jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Kama mchambuzi wa siasa ndani ya Afrika mashariki unaweza kutoa opinion gani kwa yale yanaoendelea kutokea nchini Kenya?
Willium Ruto ameamua kuwa jeuri na nyang'au na hivyo kuiondoa kenya kwenye wimbi la muda mrefu la ufisadi na uhuni uliokuwa umekithiri nchini Kenya?
Je, Ruto ameamua kuwainua wakazi waliochoka wa Mitaa ya kibera dhidi ya matycoon wachache waliowezeshwa na walami?
weka tafakari yako hapa...bila matusi wala kebehi.
KWA HISANI YA WATU WA KENYA!!
Willium Ruto ameamua kuwa jeuri na nyang'au na hivyo kuiondoa kenya kwenye wimbi la muda mrefu la ufisadi na uhuni uliokuwa umekithiri nchini Kenya?
Je, Ruto ameamua kuwainua wakazi waliochoka wa Mitaa ya kibera dhidi ya matycoon wachache waliowezeshwa na walami?
weka tafakari yako hapa...bila matusi wala kebehi.
KWA HISANI YA WATU WA KENYA!!