukuita jackline na tukubandue
Sidhani Kama ungekuwa kwenye icho kiatu am so sure kama ungeongea hivi. Labda una kasalari slip fulani hata take home $1000 haifiki Ila unaona wenzako Kama Ni uchafu.Safi sana, safisha jiji letu, ondoa biashara holela s