MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,228
Tanzania kuingiza zaidi ya billion 5 na million 600 kwa siku (Billions 173 na million 600 kwa mwezi) kwa mapipa laki 2, Uganda inategemea kuzalisha mapipa zaidi ya laki 3 kwa siku.
SASA NIMEELEWA.......Nilishangaa na sikuelewa kabisa maelezo ya hapo chini kutoka kwa kiongozi wa Uganda.....
>Uganda need good coal or natural gas in order to produce steel from iron ore.
=>Tukileta haya mafuta, tunataka na bomba lingine lipande kule kuchukua gasi.
=>Tanzania governement no transit fees, no VAT, no corporate tax