Kwanza ni mambo ya kishamba sana kuita miundombinu majina ya watu badala ya majina ya eneo husika. Sana sana ikilazimu basi vichache sana viitwe kwa rais wa kwanza basi. Imagine badala ya kuita Dar Bus Terminal eti unaita Nyamayao bus terminal!!!Lakini hata hivyo alimwambia kabisa Mh Jafo kipindi hiko kwamba, kama wamachinga na mama ntilie watafukuzwa hapo, basi wafute na jina lake hapo, bila shaka wamefanya kile mwenyewe alisema, maana ni kweli hao wamachinga walitimliwa
Exactly [emoji1666] [emoji1666] [emoji1666]Safi sana, hata Ubungo interchange ibadilishwe jina, sio akina Kijazi
Hata plan ya ujenzi wa ofisi mpya ya makao makuu ya chadema ipo muda mrefu lakini hela za ruzuku ya chama zinaliwa na Joyce Mukya tu.Simkubali magufuli.ILA SI SAWA.
Una chuki weweSafi sana, hata Ubungo interchange ibadilishwe jina, sio akina Kijazi
Yaani aache kujenga nchi yetu awe na wivu kwa waliotangulia mbele za haki? Are you serious?Hangaya ana kinyongo sana na Magu
Hatuhitaji Dar iwe safi Kama New York nooo!!! Tunataka iwe safi kama Moshi au Iringa, yaani ifikie mahala jiji la Dar nalo lishinde kwa usafi...Sidhani Kama ungekuwa kwenye icho kiatu am so sure kama ungeongea hivi. Labda una kasalari slip fulani hata take home $1000 haifiki Ila unaona wenzako Kama Ni uchafu.
Huwezi ifanya Dar ikawa Kama new York eti usafi. Ni sawa useme unataka gari mpya mjini wakati watu wako hawanaa icho kipato.
Your ego is at work not you.
Swali la kinafiki
😀😅😄😃Makonda anasemaje
Njia ya kufanya mji uwe safi ni kuwatengenezea wananchi huduma bora za kijamii kama vile afya, elimu,fursa bora za uchumi n. K na si matumizi ya nguvu. Matumizi ya nguvu ya kuwaondoa wananch sehem mbalimbali kwa pointi ya usafi wa mji ni dhahiri wanaotumia hizo nguvu wameshindwa kufikiri kwa weledi.Hatuhitaji Dar iwe safi Kama New York nooo!!! Tunataka iwe safi kama Moshi au Iringa, yaani ifikie mahala jiji la Dar nalo lishinde kwa usafi...
Akili za mbute tena hizi!Bora tu, hatuwezi kuendelea kutajataja majina ya watu hata kama tulikuwa hatuwapendi. Bado daraja la kilombero ambalo nalo limepewa jina la Magufuli btidge wakati aliyelijenga ni Jakaya kikwete Rais wa amumj ya nne.
Madikteta wanapenda sana kutumia majina yao kwenye miradi mikubwa ili tuendelee kuwataja.
Mbona la marehemu Mohammad halifutiki kwenu?Hii safi sana.
Jina libaki kaburini kwake.
Na yale ma Nyerere kila mahali yafutwe.
Kabisaaaa😀Kwani hili nalo ni jibu la kinafiki mkuu?