Najaribu kufikiria itakuwaje maana CCM walionyesha kumpitisha kwa 100% hili wanalijua wenyewe walicho kifanya mpaka apite kwa 100% hata watu wa Lindi Wajumbe wanaoishi katika Jimbo alilotoka Membe nao walimpitisha kwa 100% tunaelewa maana yake hii tunaita kwa kingereza Flatering, majibu yao yatakuwa kwenye sanduku la Kura la Raia wote.
Sasa Membe ana umati wake, upinzani una umati wake. Je Kura zitahesaniwa hadharani kama walivyo fanya kwenye chama chao au yanaishia huko tu
Tunasubiri maamuzi ya mchakato wa kuhesabu kura
Sasa Membe ana umati wake, upinzani una umati wake. Je Kura zitahesaniwa hadharani kama walivyo fanya kwenye chama chao au yanaishia huko tu
Tunasubiri maamuzi ya mchakato wa kuhesabu kura